Abuse..( Dhuluma)

Fasaha: kumun'gunya = kumumunya, maimuna = maamuma, stimu = mvuke

Kabla ya kutaka wengine waandike kwa ufasaha, ungeanza wewe kwa kurekebisha hayo niliyo yaainisha hapo juu.

hahahahahahahah lol
mie siingililii sana lakini
Hivi kwelini maamuma?? minaona maimuna ndo sahihi
au naomba nifundishe kidogo kama nimekosea hahahah lol
 
  • Verbal abuse (matusi),
  • Physical abuse (kimwili),
  • Sexual abuse(unyanyasaji wa ki jinsia,)
  • (Neglect)kutelekezwa)
  • Hate (chuki)
Ni vitu ambavyo viko sana kwenye jamii yetu
ni vitu ambavyo vinatokea kila saa, tonaona jinsi watoto wetu
wanavyo danganywa na wazee wazima, tunaona jinsi mama zetu
wanavyopigwa na kutukanwa, tunaona jinsi watu wanavyotengwa na jamii
sababu ya vitu wanavyofanya au jinsi walivyo na ambayo ipo kila sekunde
ni sisi kwa sisi kuchukiana .

wandugu ningeomba sana leo tuongelee hizi Dhuluma..

Nini kinampeleka mtu kufanya haya mambo??
Je kila afanyaye haya mambo ni mtu mmbaya??
na ni vipi tunaweza kuwasaidia waliokuwa kwenye hizi
situation .... You are more than welcome to share anything....

(samahani wakuu ningeomba sana tutumie lugha ya kiswahili na English kidogo)

(ili kila mtu aelewe )
AD

Du, hii ni topic nzito sana.
Lakini at the same time una maoni gani kwa wanawake ambao wanatendewa ubaya wote huo ulioueleza, lakini still wanakuwa hawataki kuachana na kuondokana na wanaume wanawao-abuse ktk kila namna.
 
Du, hii ni topic nzito sana.
Lakini at the same time una maoni gani kwa wanawake ambao wanatendewa ubaya wote huo ulioueleza, lakini still wanakuwa hawataki kuachana na kuondokana na wanaume wanawao-abuse ktk kila namna.
Mambo ya family tena mkuu, wamama wengi wamejikuta wanavumilia kutokana na hali halisi wanayoona watoto wanavyoteseka wazazi wakitengana, kitu kingine ni uchumi, wanawake wengine hawana chanzo cha kujipatia pesa hivo wanafikiria wakiondoka wataenda kuishije? ila siku hizi naona wasichana wengi wameamka wanasoma na wanakuwa na kazi nzuri, muda unavozidi kwenda huko miaka ya mbele sidhani kama kuna mwanamke atakuwa radhi kuvumilia ushenzi wowote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom