Abuse..( Dhuluma)

Swala sio kuona kawaida . . . . . swala ni kupima uzito wa wanachokisusia na kujua je ni kwa faida ya nani????
Baada ya hapo ndo mtu unajua utakapojisikia vibaya ni kwasababu umesababisha wakususie au kwasababu hawataki kukuunga mkono?? Vyovyote vile ndugu/jamaa/na marafiki wanatakiwa waondoe ubinafsi kwenye maamuzi yao. Hata kama kuna kitu hakikuwafurahisha kama hakimuumizi yeyote wangekuwepo then waondoke....kwani inawagharimu nini?

Hiyo bluu ni kauli hatari sana. Inaashiria kwamba lisemwalo na ndugu/jamaa/rafiki n.k. either liwe kweli au lisiwe kweli YOU DONT CARE!!! THEY MUST STICK TO WHAT YOU WANT, LIWE BAYA AU ZURI HALIWAHUSU!!! Ni aina fulani ya kuwafukuza ndugu zako. Tena ukiunganisha na hiyo red ndo inakamilika kabisa.

Mfano, umeambiwa mume/mke unaetaka kufunga nae ndoa anavuta bangi, anasafirisha mihadarati, ni kiongozi wa genge la ujambazi, ana wapenzi wengi n.k. then ukaambiwa ufanyie kazi hizi habari kabla hujafunga nae ndoa, wewe unaita ubinafsi.
Na kuonyesha jeuri unaitisha harusi, huku ukitaka ndugu wahudhurie???!!

Hapo kwenye black umesema KAMA KUNA KITU HAKIKUWAFURAHISHA hao ndugu (automatically kinaudhi) then unasema HAKIMUUMIZI YEYOTE??? How come is this possible???
 
Hiyo bluu ni kauli hatari sana. Inaashiria kwamba lisemwalo na ndugu/jamaa/rafiki n.k. either liwe kweli au lisiwe kweli YOU DONT CARE!!! THEY MUST STICK TO WHAT YOU WANT, LIWE BAYA AU ZURI HALIWAHUSU!!! Ni aina fulani ya kuwafukuza ndugu zako. Tena ukiunganisha na hiyo red ndo inakamilika kabisa.

Mfano, umeambiwa mume/mke unaetaka kufunga nae ndoa anavuta bangi, anasafirisha mihadarati, ni kiongozi wa genge la ujambazi, ana wapenzi wengi n.k. then ukaambiwa ufanyie kazi hizi habari kabla hujafunga nae ndoa, wewe unaita ubinafsi.
Na kuonyesha jeuri unaitisha harusi, huku ukitaka ndugu wahudhurie???!!

Hapo kwenye black umesema KAMA KUNA KITU HAKIKUWAFURAHISHA hao ndugu (automatically kinaudhi) then unasema HAKIMUUMIZI YEYOTE??? How come is this possible???

Hamna kilichopo katikati ya mstari....soma nnachoandika kama kilivyo maana ndivyo nnavyomaanisha!!Lengo la mimi kuweka VYOVYOTE VILE ni kuwafanya ndugu wasiwe wabinafsi ...yani hata kama unachofanya sio kizuri wafikirie kukibadilisha kwa faida yako wewe na sio yao!Kitendo cha wao kususa hata kama umeua haimsaidii aliyekosea...ila kuongea nae na kumrekebisha itasaidia!

Alafu tofautisha maana ya kutofurahisha na kuumiza......kitendo cha wewe kununua nyumba mjini na wao walitaka ununue gari kinaweza kisimfurahishe mtu ila hakitamuumiza.....
 
My dear
kwanza nashukuru sana
kwa wewe kuweka mawili matatu ya muhimu
naona kila mtu anachapa mwendo mmmhhhh

sehemu iliyonivuta zaidi ni hapo kwenye red..
Nadhani hilo ndilo tatizo kubwa tulilo nalo nafikiri
kwa vile ni baba yangu na mume wa mama yangu
kila afanyacho kinabaki ndani ya nyumba hatutaki kumvunjia kheshima
au kila mtu anaona familia yetu ni nzuri sana basi hatutasema lolote.
au ni watu tu wanaogopa?......

ukiweza kurudi naomba unijibie hili swali dear..
nini tofauti kati ya punishment ya kawaida na abuse ???
maana naona wengi wanachanganya sana haya..
haya ukiweza ntakuwa hapa nakusubiri asante tena..

Kwa hiyo afrodenz nikikuambia ninayapenda macho yako nitakuwa nimetenda VERBAL ABUSE?
 
Hamna kilichopo katikati ya mstari....soma nnachoandika kama kilivyo maana ndivyo nnavyomaanisha!!Lengo la mimi kuweka VYOVYOTE VILE ni kuwafanya ndugu wasiwe wabinafsi ...yani hata kama unachofanya sio kizuri wafikirie kukibadilisha kwa faida yako wewe na sio yao! Kitendo cha wao kususa hata kama umeua haimsaidii aliyekosea...ila kuongea nae na kumrekebisha itasaidia!

Alafu tofautisha maana ya kutofurahisha na kuumiza......kitendo cha wewe kununua nyumba mjini na wao walitaka ununue gari kinaweza kisimfurahishe mtu ila hakitamuumiza.....

Hilo ni lengo lako, lakin maana yake ya kawaida ndo hiyo niliyokueleza.
Unasema kususa haisaidii, bali kuongea nae na kumrekebisha. Sasa utaongea nini na mtu aliyekwisha amua kufanya anavyotaka???
Ushauri aliotakiwa afanyie kazi kabla ya ndoa hajaufuata, ataufanyiaje kazi wakati ameshaoa??? Kama ilitakiwa amekebishe mchumba ake na aone mabadiliko kabla ya ndoa, sasa hivi litafanyaje kazi????

Kwangu mimi na naamimi hata kwa wengi kitu nisichokipenda, kisichonifurahisha kina aina ya maudhi na sometimes kinaumiza, hasa kama kimekugusa. Kununua kitu ni tofauti na kushauri mtu. Mzazi kakushauri ufanye hivi, ukapuuzia! Hapo unategemea hicho kitendo hakitamfurahisha tu, ila hakitamuumiza??? Mtoto na matendo yake yanamgusa mzazi na ndugu yake moja kwa moja hata kama amekua.

Ndio maana tunasema uchungu wa mwana aujuae ni mzazi
Labda kama kwako kipo tofauti.
 
Naomba niwasilishe mada yenye aina fulani ya (Neglect)kutelekezwa)

Mariah-Carey-and-Nick-Cannon.jpg
mariah%20carey.nick%20cannon.2.thumbnail.jpg



Mwanamziki wa miondoko ya R&B nchini Marekani, Mariah Carey amejifungua mapacha wawili wa kike na kiume aliozaa na mume wake Nick Cannon.

Uhusiano wao ni kwamba, Nick na Mariah Carey walidumu ktk uhusiano wa kimapenzi kwa wiki 6 tu tangu wajuane hadi kuamua kuoana rasmi April 30, 2011.
(Angalizo hapa: Uhusiano ukae muda gani kabla ya ndoa, au kuanza mapenzi?!!! Au kwa wale wanaotaka mpaka ipite miaka kadhaa ndio ionekane wakioana watadumu ndoani)

Mahusiano yao yalijaa ukosoaji kutoka sehemu mbalimbali, wakisema Nick hakustahili kuwa na mwanamke huyo kwa kuwa alikuwa amezidiwa sana umri na Mariah Carey. Wanasema inawezekana Nick amerubuniwa na huyo mwanamke kutokana na utajiri wake. Walifunga ndoa wakati Nick ana miaka 27 na Carey 38.
(Hapa naanza kufananisha na akina Aibu-Rose Ba . . . na Jafa-Rahimuu)

Harusi yao ilihudhuriwa na wageni 24 tu wa upande wa Mariah, na hakukuwa na ndugu kutoka kwa Nick japo walipewa taarifa zote. (Huu sio utekelezwaji jamani???)
Ahsante kwa hii taarifa, i love them so much
 
  • Thanks
Reactions: CPU
Hilo ni lengo lako, lakin maana yake ya kawaida ndo hiyo niliyokueleza.
Unasema kususa haisaidii, bali kuongea nae na kumrekebisha. Sasa utaongea nini na mtu aliyekwisha amua kufanya anavyotaka???
Ushauri aliotakiwa afanyie kazi kabla ya ndoa hajaufuata, ataufanyiaje kazi wakati ameshaoa??? Kama ilitakiwa amekebishe mchumba ake na aone mabadiliko kabla ya ndoa, sasa hivi litafanyaje kazi????

Kwangu mimi na naamimi hata kwa wengi kitu nisichokipenda, kisichonifurahisha kina aina ya maudhi na sometimes kinaumiza, hasa kama kimekugusa. Kununua kitu ni tofauti na kushauri mtu. Mzazi kakushauri ufanye hivi, ukapuuzia! Hapo unategemea hicho kitendo hakitamfurahisha tu, ila hakitamuumiza??? Mtoto na matendo yake yanamgusa mzazi na ndugu yake moja kwa moja hata kama amekua.

Ndio maana tunasema uchungu wa mwana aujuae ni mzazi
Labda kama kwako kipo tofauti.
Kwahiyo kumbe tatizo ni tafsiri yako ya nnachosema mimi???Kwa hilo siwezi kukusaidia maana utaendelea kujitengenezea maana zisizokuwepo mpaka tulichokua tunaongelea kisahaulike so i rest my case!
 
Kwahiyo kumbe tatizo ni tafsiri yako ya nnachosema mimi???Kwa hilo siwezi kukusaidia maana utaendelea kujitengenezea maana zisizokuwepo mpaka tulichokua tunaongelea kisahaulike so i rest my case!

Sio tafsiri yangu, ndio maana yake ya kawaida. Uliza uambiwe
Mimi sikusema nahitaji msaada, ila nilitaka tuongelee hii habari kama aina fulani ya utekelezwaji
Lakin mwenzangu ukaona kama kawaida tu na pengine haina athari yoyote kwa mtekelezwaji kwa vile tu ameamua kufuata anachokata pasipo kuzingatia na kufanyia kazi mawazo ya nduguze
 
Sio tafsiri yangu, ndio maana yake ya kawaida. Uliza uambiwe
Mimi sikusema nahitaji msaada, ila nilitaka tuongelee hii habari kama aina fulani ya utekelezwaji
Lakin mwenzangu ukaona kama kawaida tu na pengine haina athari yoyote kwa mtekelezwaji kwa vile tu ameamua kufuata anachokata pasipo kuzingatia na kufanyia kazi mawazo ya nduguze
Punguza hasira kama nakuona vile
 
Kwahiyo kumbe tatizo ni tafsiri yako ya nnachosema mimi???Kwa hilo siwezi kukusaidia maana utaendelea kujitengenezea maana zisizokuwepo mpaka tulichokua tunaongelea kisahaulike so i rest my case!

Mnapendana kijanja sio eeeee, eti lizzy
 
mada ilikuwa nzuri sana bahati mbaya nimechelewa kuingia JF ............... kama sijachelewa, mmoja anishtue kwa PM nianze kumwaga mapoint............ tena kwennye eneo hili nilifanya na utafiti kabisa wa kitaalam...............

lakini we AD..................., kwa mapoint sikuwezi aisee ......................yaani kichwa sana we mtoto................. nitakuchumbia..................... ngoja nimalize shule.............. hope utakuwa bado available.................
 
mada ilikuwa nzuri sana bahati mbaya nimechelewa kuingia JF ............... kama sijachelewa, mmoja anishtue kwa PM nianze kumwaga mapoint............ tena kwennye eneo hili nilifanya na utafiti kabisa wa kitaalam...............

lakini we AD..................., kwa mapoint sikuwezi aisee ......................yaani kichwa sana we mtoto................. nitakuchumbia..................... ngoja nimalize shule.............. hope utakuwa bado available.................
Weka point upate mchumba....bado hujachelewa!
 
Ni sawa ulichosema . . . . Nakubali 100%
Labda pengine hukutaka nilete hii habari ya utekelezwaji wa aina hii ambao unakuwa unafanyiwa ukiwa mtu mzima, hasa ktk mahusiano ya ndoa, hapo nitakuelewa. Lakin mi nilichoelewa ni kwamba hata utekelezwaji hata wa aina hii ktk mahusiano pia unaweza ukaishi maisha yako yote yaliyobakia MPWEKE

my dear samahani sana kama nimekukwaza
nimependa sana michango yako ila mimi nilikuwa
naku challenge tu .. hakuna kingine naomaba usinuniee
mtoto mzuri .. nilikuwa nakuelewa kabisa nanimeshukuru sana
kwa wewe kuleta huu upande wa ulelezwaji kwani huwa hauongelewi sana ..
sante sana dear.
 
mada ilikuwa nzuri sana bahati mbaya nimechelewa kuingia JF ............... kama sijachelewa, mmoja anishtue kwa PM nianze kumwaga mapoint............ tena kwennye eneo hili nilifanya na utafiti kabisa wa kitaalam...............

lakini we AD..................., kwa mapoint sikuwezi aisee ......................yaani kichwa sana we mtoto................. nitakuchumbia..................... ngoja nimalize shule.............. hope utakuwa bado available.................

My dear
sekunde yeyote, dakika yeyoto, saa yeyote, siku yeyote,wiki yeyote ..............
unakaribishwa kuchangia na mi nakusubiria..

hapo kwenye blu mmhhhhh
tutaongea ukimaliza shule hahahahahah lol
 
Naomba niwasilishe hoja binafsi kabla ya kuchangia. Kitumike kiswahili tu kwenye michango, tena kiswahili fasaha sio cha kumun'gunya maneno. Sisi wengine ni maimuna hatujui lugha za wageni

Topic
Ngoja nivute stimu nijifanye nimetukanwa na kutemewa mate, kumwagiwa tindikali halafu ntakuja na jibu zuri . . .

Fasaha: kumun'gunya = kumumunya, maimuna = maamuma, stimu = mvuke

Kabla ya kutaka wengine waandike kwa ufasaha, ungeanza wewe kwa kurekebisha hayo niliyo yaainisha hapo juu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom