Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,185
- 10,911
Huko kwao Musoma.Kumbe,aliwahi kufundisha wapi
Huko kwao Musoma.Kumbe,aliwahi kufundisha wapi
Anahudumia Taifa kwa kupika chakulaHabari za wakati huu?!!
Imekua kawaida sana hasa baada ya uchaguzi Mkuu na mpaka kufikia hatua ya kuapishwa kua raisi wa nchi, Wakati akiwa amekabidhiwa nchi punde Mda si mrefu hua wanamfata mkewe popote alipoajiliwa na kumuachisha shughuli aliokua anafanya(ajira yake) pengine kwa kuwaaga wafanyakazi wenzake au lah!
Naomba kufahamu baada ya kuachishwa kazi (ajira) mke wa Raisi ( first lady) hua anapewa kazi gani ya kufanya? na je hua analipwa mshahara Kama raisi anavolipwa ?Kama ndio Malipo yake yapoje? Je hua ana Ofisi Kama vile makamu/waziri Mkuu??
Vipi Nssf/ppf yake Kule alipoachishwa kazi anapewa immediately au inaunganishwa Kule anapopelekwa??
Nikigombea nawe utakua First Lady 🙂Bila shaka hamna majibu ya kile kilichoulizwa...kwa nini msitulie wanaojua waseme kwani lazima mkomenti wapuuzi ninyi?
Hilo hata sio la kujadili loveNikigombea nawe utakua First Lady 🙂
Umeamkaje lakiniHilo hata sio la kujadili love
Niko poa, natumaini na wewe umeamka salamaUmeamkaje lakini
Wanakataa, anakataa au atakataa kulipa madeni yako?Habari za wakati huu?
Imekua kawaida sana hasa baada ya uchaguzi Mkuu na mpaka kufikia hatua ya kuapishwa kua raisi wa nchi, Wakati akiwa amekabidhiwa nchi punde Mda si mrefu hua wanamfata mkewe popote alipoajiliwa na kumuachisha shughuli aliokua anafanya (ajira yake) pengine kwa kuwaaga wafanyakazi wenzake au lah!
Naomba kufahamu baada ya kuachishwa kazi (ajira) mke wa Raisi (first lady) huwa anapewa kazi gani ya kufanya? na je hua analipwa mshahara Kama raisi anavolipwa? Kama ndio Malipo yake yapoje?
Je, hua ana Ofisi Kama vile makamu/ waziri Mkuu?
Vipi Nssf/ppf yake Kule alipoachishwa kazi anapewa immediately au inaunganishwa Kule anapopelekwa??
Uchaguzi ujao gombea, ukifanikiwa utapata jibu lisilo na shaka.
Kwani wageni wote wanaokuja nchini wanaongea kizungu? Acha kukariri.Hivi Máma Jáneth anaweza hata salimia kwa kizungu.!¿??
International Visitors must be conversant in at least two international lgs.Kwani wageni wote wanaokuja nchini wanaongea kizungu? Acha kukariri.
Kabisa loveNiko poa, natumaini na wewe umeamka salama
Haya maswali yanahitaji critical thinkers, ungeweza tu kukaa kimya kuficha upumbavu wakoUchaguzi ujao gombea, ukifanikiwa utapata jibu lisilo na shaka.
Ya WAMA ya Mke wa Kikwete bado ina operate ?Mke wa rais anayo office na fungu kubwa tu kwa kua yeye ni hostess wa wake au waume wa viongozi wanaotembelea nchi.
Kuhusu mafao inategemea njaa yake. Kama ananjaa kubwa anaziomba mapema tu.
Wengi wa wake za Marais huwa wanajiweka bize na charitable organizations Kama Ile ya mama Mkapa EOTF ama Ile ya mke wa Kenyatta. Wa Uganda Ni waziri wa Burundi sijui Kama anajishughulisha na nini zaidi ya tamthilia za Korea.
Naona mama kajikita kwenye ubunge zaidi
Inaonekana WAMA ilikuwa fursa ya kupiga pesaNaona mama kajikita kwenye ubunge zaidi
Tusifike huko Ila tuelewe tu ilikua Ina mkeep first lady busy kuliko kuangalia tamthilia
Nini kinatumika currently kum keep bize mama Janeth Magufuli ?Tusifike huko Ila tuelewe tu ilikua Ina mkeep first lady busy kuliko kuangalia tamthilia
Naona sasa unaelekea ikulu. Mimi naishia hapa hapa Ilala. WasalimieNini kinatumika currently kum keep bize mama Janeth Magufuli ?
As a matter of fact Magufuli's opinion on issues like WAMA and their likes kuna upigaji wa fedha za wananchi
Sent using Jamii Forums mobile app