About First Lady In Tanzania

Habari za wakati huu?!!
Imekua kawaida sana hasa baada ya uchaguzi Mkuu na mpaka kufikia hatua ya kuapishwa kua raisi wa nchi, Wakati akiwa amekabidhiwa nchi punde Mda si mrefu hua wanamfata mkewe popote alipoajiliwa na kumuachisha shughuli aliokua anafanya(ajira yake) pengine kwa kuwaaga wafanyakazi wenzake au lah!
Naomba kufahamu baada ya kuachishwa kazi (ajira) mke wa Raisi ( first lady) hua anapewa kazi gani ya kufanya? na je hua analipwa mshahara Kama raisi anavolipwa ?Kama ndio Malipo yake yapoje? Je hua ana Ofisi Kama vile makamu/waziri Mkuu??
Vipi Nssf/ppf yake Kule alipoachishwa kazi anapewa immediately au inaunganishwa Kule anapopelekwa??
Anahudumia Taifa kwa kupika chakula
 
Habari za wakati huu?

Imekua kawaida sana hasa baada ya uchaguzi Mkuu na mpaka kufikia hatua ya kuapishwa kua raisi wa nchi, Wakati akiwa amekabidhiwa nchi punde Mda si mrefu hua wanamfata mkewe popote alipoajiliwa na kumuachisha shughuli aliokua anafanya (ajira yake) pengine kwa kuwaaga wafanyakazi wenzake au lah!

Naomba kufahamu baada ya kuachishwa kazi (ajira) mke wa Raisi (first lady) huwa anapewa kazi gani ya kufanya? na je hua analipwa mshahara Kama raisi anavolipwa? Kama ndio Malipo yake yapoje?

Je, hua ana Ofisi Kama vile makamu/ waziri Mkuu?

Vipi Nssf/ppf yake Kule alipoachishwa kazi anapewa immediately au inaunganishwa Kule anapopelekwa??
Wanakataa, anakataa au atakataa kulipa madeni yako?
 
Mke wa rais anayo office na fungu kubwa tu kwa kua yeye ni hostess wa wake au waume wa viongozi wanaotembelea nchi.
Kuhusu mafao inategemea njaa yake. Kama ananjaa kubwa anaziomba mapema tu.
Wengi wa wake za Marais huwa wanajiweka bize na charitable organizations Kama Ile ya mama Mkapa EOTF ama Ile ya mke wa Kenyatta. Wa Uganda Ni waziri wa Burundi sijui Kama anajishughulisha na nini zaidi ya tamthilia za Korea.
Ya WAMA ya Mke wa Kikwete bado ina operate ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom