RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,438
- 135,127
Ndani ya Yutong mpya jamani leo nimenaswa kwa Ndoo nyuma ni siti namba 58, na safari inaendelea tupo mikese narejea dar
unamaana unasafiri umekalia ndoo kwenye corridor ya bus badala ya kiti??
Ndani ya Yutong mpya jamani leo nimenaswa kwa Ndoo nyuma ni siti namba 58, na safari inaendelea tupo mikese narejea dar
mkuu utakuwa na imani kama ya tomaso
sawa sawa ................nimekuoppata Brondo, niliadhani huamini kama ni kweli wanakalia siti za ndooo, hizo siti ukipewa tiketi inakuwa na namba ya siti lkn unaambiwa ukalie ndoohapana mkuu.....nina kichwa kigumu sielewi aliposema 'amenaswa kwa ndoo nyuma siti namba 58' anamaanisha nini? ndio maana nimeuliza.
sawa sawa ................nimekuoppata Brondo, niliadhani huamini kama ni kweli wanakalia siti za ndooo, hizo siti ukipewa tiketi inakuwa na namba ya siti lkn unaambiwa ukalie ndoo
hapa nashindwa kuweka LIKE Safari-ni -Safari
tunajua hofu yako ni hilo jina la ''abood''.ingekuwa ni john bus services usinge "horojoka" kwa maswali ya kitoto namna hii.mleta mada Amavubi mpuuzie huyu mdini,atakuharibia siku.Si kwa kuwa ndoo hazijakaliwa tu, bali hata hilo bus tutajuaje kama ni kweli la Abood?
tunajua hofu yako ni hilo jina la ''abood''.ingekuwa ni john bus services usinge "horojoka" kwa maswali ya kitoto namna hii.mleta mada Amavubi mpuuzie huyu mdini,atakuharibia siku.
duh, haya........................
mwenyewe:eyebrows:Wasiwasi wako ndiyo maradhi yako. Na hilo lipo kwenye moyo wako.
Wewe umejuaje kama hilo ni Abood? umeota au umesikia ya kuambiwa tu?
Na hayo ya dini anayaleta nani kama si wewe?
Kumbuka; Kama udini ni Uislam basi naam, mimi ni mdini namba moja. Usisahau hilo.
Punguani wahed.
duh, haya........................
Rekebisha halafu kanisome vizuri nilichokiandika, wacha kiherehere.