Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,268
si kwamba shida ya maji imefikia kiasi cha mtu kwenda na basi kuyachota Morogoro, Unachoona pichani ni siti za ziada kwenye mabasi mapya kabisa ya Abood ambapo nilipata kusafiri nalo. Ukiingia utaziona Ndoo hizi zikiwa siti ya nyuma kabisa na utadhani ni mzigo wa fellow passengeer kumbe ni siti za ziada, cha ajabu kabisa ni kuona abiria wakipewa tiketi kwa kukalis 'siti' hizo
Ni kweli kwamba awali Abood ililkuwa na Three by two sitter, hivyo huenda kutokana na kuongeza Youton za two by two ameamua kuongeza siti za kienyeji.
Sina zaidi.