FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
naona FF ANANIPINGA KWA NGUVU ZOTE
Ikiwa kukutanabahisha kuwa picha na maneno yako haviendani ndiyo kukupinga, basi kweli nakupinga, lakini si nguvu zote. Nguvu zangu za hoja ni nzito sana kuliko ufikiriavyo.
Hizo picha ulizoweka, kwanza ndoo hazijakaliwa ni kinyume na maneno yako, pili basi la Abood umesema wewe lakini picha hazioneshi kuwa basi ni lipi, linaweza kuwa lolote, hata lako.