Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,268
- Thread starter
- #41
Kumbe kilichokuwa kinatafutwa ni CCM. Kweli ujinga ni ugonjwa mbaya ukichanganyika na hasda na wivu basi tiba inakuwa ngumu. Ndoo unazosema wanakalia abiria ni uzushi tu.Gari za kwenda Moro na kurudi zipo nyingi mtu akalie ndoo? Analipa 1000 kama nauli?
cant comment further ....bishana hadi kufa hata kama ni ukweli