Abood Bus Service na "Siti za Ndoo'

Abood Bus Service na "Siti za Ndoo'

Kumbe kilichokuwa kinatafutwa ni CCM. Kweli ujinga ni ugonjwa mbaya ukichanganyika na hasda na wivu basi tiba inakuwa ngumu. Ndoo unazosema wanakalia abiria ni uzushi tu.Gari za kwenda Moro na kurudi zipo nyingi mtu akalie ndoo? Analipa 1000 kama nauli?

cant comment further ....bishana hadi kufa hata kama ni ukweli
 
Kwenye shida ni sawa! Huna jinsi! Ila inapotokea ajali ndio msala! Na wasafiri wenye kuamini abood bus huwaambii kitu!
 
Hivi mtu analazimishwa kukalia ndoo au anapenda mwenyewe kukaa kwenye ndoo...?.

Kama siti zimejaa abiria anazuiwa kushuka na kupanda gari nyingine kwani...?.


arguement hii sio ya ki GT


Mi naamini wee sio MSENGEREMA kwa mana naamini wazi kuwa hutokei SENGEREMA MKUU.

Comment yangu inasema mtu akiona zimejaa ASHUKE apande gari yenye seat ya kuweza kukaa unasema sio argument ya KI-GT kwa hiyo wee unashauri wapande hivyohivyo...?.
 
sawa umesomeka bila kuongeza Usengerema
Mi naamini wee sio MSENGEREMA kwa mana naamini wazi kuwa hutokei SENGEREMA MKUU.

Comment yangu inasema mtu akiona zimejaa ASHUKE apande gari yenye seat ya kuweza kukaa unasema sio argument ya KI-GT kwa hiyo wee unashauri wapande hivyohivyo...?.
 
natafakari pale stendi kuu kuna mabasi mengi tu au hata Abood yenyewe ipo inafuata nyingine lkn mtu anajiweka intoi such risk nashawishika kuamini huenda wanatoa nauli pungufu kdg
Kwenye shida ni sawa! Huna jinsi! Ila inapotokea ajali ndio msala! Na wasafiri wenye kuamini abood bus huwaambii kitu!

Mi naamini wee sio MSENGEREMA kwa mana naamini wazi kuwa hutokei SENGEREMA MKUU.

Comment yangu inasema mtu akiona zimejaa ASHUKE apande gari yenye seat ya kuweza kukaa unasema sio argument ya KI-GT kwa hiyo wee unashauri wapande hivyohivyo...?.
 
View attachment 228295

si kwamba shida ya maji imefikia kiasi cha mtu kwenda na basi kuyachota Morogoro, Unachoona pichani ni siti za ziada kwenye mabasi mapya kabisa ya Abood ambapo nilipata kusafiri nalo. Ukiingia utaziona Ndoo hizi zikiwa siti ya nyuma kabisa na utadhani ni mzigo wa fellow passengeer kumbe ni siti za ziada, cha ajabu kabisa ni kuona abiria wakipewa tiketi kwa kukalis 'siti' hizo

Ni kweli kwamba awali Abood ililkuwa na Three by two sitter, hivyo huenda kutokana na kuongeza Youton za two by two ameamua kuongeza siti za kienyeji.

Sina zaidi.

Ni kweli kabisa mleta mada kaongea kitu cha ukweli huwa napanda hizo bas za abood na abiria huwa wanakalishwa kwenye ndoo hasa hizo bus mpya youtong na sielewi wa tz tunakuwaje ktk mawazo mwingine analipa buku 7 na kwenye ndoo anakaa ni shida ntaleta na mm picha kukazia wengine wabish.
 
Niko kwa Aboud bus sasa hivi naelekea milima ya uluguru mji kasoro bahari, yaliyopo ndani ni kuna ndoo mbili na creti moja yote yamekaliwa na watu, pia kule kwa dreva dashboard pale mlangoni kuna abiria watatu wamekaa na watatu wamesimama.

Ujasiriamali unaendelea.
 
Ni kweli kabisa mleta mada kaongea kitu cha ukweli huwa napanda hizo bas za abood na abiria huwa wanakalishwa kwenye ndoo hasa hizo bus mpya youtong na sielewi wa tz tunakuwaje ktk mawazo mwingine analipa buku 7 na kwenye ndoo anakaa ni shida ntaleta na mm picha kukazia wengine wabish.
safi sana mkuu,
 
Ni kweli kabisa mleta mada kaongea kitu cha ukweli huwa napanda hizo bas za abood na abiria huwa wanakalishwa kwenye ndoo hasa hizo bus mpya youtong na sielewi wa tz tunakuwaje ktk mawazo mwingine analipa buku 7 na kwenye ndoo anakaa ni shida ntaleta na mm picha kukazia wengine wabish.
nasubiri kwa hamu radika
 
View attachment 228295

si kwamba shida ya maji imefikia kiasi cha mtu kwenda na basi kuyachota Morogoro, Unachoona pichani ni siti za ziada kwenye mabasi mapya kabisa ya Abood ambapo nilipata kusafiri nalo. Ukiingia utaziona Ndoo hizi zikiwa siti ya nyuma kabisa na utadhani ni mzigo wa fellow passengeer kumbe ni siti za ziada, cha ajabu kabisa ni kuona abiria wakipewa tiketi kwa kukalis 'siti' hizo

Ni kweli kwamba awali Abood ililkuwa na Three by two sitter, hivyo huenda kutokana na kuongeza Youton za two by two ameamua kuongeza siti za kienyeji.

Sina zaidi.

nashindwa kujua mjinga zaidi ni yupi??? yule anaekalia ndoo au yule anaewakalisha abiria kwenye ndoo??
 
nashindwa kujua mjinga zaidi ni yupi??? yule anaekalia ndoo au yule anaewakalisha abiria kwenye ndoo??
hili nalo neno lenye kuhitaji tafakuri jadidi
 
Ndani ya Yutong mpya jamani leo nimenaswa kwa Ndoo nyuma ni siti namba 58, na safari inaendelea tupo mikese narejea dar
 
nashindwa kujua mjinga zaidi ni yupi??? yule anaekalia ndoo au yule anaewakalisha abiria kwenye ndoo??

Hapa hakuna m....ng.....yanatokea tu ila kautaratibu haka ni ka dereva ana kibaraka wake muuza vitabu ndio nimeona anapanga watu kwa ndoo na kufungua madrisha ya headroof
 
Back
Top Bottom