Jerhy
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 3,135
- 1,001
asante Jerhi utujuze kama umefika salama na sehemu zako za haja kubwa
Zile ndoo ni ndogo aisee kufika chalinze hivi makalio yanauma ni shiida, mitaaa ya kwa mathius hivi ndio nikapata kiti hapo usingizi mpaka nafika Kibo Ubungo nashuka nikaona bora nijipatie uthibitisho wa picha ndio hii- ndoo ya blue ndio siti namba 58 niliyokalia leo na Kijani mbele ni siti namba 59, isitoshe tulipofika Bwawani akapikia abiria sita hao wakasimama mpka Maili moja, vile vile pale dashboard akawa na abiria 4
Mfumo wa kunasa kwa siti ni pale ukikuta yutong ndio inaachia geti la msamvu basi hapo ndio siti za ndoo na creti hukatiwa tiketi, na inakuwa hivo kwa sababu kusubiri bus jingine lijae kwa nusu saa unaona unachelewa kufika Dar.