FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 731
Hii topic ishaanza kuwa ya Kidaku daku hivi............
Hii topic ishaanza kuwa ya Kidaku daku hivi............
Jamani eeeeH......ZINDUKENIII!!!
It is VERY important makampuni ya kigeni kuwa na walau local directors, ili tujue kitu gani kinaendelea ndani kwa maslahi ya wananchi na pia kuwa na local insights/contribution. Lakini pia kuwa members kwenye maboard makubwa haya ni sehemu ya CAPACITY BUILDING!
Tatizo ni political figures ambao wanapenda kunyakua kila kitu, na zaidi ni kuingia kichwa kichwa kwa sababu za kibinafsi zaidi (allowances) bila kuangalia mitego na nia ya Executives wa kampuni hizo. Mbaya zaidi wanasiasa hao hata elimu ya aina ya biashara wanayokwenda kutoa ushauri wao ndani ya boards hizo hawana, not even a clue!
Mara nyingi, especially kwenye delevoping countries, Multinational companies wanawaweka political figures ili wapate urahisi wa kufanya mambo yao kwa kutumia influences zaidi badala ya merits! ( ati wanasema it helps knocking the right doors, and speeds up and avoids unnecessary bureaucracy).
Solution ni kupunguza bureaucracy serikalini, kushawishi walau 30% ya nafasi za non executive members of board of directors wa applied na sio kupewa kwenye silver plate!
Na pia kuwe na publication ya list na wasifu wa wakurugenzi wa makampuni ambayo yanaathiri moja kwa moja maslahi ya taifa, kama vile artumas!
Kwenye CV ya Marope Bungeni haionyeshi ushiriki wake kwenye Artumas wala makampuni yake mengine, je ni siri au alikosea tu kuongezea? Hivi kwenye form zake za ku-declare mali inaonyesha udirector wake?
na Kama Spika Six Anajuwa Haya Kwanini Huyo Mtu Aingie Bungeni Na Wakati Keshaona Work Ethics Zime Kiukwa?
Kwani Sasa Ni Siri Tena Kuwa Mrope Ni Jangili?
Yeye Na Abdulrahman Kinana?
Halafu Hata Hawana Haya Kuweka Picha Za Watu Masikini Na Huku Mikataba Yenyewe Ni Ya Kifisadi?
Kwani Nani Hajuwi Sasa Hata Sisi Tanzania Ni Matajiri Na Si Madini Tu Na Ardi Yenye Rutuba Pamoja Na Miujiza Ya Kitalii...bali Pia Tuna Mafuta!
Sasa Mkapa Na Kina Mrope Na Kinana Wanataka Taifa Ligawanyike Ili Wabaki Na Mafuta Hayo Wenyewe Huko Mtwara Na Madini Yote Huko Mara!
Nazani Washaanza Kutengeneza Ushahidi Sasa
mnaonaje tukiandaa maandamano ya nchi nzima....kuelezea nia yetu ya kuona maswala ya ufisadi yanashughukikiwa
NCHI KWELI IKO MIKONONI MWA WATU BINAFSI!
Sasa SERIKALI IMESHIRIKISHWA?
Kumbe kuna MAFUTA MTWARA NA NDIO MAANA MKAPA ANATAKA TANZANIA IGAWANYIKE?
ukiona Mwanasiasa Wa Tanzania Ka Kaa Kimya Ujue Pensheni Ya Wizi Anayokula Sio Ndogo
Sasa na hao wanaosema JK anaumwa na hawezi kuongoza nchi...Wanasema ukweli ama ni propaganda?
Kuongoza Nchi sio kama kuongoza Biashara ya Baa/Club.....Unatakiwa uwe makini katika kila hatua unayoichukua, Kila serikali Duniani ina tatizo la kuzungukwa na malyobist ambao huwa wako kalibu na serikali kwa manufaa yao na hawajali taifa, Hivyo Kikwete Kazi aliyo nayo sio ndogo ya Kuhakikisha anawasambarataisha malobysit , ambao wako kwenye nafasi nyeti za serikali na za kiuchumi na Biashara, hivyo maoni yangu na malizia kwa kuusema , KIKWETE NI RAIS MZURI NA BORA SEMA TIMU YAKE NDIO ......IMEOZA, WAFUNGAJI BUTU, HIVYO HTUWEZI KUONA MAGOLI, TUTAISHIA KWENYE DROO TU KAMA INAYOENDELEA SASA