Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,264
- 222,286
- Thread starter
- #61
swadaktaUshujaa wale ni kummwaga DPP na vyombo vyake mahakamani. Yaani ni kama Daudi na Goriath.
swadaktaUshujaa wale ni kummwaga DPP na vyombo vyake mahakamani. Yaani ni kama Daudi na Goriath.
Kwi! Kwi! Kwi!
Kuwabwaga makamanda wa upelelezi na polisi mikoa miwili unadhani ni jambo dogo! Jaribu uone.mashujaa kilamtu anajua walipo,ushujaa wake uko wapi au unatokana na nini?
Waonye kwanza hao jamaa zako. Hapo nitakuelewa.Moderator kama siku hizi hakuna ban kwanini msitutangazie ili na sisi tujiachie ?
Shujaa wa kukosoa maovu ya serikali hadharani na kuishinda mahakamani tofauti na ww wa nyuma ya KeyboardUshujaa wake ni nini? Kupotea?
Ushujaa wake ni nini? Kupotea?
Kurejea na kufaulu ni vitu viwili tofauti usisahau hilo!
Ukiwa nanmwazo ya kijinga maisha huonekana rais ila katika uhalisia wake maisha ni sawa na jela. Ushujaa wa nondo unaweza kutuambia, alifanya kitu gani mpaka aitwe shujaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajiteke tena, itapendeza.
Hebu muambieni huyu dogo sijui maji ya magwanda yamemfanya asifikiri,mambo anayoyasema hapa hata ananitia aibu japo tunatoka wilaya moja ,ama anajitia uwendawazimu au sintofahamu,hivi maana ya neno shujaa sijui kama anajua maana yake.
Huyu ni Shujaa Wa nini
Kwao Shujaa ni yoyote yule anayepingana na serikali for any reason whatsoever. Ila wao wanajificha humu tu hawatoki mbele hata siku moja
UVCCM ROHO ZINAWAUMA, MLITEGEMEA KUWA ATAFUNGWAShujaa aliyetekwa na dem!
Lakini akawashinda waliomtungia uongo mahakani na wengine kutumbuliwa (Nchemba)Shujaa aliyetekwa na dem!
Mkuu usiyaamini Sana mashetani hayajawahi kusema kweli!
Akili za matopeUshujaa wake ni nini? Kupotea?
Heri matope kuliko kinyesi.Akili za matope
Hacha roho mbaya, wewe mlamba viatuUshujaa wake ni nini? Kupotea?