msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,763
- 3,198
Mpelekeni sasa hivi maana atapoteza mudatu.Hata wakimfelisha. Tutamchangia aende ulaya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpelekeni sasa hivi maana atapoteza mudatu.Hata wakimfelisha. Tutamchangia aende ulaya!
Muda mkuu!!kwanini ameng'ang'ana kurudi hapo? si angetafuta chuo kingine!? atafelishwa bure!
Angalizo na maelekezo yamekuwa mengiii nyinyi mafala niniNi angalizo tu!
😀😀😀 haya ka umeona hilo ndo ushuja sawa mkuuKuwabwaga makamanda wa upelelezi na polisi mikoa miwili unadhani ni jambo dogo! Jaribu uone.
Mtoto mdogo sana kaangusha mbuyu !UVCCM ROHO ZINAWAUMA, MLITEGEMEA KUWA ATAFUNGWA
Samwel Sitta aliwahi kufukuzwa chuo mwaka 1966 baada ya kupinga mpango wa Nyerere wa kuwapeleka JKT wasomi , lakini mwisho wa siku akaja kuwa spika wa Bunge la Tanzania
Sio shujaa tuu bali yuko timamu pia kuliko weweUshujaa wake ni nini? Kupotea?
Kamshinda dikteta uchwaraAma kweli kuna watu na viatu
Ushujaa gani????
Hv kipindi unaandika ulifikiri kabla?????
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, kumbe umezoea kujipiga mindole? Ha ha ha.
Nondo ni shujaa kwa kutetea haki kwa kutaka waliohusika na kifo cha Aquiline wawajibishwe.Na aliwataja na akashinikiza Waziri wa Mambo ya Ndani ajiuzulu.we unaweza?Ukiwa nanmwazo ya kijinga maisha huonekana rais ila katika uhalisia wake maisha ni sawa na jela. Ushujaa wa nondo unaweza kutuambia, alifanya kitu gani mpaka aitwe shujaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuta nawe ni graduate.Fake ID isikupe kiburi upo uchi wa mnyama na teckno yako hiyoDuh, kumbe umezoea kujipiga mindole? Ha ha ha.
Kwendraa.Unaweza kuta nawe ni graduate.Fake ID isikupe kiburi upo uchi wa mnyama na teckno yako hiyo
Shujaa wa makalio yakoHuyu ni Shujaa Wa nini