Abdul Nondo kurudi chuoni Januari 4

Abdul Nondo kurudi chuoni Januari 4

Ushujaa wake ni nini? Kupotea?
mbona CCM mlimpa jiwe tuzo kwa ndege kutua kwa dharura? tuzo ilikuwa ya nini?

ukitaka kujua ushujaa wa Nondo waulize kina Bashite, Mwigulu, Zirro waliotuaminisha kuwa Shujaa huyu alijiteka ila mwisho wa siku akaibuka kidedea.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hebu muambieni huyu dogo sijui maji ya magwanda yamemfanya asifikiri,mambo anayoyasema hapa hata ananitia aibu japo tunatoka wilaya moja ,ama anajitia uwendawazimu au sintofahamu,hivi maana ya neno shujaa sijui kama anajua maana yake.
Kwa mfano, neno gani moja alilolisema linatia aibu?
 
Wamlipe fidia asome bure ni makosa kumkatisha masomo asiye na kosa.Huu utaratibu si mzuri wa kusimamisha mtu sababu ana kesi ni heri utumike utaratibu wa kuzuia cheti cha kuhitimu masomo hadi kesi ya mwanafunzi itakapofika tamati,akiwa na hatia kinafutwa cheti,asipokuwa na hatia anapewa cheti chake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom