sina mengi sana ya kuongea ila atujamuona jimboni tokea amechaguliwa na alitoa ahadi tele lakini hamna ata moja alilolitekeleza je huu ni ungwana au uhuni
.Mkome mnalalamika nini sasa? Kwanini msimchague Dickson Nghilly au mlikuwa hammuoni?
Haswaa!!!!!!!!!!!!mnavuna mlichopanda sasa........
Sina mengi sana ya kuongea ila hatujamuona jimboni tokea amechaguliwa na alitoa ahadi tele lakini hamna ata moja aliyoitekeleza je huu ni uungwana au uhuni?