October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,997
A day am inspired kuandika tu.
Huu uzi lengo lake kuonesha safari ya maisha yetu halisia kiuchumi kutoka step moja hadi step nyingine, unachofanya ni kuonesha/kueleza hali hali ya kiuchumi uliyonayo sasa iwe ngumu au ya msoto na kueleza baadhi ya malengo yako unayotarajia kutimiza kulingana na muda fulani uliyojiwekea.
Ningependa uzi huu ukawe wa endelevu, kwa maana uliweka hali yako kiuchumi ya sasa unaweka lengo/malengo uliyojiwekea kuyatimiza kwa muda fulani then baadae hata ikipita miezi/Mwaka/miaka ukatimiza lengo unakuja kwenye uzi una-Quote ile comment yako na kuelezea ulivyotimiza lengo | pia sio lazima kueleza malengo yako unaweza eleza hali yako ya sasa kiuchumi ukitimiza lengo Fulani ukaja kueleza.
Hii itakuwa nzuri utapoweka update ya kutumiza lengo fulani anayesoma wakati huo atatafuta reply yako ya nyuma aone ulivyotoka ZERO mpaka HERO.
Vizuri wale member walio kwenye Scratch kama Umomi nk wakawa hii ndio uwanja wao.
PERSONAL/BINAFSI
_Kwasasa uchumi wangu hauko stable, ndio nimemaliza Chuo nipo naishi nyumbani kwa wazazi, Asset ninazomiliki kamradi kadogo tunamiliki watu watatu kwa siku napata 2000 Tzs. Mbali na biashara hiyo kingine nacho miliki hii simu Tecno N2 iliyoharibika system charger.
Nina malengo kadhaa ya muda mrefu na muda mfupi na Mikakati kadhaa ya kufikia malengo haya kwa muda uliopangwa.
Nila malengo makubwa sita (6), ambayo ni kumiliki Biashara hizi kabla sijafikisha miaka 40
1)Carwash za kisasa (nne 4).
2)Biashara ya usafishaji (I.e Costa 4).
3)Large Scale Poultry Farm.
4)Mastering Online Business (FX, Drop shipping, Freelauncer).
5)Kufungua kituo cha mafuta (Petrol Station).
6)Starting Fintech Company (Startup).
Mbali na malengo haya yaliyo katika mfumo wa Biashara kabla kutumiza miaka 35 ninataka nimiliki kihasi cha 2 Billion Cash zangu mwenyewe.
Malengo yote nimejaribu kuyapangilia kulingana na uzito wake kutoka 1 hadi 6 ili kuwa rahisi kutekelezeka simply siwezi leo hii nikasema nianze na Petrol Station nitakuwa siko serious, lazima nianze na Carwash, kupitia Carwash utanipa Mtaji wa Usafishaji nk nk.
Sasahivi nipo katika Mikakati ya kutumiza lengo la kwanza kati ya sita (6), kufungua Carwash ya kisasa ndani ya DSM Mungu atapojaalia kabla 2021kuisha nimepanga niwe nishafanikisha.
Malengo madogo na makubwa kipindi kufupi, nitaanza kureta update soon.
1)Lengo la muda mfupi kabla 2020 kuisha kuhama home.
2)Kabla 2021 kuisha kufungua Carwash kubwa ya kwanza Dar Es Salam.
Hapa nitakuwa nareta mrejesho wa malengo hayo sita (6) mpaka kufikia mwaka 2035 endapo hakuta tokea tatizo llolote, bila kusahau ka kumiliki 2 Billion Cash kabla 35.
Nataka nimuoneshe dogo fulani aliye darasa la tano (5) sasahivi ikaja kuanza kutumia JF kipindindi hiko 2035 aone kumbe mambo yanawezekana ukipanga malengo.
Huu uzi utakuwa kama deni litalonichapa bakora kilasiku nitahakikisha sitawaangusha.
Huu uzi lengo lake kuonesha safari ya maisha yetu halisia kiuchumi kutoka step moja hadi step nyingine, unachofanya ni kuonesha/kueleza hali hali ya kiuchumi uliyonayo sasa iwe ngumu au ya msoto na kueleza baadhi ya malengo yako unayotarajia kutimiza kulingana na muda fulani uliyojiwekea.
Ningependa uzi huu ukawe wa endelevu, kwa maana uliweka hali yako kiuchumi ya sasa unaweka lengo/malengo uliyojiwekea kuyatimiza kwa muda fulani then baadae hata ikipita miezi/Mwaka/miaka ukatimiza lengo unakuja kwenye uzi una-Quote ile comment yako na kuelezea ulivyotimiza lengo | pia sio lazima kueleza malengo yako unaweza eleza hali yako ya sasa kiuchumi ukitimiza lengo Fulani ukaja kueleza.
Hii itakuwa nzuri utapoweka update ya kutumiza lengo fulani anayesoma wakati huo atatafuta reply yako ya nyuma aone ulivyotoka ZERO mpaka HERO.
Vizuri wale member walio kwenye Scratch kama Umomi nk wakawa hii ndio uwanja wao.
PERSONAL/BINAFSI
_Kwasasa uchumi wangu hauko stable, ndio nimemaliza Chuo nipo naishi nyumbani kwa wazazi, Asset ninazomiliki kamradi kadogo tunamiliki watu watatu kwa siku napata 2000 Tzs. Mbali na biashara hiyo kingine nacho miliki hii simu Tecno N2 iliyoharibika system charger.
Nina malengo kadhaa ya muda mrefu na muda mfupi na Mikakati kadhaa ya kufikia malengo haya kwa muda uliopangwa.
Nila malengo makubwa sita (6), ambayo ni kumiliki Biashara hizi kabla sijafikisha miaka 40
1)Carwash za kisasa (nne 4).
2)Biashara ya usafishaji (I.e Costa 4).
3)Large Scale Poultry Farm.
4)Mastering Online Business (FX, Drop shipping, Freelauncer).
5)Kufungua kituo cha mafuta (Petrol Station).
6)Starting Fintech Company (Startup).
Mbali na malengo haya yaliyo katika mfumo wa Biashara kabla kutumiza miaka 35 ninataka nimiliki kihasi cha 2 Billion Cash zangu mwenyewe.
Malengo yote nimejaribu kuyapangilia kulingana na uzito wake kutoka 1 hadi 6 ili kuwa rahisi kutekelezeka simply siwezi leo hii nikasema nianze na Petrol Station nitakuwa siko serious, lazima nianze na Carwash, kupitia Carwash utanipa Mtaji wa Usafishaji nk nk.
Sasahivi nipo katika Mikakati ya kutumiza lengo la kwanza kati ya sita (6), kufungua Carwash ya kisasa ndani ya DSM Mungu atapojaalia kabla 2021kuisha nimepanga niwe nishafanikisha.
Malengo madogo na makubwa kipindi kufupi, nitaanza kureta update soon.
1)Lengo la muda mfupi kabla 2020 kuisha kuhama home.
2)Kabla 2021 kuisha kufungua Carwash kubwa ya kwanza Dar Es Salam.
Hapa nitakuwa nareta mrejesho wa malengo hayo sita (6) mpaka kufikia mwaka 2035 endapo hakuta tokea tatizo llolote, bila kusahau ka kumiliki 2 Billion Cash kabla 35.
Nataka nimuoneshe dogo fulani aliye darasa la tano (5) sasahivi ikaja kuanza kutumia JF kipindindi hiko 2035 aone kumbe mambo yanawezekana ukipanga malengo.
Huu uzi utakuwa kama deni litalonichapa bakora kilasiku nitahakikisha sitawaangusha.