A reason why one visa for tourists is not an option for Tanzania

I repeat you are not talking to a fool my dear friend let me quote a piece from the source that you have provided us with. It says and I quote,

Why is Greece in trouble?

Greece has been living beyond its means since even before it joined the euro. After it adopted the euro, public spending soared and public sector wages practically doubled.

wewe unakasi ya kujibu hii excerpt nimeweka bila kusoma kwa makini na ndio tatizo pengine watanzania munao kubwa. You tend to overlook the smallest of issues na munachanganyikiwa kudumisha yale ya kawaida mukikimbilia yale makubwa na mazito. Kabla uanze kukurupuka na lugha isiyoeleweka, soma hiyo excerpt kwa makini tena.

Tena Kuna socialist governments nyingi Uropa/EU na wanadumisha uchumi zao bila madeni. The EU haikuongeza la ziada katika mkataba, bali waliweka sarafu iwe euro na hawakuja na plan za kuondoa sheria za kiuchumi nchini Greece, which explains why kimsingi greece walikubali huo mkataba. Lakini kama kawaida na utakana, katika nchi nyingi za kisocialist, changamoto za kisiasa ndio tatizo kubwa katika kuwezesha sera za kiuchumi zifaulu. Swali kubwa Je! was it a requirement in the EU constitution greece wa overspend on social welfare funds licha ya kwamba they had the interest of their local populace at heart(that is a great loss)?

Umezungumzia kuhusu Export subsidies na this go a long way in protecting the participants in the export sector and encourage many more local exporters to do more business. The export subsidies ziliwekewa wageni au local exporters ndio wakaona kimsingi ndio sababu kubwa ya uchumu kudorora? Vile ilivyo ni wao wenyewe walifanya uchumi ikashuhudia an economic meltdown.
 
wewe unakasi ya kujibu hii excerpt nimeweka bila kusoma kwa makini na ndio tatizo pengine watanzania munao kubwa. You tend to overlook the smallest of issues na munachanganyikiwa kudumisha yale ya kawaida mukikimbilia yale makubwa na mazito. Kabla uanze kukurupuka na lugha isiyoeleweka, soma hiyo excerpt kwa makini tena.

Tena Kuna socialist governments nyingi Uropa/EU na wanadumisha uchumi zao bila madeni. The EU haikuongeza la ziada katika mkataba, bali waliweka sarafu iwe euro na hawakuja na plan za kuondoa sheria za kiuchumi nchini Greece, which explains why kimsingi greece walikubali huo mkataba. Lakini kama kawaida na utakana, katika nchi nyingi za kisocialist, changamoto za kisiasa ndio tatizo kubwa katika kuwezesha sera za kiuchumi zifaulu.

Unazungumzia kuhusu Export subsidies na they go a long way in protecting the participants in the export sector and encourage many more local exporters to do more business. The export subsidies ziliwekewa wageni au local exporters ndio wakaona kimsingi ndio sababu kubwa ya uchumu kudorora? Vile ilivyo ni wao wenyewe walifanya uchumi ikashuhudia an economic meltdown.

sijaelewa umemaanisha nini hapa! unaweza kuandika kwa kiingereza?
 
wewe unakasi ya kujibu hii excerpt nimeweka bila kusoma kwa makini na ndio tatizo pengine watanzania munao kubwa. You tend to overlook the smallest of issues na munachanganyikiwa kudumisha yale ya kawaida mukikimbilia yale makubwa na mazito. Kabla uanze kukurupuka na lugha isiyoeleweka, soma hiyo excerpt kwa makini tena.

Tena Kuna socialist governments nyingi Uropa/EU na wanadumisha uchumi zao bila madeni. The EU haikuongeza la ziada katika mkataba, bali waliweka sarafu iwe euro na hawakuja na plan za kuondoa sheria za kiuchumi nchini Greece, which explains why kimsingi greece walikubali huo mkataba. Lakini kama kawaida na utakana, katika nchi nyingi za kisocialist, changamoto za kisiasa ndio tatizo kubwa katika kuwezesha sera za kiuchumi zifaulu.

Unazungumzia kuhusu Export subsidies na they go a long way in protecting the participants in the export sector and encourage many more local exporters to do more business. The export subsidies ziliwekewa wageni au local exporters ndio wakaona kimsingi ndio sababu kubwa ya uchumu kudorora? Vile ilivyo ni wao wenyewe walifanya uchumi ikashuhudia an economic meltdown.

hahaha I have not overlooked at anything for your information. Are you familiar with the term incremental effect? Pengine najadili na mtu kichwa panzi ndio maana Anyway the problem of greece living beyond their means is well known since 1970s since they do not like to pay taxes and love to spend money. However, this problem was exacerbated when they joined EU since they went into a group of economic sharks and piranha who consumed the little they were having and leave them with nothing. Anyway for more information about greece some thread yangu hii hapa itakusaidia zaidi:-

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/146730-deni-la-ugiriki-na-funzo-kwa-tanzania.html

Tupatieni basi faida za unitary visa tuzijadili maana sijiaona
 
I repeat you are not talking to a fool my dear friend let me quote a piece from the source that you have provided us with. It says and I quote,

Why is Greece in trouble?

Greece has been living beyond its means since even before it joined the euro. After it adopted the euro, public spending soared and public sector wages practically doubled.

However, while money has flowed out of the government's coffers, its income has been hit by widespread tax evasion.
When the global financial downturn hit, Greece was ill-prepared to cope.

Do you happen to know what led to an increase level of government public expenditure? Jibu ni kwamba serikali ilikuwa inagharimika zaidi kuhudumia wale unemployed greeks who have no jobs as result fewer opportunities available. Vile kuwahudumia wagiriki wasiojioweza ambao hawana kazi. Fahamu kuwa Greece had a socialist government that believes in equality and fairness and as result they were living beyond their means.

Perhaps ngoja nikupatie article ambayo itakusaidia kasome article hii:-
EU Accession effects on export performance: The case of greece, Koukouritakis, M., South-Eastern Europe Journal of Economics, 2006.

Namquote jamaa anasema hivi kuhusiana na impact ya intergration on greece exports. :-

This paper estimates the effects on Greek export performance that caused by the
EU accession. A simultaneous equations model of export demand and export supply
is used in order to avoid the simultaneity problem. Comparative static analysis
and the residuals approach have been implemented. The results indicate that EU
accession had a negative effect on the country's export performance, instead of improving
it. One of the reasons for this effect is that the export subsidies, during the
time period that they were available, just improved the exporters' revenues and
were not used for creating new comparative advantages for the Greek products.


Tukirejea katika utalii effect ya EU intergration is visible katika study hii hapa courtesy of Nikolas Stafos a blogger who obtained data from the Central Bank of Greece see below:-

Greece's Tourism Decline


There is a persistent focus on tourism receipts to gauge the health of the Greek economy as it heads into the fall and winter. Tourism receipts have, in fact, been dismal in 2010, falling 12% on a year on year basis in 1H 2010 (earnings in January-June 2010 versus January-June 2009). But this cyclical downturn – which started in Q4 2008 – masks a broader decline in the sector that needs addressing.

Start with the big picture. Over the past decade, tourism has made a progressively smaller contribution to Greek exports: in 2000, Greece received €10 bn from tourism, a number that grew just 3% over a whole decade to €10.4 bn in 2009. Given inflation in this period (the price level in Greece was 40% higher in 2009 versus 2000), in real terms, Greek tourism brought in 22.5% less revenue in 2009 than in 2000.




As a result of this stagnation (or decline), Greek tourism made up 25% of exports in 2000 but only 20% in 2009. Since 2003, the important of tourism as a share of total exports has fallen each year with the exception of 2009 – although this was because other exports fell more than tourism rather than because tourism performed well. The data to investigate this further is not very good (or at least not as easily available) but some high level conclusions can be generated from the table below.



In summary ndugu mkenya hapa umekutana na chuma cha pua kadanganye wakikuyu wenzio but sisi watanzania hudanganyi mtu. Unitary visa has no benefit to us I beg to differ.

Ugiriki ni moja ya nchi zilizoendelea duniani ikikisiwa kuwa ni 27th in the world kwa ukubwa wa kiuchumi duniani (World Bank, 2009). Kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita Ugiriki ilikuwa ni moja ya nchi zilizoendelea ikiwa na kiwango cha juu kulinganisha na baadhi ya nchi nyengine za Ulaya ikikisiwa ni ya 22 duniani kwa kuwa na ubora wa maisha. Uchumi wa Ugiriki umetawaliwa zaidi na sekta ya serikali inayokisiwa kuwa na asilimia 40 ya total GDP, 78% inashikiliwa na sekta ya huduma, 17 sekta ya viwanda na 4% sekta ya kilimo (Wikipedia).

Kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita kabla ya kuanza kwa mtikisiko wa sekta ya benki duniani mwaka 2008 Ugiriki ilikuwa ikikopa kwa kiwango kikubwa sana kuendesha serikali hasa kwenye budget na shughuli zenginezo za kiserikali. Hilo lilitokana na kushuka kwa mapato ya ugiriki na kuporomoka kwa mauzo ya nje ya nchi (IMF World Economic Outlook Report, 2009). Kutokana na hayo serikali ilijikuta ikipungukiwa na mapato na kulazimika kukopa kwa kiwango kikubwa kufidia mapungufu ya mapato. Inakisiwa baina ya mwaka 2001 hadi 2008 Ugiriki walikuwa na budget deficit of 5% (punguzo la mapato) kila mwaka (IMF World Economic Outlook Report, 2009).

Punguzo la mauzo ya nje lilikuwa 9% kila mwaka ukilinganisha na uagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi (current account deficit) (IMF World Economic Outlook, 2009). Ilipofika mwaka 2009 ufinyu wa bajeti ulifikia kiwango cha zaidi ya asilimia 14 ya GDP (Nielsen et.al., 2010). Sababu kubwa za kukua kwa ufinyu wa bajeti kulitokana na kuongezeka kwa matumizi makubwa ya serikali (Economist, Feb 4 2010).

Ili kufidia ufinyu wa bajeti na kuwezesha uendeshaji wa serikali, Ugiriki walianza kuazima pesa katika masoko huria ya pesa na mitaji kimataifa (International capital Market). Hadi kufikia mwaka 2009 Ugiriki ilikupa kufikia 115% ya uchumi wa nchi (GDP) (Economics Intelligent Unit, 2010). Mwaka 2008 Ugiriki ilikumbwa na mtikisiko wa kiuchumi ambapo ilichangia kushuka kwa pato la nchi kwa kiwango kikubwa. Makusanyo ya kodi, kushuka kwa biashara ya utalii na huduma zenginezo vilichangia kwa kiwango kikubwa kuiweka ugiriki katika hali mbaya ya kiuchumi (Jackson J., Congress Report).Vile vile Uchumi wa Ugiriki uligemea zaidi mikopo katika masoko ya nje. Serikali ya kisoschalisti ya ugiriki ilikosa mawazo ya jinsi ya kujikwamua kutokana na uchumi tegemezi wa kukopa.

Kwa kukumalizia yepi yalikuwa matatizo makuu ya ugiriki kufikia hapa walipo nitayaelezea kwa ufupi:-

a. Matumizi makubwa ya Serikali:

Inasemekana kati ya mwaka 2001 hadi 2007 uchumi wa Ugiriki ulikuwa kati ya asilimia 4 mpaka 4.5 (World Economic Outlook, 2009). Hata hivyo matumizi ya serikali yaliongezeka kwa asilimia 87 kulinganisha na mapato yaliyokuwa kwa 31% tu (Greece Minister of Finance, January 2010). Hili lilisababishwa na sababu mbali mbali kama usimamizi mbovu wa mapato na matumizi ya pesa za umma, gharama kubwa za huduma ya afya, na ukwepaji kodi (Greece Ministry of Finance, 2010).

b. Ukuaji wa ushindani wa kimataifa.

Sekta ya uzalishaji imeporomoka kwa kiwango kikubwa kutokana na kuongezeka kwa ushindani wa kimataifa. Hilo lilichangia kukua kwa mishahara ya wafanyakazi na kuporomoka kwa uzalishaji wa ndani ya nchi (OECD Survey, 2009). Ugiriki ilifanya hilo ili ikubalike katika jumuiya ya kimataifa na hivyo kuathiri viwanda vya ndani ya nchi. Utafiti unaonyesha biashara ya nje ya nchi ilikuwa nusu ya biashara zinazotoka nje ya nchi kwenda Ugiriki (OECD Survey, 2009).

c. Urahisi wa upatikanaji wa mikopo na Sarafu yenye nguvu:

Utafiti unaonyesha kuwa kujiunga kwa Nchi za umoja wa ulaya kulichangiwa kwa kiwango kikubwa kuongezeka kwa ufinyu wa bajeti (OECD Survey, 2009). Kujiunga kwa Umoja wa nchi za Ulaya (EU) kulidumaza mauzo ya nje (export) na kuongeza mauzo ya ndani kwakuwa sarafu ya ugiriki ilipanda thamani na kufanya mauzo ya nje kuwa bei ya juu. Hilo lilichangiwa kwakuwa Umoja wa nchi za Ulaya ulijumuisha nchi zenye uchumi mkubwa kama Ujerumani, na Ufaransa (Nielsen et.al.,Congress Report 2010). Urahisi wa kupata mikopo nao ulichangiwa na kukuwa kwa kasi na utegemezi wa mikopo kuendesha serikali ya ugiriki.

d. Sheria za Umoja wa Ulaya:

Hili nalo linasemekana kuwa na mchango mkubwa kukua kwa ufinyu wa bajeti ya nchi.


Mtazamo wa Tanzania:

Kuna masuala ya kujifunza kwa nchi yetu inayoanza kuendelea na ni vema yatiliwe maanani. Hii ni kwasababu serikali yetu imeanza mchakato wa kukopa katika masoko ya pesa na inasemekana mwaka huu inataka kutangaza Eurobond of 500 Bn katika soko la fedha la kimataifa (East Africa, June 2011). Fedha hizo zinasemekana ni kusaidia kunyanyua uchumi na shughuli za maendeleo. Hata hivyo according to Zitto Kabwe speech, 15th June, 2011 hesabu zinaonyesha deni la taifa kukuwa kwa 38%, deni la taifa limefikia $11.5 Billion hadi kufikia December , 2010. Pia matumizi mabaya ya fedha za serikali yanaonyesha yanakisiwa kuwa ni 25% ya bajeti yote ya serikali (CAG Report, 2010). Hili linakisiwa kuwa ni sawa na Shs Trilioni 9.5. Hivyo wakati tunazidi kukopa pia tunaongeza ukubwa wa matumizi ya serikali na vile vile tunashindwa kusimamia vizuri pesa za umma. Hizo ni sababu sawia na sababu walizokumbana nazo Ugiriki.

EAC Community, Hali ya uchumi wetu zinaonyesha Tanzania uchumi wake unakuwa kwa kiwango cha asilimia 6.5 , Kenya ni 4.98 % na Uganda ni 5.18%, Rwanda 6.5% (IMF, 2010). Pia sarafu na cost of living inaonyesha kuwa Kenya sarafu yao ni yenye nguvu kuliko sarafu nyengine ya Africa Mashariki. Muungano wa Africa Mashariki unaweza kuleta matatizo yafuatayo kwa Tanzania kwanza ni kukua kwa gharama za maisha nchini na pili kushuka kwa mauzo ya nje ya nchi. Hivyo hilo nalo linaweza kuwa na uwiano na tatizo la ugiriki kwani litachangia kupungua kwa mapato ya nchi na kuongeza tatizo la deni la nchi.

Kwa kumalizia kufilisika kwa nchi huanzia na matatizo madogo madogo ambayo baadae yanasababisha nchi kuwa kwenye matatizo makubwa.


Mdororo wa uchumi nchini Greece unapoendelea kugonga vichwa vya habari, serikali mjini Athens kupitia bunge, inafanya juhudi zote za kuikomboa. Njia zinazotumika zikiwa kupandisha ushuru na kuomba mikopo kutoka banki ya takriban euro billioni thelathini (30bn) kutumika rasmi na serikali. Hapo awali, juhudi za Greece kuungana na EU, zilizaa matunda mengi na zenye manufaa kwa uchumi zikiwemo kuongezeka kwa mapato ya serikali, sarafu katika sekta ya banki kuboreshwa, na kuimarika kwa miundo msingi za mawasiliano.

Greece iliungana na EU mnamo mwaka 1981, na ikawa sehemu muhimu katika soko kubwa Uropa. Sekta ambayo ilinawiri kwa kiwango kubwa kutokana na muungano huo wa sarafu ni ya utalii ikizingatia kuwa uchumi bado ilikuwa changa. Na baadaye sarafu yao ikabadilishwa ikawa euro. Vyombo vingi vya habari zimesalia kusema banki nyingi ndani na nje ya mipaka (World bank ikihusishwa) ndio za kulaumiwa kwa mdororo unayoikumba. Hata kabla yao kujiunga na EU, kulikuwa na rekodi serikali hiyo ilikuwa na deni ya asilimia (37%) takriban dollar billioni $174bn, ikichangiwa kwa kasi na wafanyi biashara na wale "middleclass consumers" ambao walikuwa wana uwezo wa kupokea mikopo. (Economics of Imperialism: Origins of the Greek Crisis)

Licha kuwa na deni, hii haikuzuia Ugiriki kujiunga na EMU mwaka wa 2001, ikizingatiwa Ubelgigi na Italia, walikuwa na deni sawia na Ugiriki ambayo ilikuwa asilimia sitini juu ya kiwango kilichohitajika kujiunga na EMU. Ingawa inaweza onekana sawa "kisiasa" kulaumu banki ya dunia, na kile kitendo cha muungano na EMU kama sababu kubwa za mdororo wa uchumi, udadisi unaonyesha Greece hawana uwezo wa kurejesha deni kwa ukamilifu. Kwa sasa serikali imesalia kupeleka mali ya umma kwenye minada ili serikali za nje na banki wapate njia ya kurejesha mikopo walizotoa. Lawama hii ya mdororo wa uchumi haitatwaliwa na banki ya dunia pekee au wadau wengine wa uchumi, bali itachukuliwa hata na wagiriki na hasa serikali kwa kushindwa kuimudu uchumi.

Kwa kifupi, tunazingatia hii deni kuchangia kwa ziada matatizo ya kiuchumi, baada ya mwaka 2006 na 2007, wakati akiba za watu binafsi au "middle class" katika banki zilishuka kutoka asilimia 3.2% hadi negative -3.2%. Tatizo la "job-cuts" au kupungua kwa makazi miaka za tisini kuendelea hadi 2001 ilisababiswa na banki nyingi humo kudai mikopo zao kutoka kwa makampuni hata kabla yao kujiunga na EMU, na siyo kufurika kwa wageni kutoka sehemu zingine za EU (kama Waingereza). Mataifa kama Ureno na Italy, kwa mfano wana "credit rating" inayolinganishwa kama "junk status". Kwa nini nchi hizi mbili haziangaziwi sana katika vyombo vya habari licha yao kuwa na deni sawia? Je! Kuna kitu maalum kinaangaziwa Ugiriki? Jibu ni la!.......

Serikali ya ugiriki ilikuwa inatumia asilimia 45% ya mapato ya nchi, GDP yao ikiwa asilimia 39-40% (ikilinganisha na asilimia 44-45% ya viwango vya mataifa mengine katika EU) huku baadhi ya makampuni, wafanyi biashara, watu binafsi, na viongozi wa kisiasa wakiepuka kulipa ushuru. Hii ndiyo tatizo kubwa ambayo imechangia kwa mdororo wa uchumi!



Takwimu za banki ya dunia zinaonyesha wazi viwango vya mkopo za mataifa kama ireland na portugal zikilinganiswha na Ujerumani. Mkopo wa Greece ni aslilimia 18% ukilinganisha na 3% ya Ujerumani.

IMF%2C+Yield+spread%2C+Jun2011.jpg




(Source: IMF World Economic Outlook Update, June 2011 )


Ujerumuni kama tujuavyo wana export market kubwa katika EU na uchumi yao inapokea "inflows" kutoka "direct investment" ya kuwawezesha kulipa mikopo. Katika kuanza kwa muungano wa sarafu ya EU, GDP ya Ugerumani ilichangia asilimia 24%, na ya ufaransa ilichangia 20% huku ya Ugiriki ikichangia asilimia 2% (economicsofimperialism.blogspot.com/2011/06/origins-of-greek-crisis.html).

Tahariri:

Utakuta kuna wadadisi wa kiuchumi hususan wale kutoka Uingereza kupitia vyombo vya habari na tovuti zao binafsi wakimulika mdororo huo kama tatizo la muungano wa sarafu. Lakini hiyo ni propaganda mtupu. Uchumi ya Uingereza wakati huu inapitwa na mataifa kama India, South Africa, Brazil.

NB: Nimetumia EMU kumaanisha European Monetary Union! Kuhusu Unitary visa, hebu digest makala yangu kwanza, halafu nitakusimulia mtazamo wangu
 
PRESIDENT JAKAYA KIKWETE HAS CALLED FOR A JOINT PROMOTION OF THE EAST AFRICAN TOURISM MARKET SO THAT GOVERNMENTS, EMBASSIES AND STAKEHOLDERS MARKET TOURIST ATTRACTIONS AS A SINGLE BLOC.

President Jakaya Kikwete
In his report published in the ‘Savour Tanzania,’ an international magazine on tourism and business, he said the East African Community (EAC) countries could go to international tourist fairs as one and sell East Africa’s tourist attractions together.“In addition there is the proposed issuance of a single tourism visa for East Africa,” he said.The president noted that another way to promote the EAC region as a single tourist destination is to create synergy in the tourism industry across the region.Mr Kikwete said it was a great idea which could boost tourism in East Africa, adding, however, that countries in the region should make sure that it was properly structured and all the important issues are carefully considered before that innovative idea was implemented.

“We will need, for example, to address revenue sharing mechanisms; security issues; technological needs; manpower requirements and ensure that the required are in place,”
He said the region needs to do more to encourage major airlines to increase flights and reduce fares.Speaking on the challenges facing the tourism and hospitality industry, he said that there is inadequate skilled manpower and expertise.The second biggest challenge he pointed out is inadequate supportive physical and institutional infrastructure to promote tourism in the region,” saying, “Our physical connectivity in terms of roads, air and waterways are not well developed and in some places poor or non-existent.
By PETER TEMBA, Tanzania Daily News

http://www.dailynews.co.tz/index.php/local-news/23057-need-to-promote-eac-as-single-tourism-bloc

MY TAKE

Thank u Mr President for having the same reservations like most of ur citizens
 
Its all about math,mnaopinga ni politics tuu na ignorance zenu ndio zinawasumbua.
 
Hapa mimi nashangaa shangaa tu. Wachumi tupeni mambo kwa lugha rahisi tuelewe kama huyu Kabaridi
 
Hatutaki visa ya pamoja..... Wakenya wamezidi ukora.... wanasema eti Mlima Kilimanjaro na Zanzibar (the beautiful island) iko Kenya..... Mimi binafsi siwasamehi ng'o hilo kosa... labda wakanushe na watangaze dunia nzima...... vinginevyo tutafanya hiyo kazi ya kukanusha kwa kuwa so tough to them....

Nini au nani anazuia Tanzania kusema kuwa Nairobi iko Dar es salaam? Yote ni marketing strategies
 
...To any economist will agree with me that the much talked about one border one visa for tourists plying to EA can not be in the best interest to the growth of Tanzania's tourism

This is an assumption based on someone's feelings. Not tangible research. Its also based on an inferiority complex that assumes that on a level playing ground Kenya will always beat Tanzania the same way the Kenyan athletes win marathons.
This is not true.

...it will deprive Tanzania of revenues it gets from visa fees.

Common sense tells me Tanzania will earn much much more as they will immediately come to par with Kenya's agile marketing and pour all tourists into Tanzania after which Tanzania will retain these tourists. Common sense and reality is that when The tourists come via Kenya, Tanzania benefits a tourist whom it did not market and when the tourist crosses into Tanzania he is no longer a Kenyan tourist he is a Tanzania tourist. Tanzania should be happy about this as it is a quick and cheap marketing gimmick for the country.

"fewer but highly paying tourists"

Tanzania is not yet ready for highly paying tourists. It still lacks infrastructure and adequate accommodations for high class tourists. Maybe you mean budget tourists. The attractions are there but the tourist does not come to sleep in the park he needs an hotel of his standard. For example Katavi. A world class park but how many tourists can it accomodate at any one time. It even has no roads

Marketing stunts like "Zanzibar is in Kenya" or "Come to Kenya to climb Mt Kilimanjaro" will be more common scenes


You should be thankfull for this. Do you know that Tanzania's best attractions are not in the northern circuit? Serengeti, ngoro ngoro, manyara are child's play compared to Ruaha, selous, katavi etc to mention a few but because they are near Kenya they are more renowned. They have been marketed by Kenyans. The southern circuit will remain in the dark until they are marketed by who? Zambians? Why should Arusha with no ocean be Tanzanians premier tourist destination, can it be because of its proximity to Kenya? Why should someone believe that Kilimanjaro is in Kenya? Are Kenyans that smart in marketing surely?

...
i am more than impressed for the creativity TATO came with on the online booking concept. Since upon launching that online tour booking portal revenues will surge to the Tanzania coffers and eat significant the money others get for Tourists that come to our land as there will be no need of doing booking via tour agents!

... Kindly tell them not to cheat themselves. You can not..i repeat YOU CAN NOT! ignore travel agents what they are doing should be only to support tour agents.

Long live the tangible East Africa Integration process...

Don't you know? have you not heard what the other EAC members are upto? They already agree 100% with all your above beliefs and so that you do not tie them down in unfruitful negotiations, they are already on the run in an opposite direction where they do not need much talk with Tanzania.
 
But for how long shall we keep on fearing Kenya?Isolating ourselves won't take us anywhere.

it is taking us somewhere and for your records its kenya who is desperate to see this marriage come true than us!!! thats shows we are better than u guys..... hata wahamiaji haramu hapa kwetu wengi ni wakenya ushaona m tz anakimbilia kenya?? akafanye nini?? ushaona m tz anaenda kubeg apewe mahindi kenya??? cant u produce even ur own maize???
 
...For your information we are going to have a single tourist visa whether you like it or not!..the Tanzanian Tourism Industry is run by Kenyans..its our intellectual finesse we have in marketing Tanzanian Tourism products that you take pride in..most managers of tour firms in Tanzania are Kenyans so we will have our way whenever we want it.






Wadau, saikolojia ya tamko hili imekaaje?
Kazi tunayo nakwambia.
Ngoja nisiseme kitu leo nisije nikafungiwa!

It true most managers in tourism industry are kenyan. I have seen kenyan managers even on small hotels in kinondoni. Kenyans have been on this game off kissing mzungu for long time. But that doesn't mean they will be able to decide for tanzanians.
 
It true most managers in tourism industry are kenyan. I have seen kenyan managers even on small hotels in kinondoni. Kenyans have been on this game off kissing mzungu for long time. But that doesn't mean they will be able to decide for tanzanians.

jingine ni kwamba wakenya wanaweza sana kujieleza, hata pale ambapo jambo lenyewe hawalielewi vizuri. usipokuwa makini utadhani wanasema ukweli hata pale ambapo si sahihi kutokana na kujieleza kwa ufasaha sana katika uongo wowote ambao wanataka kukuaminisha. na usiombe maelezo hayo yakawa ni ya kiingereza.
 
Labda turudi nyumba kidogo. Kwa nini watalii wanaokuja Tanzania wanapitia Kenya? Kwa nini wasije moja kwa moja Tanzania? Kwa nini mtalii anayekuja kupanda Mlima Kilimanjaro ashukie Nairobi badala ya KIA? Kwa muda mrefu Wakenya wamekuwa wakiutangaza Mlima Kilimanjaro kuwa uko Kenya. Tanzania imechukua hatua gani ku-address hili suala?

Hili suala la visa sio solution ya juu juu tuu? Kwa nini tusi-address the underlying causes za watalii wanaokuja Tanzania kupitia Kenya ili wawe wanakuja moja kwa moja Tanzania? What is so special in Kenya that watalii lazima wapitie pale kabla ya kuja Tanzania?

Unakuta mtalii kutoka Uswisi anakuja na Swiss Air kutembelea mbuga za wanyama Tanzania. Ndege inapitia Dar Es Salaam lakini hashuki, anaenda kushukia Nairobi halafu anafunga safari ya kuja Tanzania kutembelea mbuga za wanyama. Ni kwa nini?

Mpaka Prince William alishaenda kusoma Kiswahili Kenya. Why not Tanzania? Tuna kasoro gani hasa?

kaka unashangaa prince william kusoma kiswahili kenya,,,,, jamaa walimchukua mrisho mpoto wetu wakamgharamia na kumpa ukenya wa mda akaigize mashairi ya shake spear uingereza just mwaka jana hiyo kitu imetokea...kenya ni noma k wewe
 
Mtoa mada amechambua vizuri. Wanaompinga wana lao jambo ila watanzanua tumesha wastukia!
 
it is taking us somewhere and for your records its kenya who is desperate to see this marriage come true than us!!! thats shows we are better than u guys..... hata wahamiaji haramu hapa kwetu wengi ni wakenya ushaona m tz anakimbilia kenya?? akafanye nini?? ushaona m tz anaenda kubeg apewe mahindi kenya??? cant u produce even ur own maize???
So what is your point apart from some childish rants, who gave you divine power to the extent of just branding me a Kenyan? FYI am a typical,born and bred Tanzanian who believes in the forces of globalization. Whether we like it or not, globalization is here...isolation wont take us nowhere. History clearly shows nations that have embraced integration prospered while those that embraced isolationism were doomed. We either compete or we are doomed. Competition offers new ideas,challenges and new perspectives while isolationism suffocate ideas.Sijawahi kuwaogopa wakenya na kamwe sitawaogopa. Unaongelea misaada ya mahindi Kenya na kusahau kuwa we still claim the number one beggar status in Africa as a nation...Can we compare the budgets of the two countries in terms of donor funding?
 
Nini au nani anazuia Tanzania kusema kuwa Nairobi iko Dar es salaam? Yote ni marketing strategies

Kwa hiyo kudanganya watu ni mikakati ya kutangaza biashara..... njia ya muongo siku zote ni fupi..... utadanganya lakini wale ulio wadanganya wakigundua ndiyo kazi inaanzia hapo....... kenya wamedanganya muda mrefu kuwa kilimanjaro iko kwao..... lakini sasa dunia imejua...... wanabaki midomo wazi...... na sisi kwa ujeuri tunawazuia wakileta watalii kuja kupanda mlima wetu mpaka watoe kodi stahiki..... mpaka wageni wao wanawakasirikia kuw waliwadanganya kuwa mlima uko kwao........ halafu hili tulilisimamia kidete kwa kukata gari yoyote ya namba za usajiri za kenya kupatikana kwenye hifadhi zetu..... teh teh teh ....patamu hapo...
 
Kwa hiyo kudanganya watu ni mikakati ya kutangaza biashara..... njia ya muongo siku zote ni fupi..... utadanganya lakini wale ulio wadanganya wakigundua ndiyo kazi inaanzia hapo....... kenya wamedanganya muda mrefu kuwa kilimanjaro iko kwao..... lakini sasa dunia imejua...... wanabaki midomo wazi...... na sisi kwa ujeuri tunawazuia wakileta watalii kuja kupanda mlima wetu mpaka watoe kodi stahiki..... mpaka wageni wao wanawakasirikia kuw waliwadanganya kuwa mlima uko kwao........ halafu hili tulilisimamia kidete kwa kukata gari yoyote ya namba za usajiri za kenya kupatikana kwenye hifadhi zetu..... teh teh teh ....patamu hapo...

Do not worry mkuu. Mfanya biashara makini hazuiliki. Serekali wakileta hiki naye ana buni hiki. For example wakizuia malori ya Kenya kuingia Tanzania malori mengi ya Tanzania ni ya wakenya. Ulijua hivyo? subiria nisije kufichua siri zingine kali zaidi. You will always play catch up so my advice grow up face the competition and fight.
 
Do not worry mkuu. Mfanya biashara makini hazuiliki. Serekali wakileta hiki naye ana buni hiki. For example wakizuia malori ya Kenya kuingia Tanzania malori mengi ya Tanzania ni ya wakenya. Ulijua hivyo? subiria nisije kufichua siri zingine kali zaidi. You will always play catch up so my advice grow up face the competition and fight.
huu nauita ni upuuzi! leta facts
 
Back
Top Bottom