eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,653
- 13,794
Do not worry mkuu. Mfanya biashara makini hazuiliki. Serekali wakileta hiki naye ana buni hiki. For example wakizuia malori ya Kenya kuingia Tanzania malori mengi ya Tanzania ni ya wakenya. Ulijua hivyo? subiria nisije kufichua siri zingine kali zaidi. You will always play catch up so my advice grow up face the competition and fight.
Tunaongelea visa wewe unaleta habari za malori........ mbona watanzania wana mabasi yaliyosajiriwa kenya..... achana na hizi story za kienyeji lete takwimu za mambo ya utalii....