Mara nyingi kuna mada huwa natamani sana kuchangia ktk majukwaa tofauti2 lkn nilikuwa nashindwa,sasa nafikiri mambo yashakuwa mambo au siyo wakuu?????????????
Aksante sana kwa kunikaribisha,we ni mdau wa jukwaa gani zaidi Globu?Karibu sana.
Aksante sana kwa kunikaribisha Ulimakafu.Nini maana ya Ulimakafu kama usipojali tafadhali.Karibu sana JF.
Aksante sana,kwei Bagah limekukubali BAGAH pongezi kwakokaribu sana...
Sawa2 Katavi nashukuru kwa kunikaribisha tuko pamojaKaribu sana.