A living reincarnation, rebirth..!

Mshana ninawezaje kuipa nguvu roho yangu,kwa maana ya nguvu ya machale,kupata ndoto za mambo yajayo na kadhalika.
 

Licha technology kukua kupita kiasi tumeshindwa kujua haya mambo

Real nature of the earth
- Mungu ni kiumbe hakisi/ au ni roho au ni uwepo
- hii dunia itakuja kuishia wapi my after bill years nn kitaikumba dunia

-Maisha baada ya kifo
-Kuna njia yeyote ya kutokomeza kifo


Mungu alitokea wapi(swali hili nasikia ni vibaya sana kujiuliza unaweza anguka na kufa papo hapo). Mshara
narudisha microphone kwako
 
Hayo kamwe hayawezi kuja kujulikana katika ulimwengu wa technology kwakuwa huu ni ulimwengu hatua ya pili secondary stage.. Wakati ulimwengu wa roho ndio msingi wa kila kitu primary stage
 
 
Mkuu, turudi kwenye hiyo Circle hapo juu
 
Asanteeee sana kwa bandiko zuri mkuu
Kuna vingi vya kujifunza
Nipo hapa nairudia rudia nikuulize tu swali tuwili tutatu hivi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…