huko kusafiri si mpaka mtu uwe na travel documents au?
Yaani ina maana hako ka inzi kama kanavyoitwa ndo 'kame oza'. Makaratasi kwisha! duh.
Sasa hii kali. Ila nimependa the flow! MKJJ hongera sana unaweza ku draw attention ya watu. Wewe lazima kama utaamua kuandika vitabu vya tamthilia vita hit sana. Bravo kaka.