A country of no HOPE

Kabraza

Member
Dec 30, 2011
7
2
Kwa kweli hali ni mbaya sana hapa Tanzania haswa jiji la Dar tofauti na miaka ya nyuma watu wameuanza mwaka mpya jana lakini tayari wameshachoka hawana matumaini wapo wapo tu ndugu watanzania wenzangu tufanye nini ili hali viongozi wetu ndo hao kama vile wanaishi mwezini....:embarassed2:
 
Haitakiwi tu kubadilika kwa viongozi... Inatakiwa na Watanzania tubadilike, tuache kulalamika na kufanya vitu kwa vitendo. CHANGE for the better has it's costs... na it is only possible kama wanachi wenyewe ndo wata demand na kujihusisha katika mchakato mzima.
 
Kabraza huna jipya!.Mi nilifikiri unazungumzia nchi ya mbali mpya iliyovumbuliwa nikadhani ni kwenye sayari nyengine iliyopatikana angani inayofanana na ya kwetu,kumbe!.
Unataraji kitu gani kipya Mungu akuletee ilhali mwenyewe unawaza bia tu.Kama ni akina Kikwete ujinga wao ni hivi kuwachia mabaa yakaziba barabara za kupita waungwana.Katika hali kama hii usitarajie maendeleo yoyote,ni balaa moja kwa moja.
 
Haitakiwi tu kubadilika kwa viongozi... Inatakiwa na Watanzania tubadilike, tuache kulalamika na kufanya vitu kwa vitendo. CHANGE for the better has it's costs... na it is only possible kama wanachi wenyewe ndo wata demand na kujihusisha katika mchakato mzima.
AshaDii,

I aggree kwamba ni lazima tubadilike kwa vitendo...Only kama mabadilko hayo yatatusadia kubadili viongozi.

Kwasababu kazi kubwa ya viongozi ni kujenga mazingira mazuri ya kuwawezesha wananchi kujiletea maendeleo.

There is no way mabadiliko ya uongozi will be out of question kama tunataka mabadiliko kwenye maisha yetu na maendeleo.
 
Kabisa na mimi naamini wananchi tubadilike lakini tunaanzia wapi?labda nikuulize VISION ya nchi hii ni ipi?ndo tubadilike kuanzia wapi>>>>
 
Haitakiwi tu kubadilika kwa viongozi... Inatakiwa na Watanzania tubadilike, tuache kulalamika na kufanya vitu kwa vitendo. CHANGE for the better has it's costs... na it is only possible kama wanachi wenyewe ndo wata demand na kujihusisha katika mchakato mzima.
Hii inanikumbusha maneno ya mwanzo ya JF Kennedy alipoingia madarakani, pale alipowaambia wamarekani:
"Kabla hujadai Serikali/Taifa limekufanyia nini, kwanza jiulize (na uhakikishe) wewe umefanya nini kwa taifa" (au hata kwa wewe mwenyewe binafsi).

Watanzania tuna kawaida ya kulalamika chini kwa chini bila ya kuungana pamoja kupaza sauti zetu na kilio chetu. Inapotokea kikundi cha watu, jumuiya isiyokuwa ya kiserilkali au chama kupaza sauti hizo, badala ya kuungwa mkono na idadi kubwa ya wananchi, wengi wetu ama kwa woga au kwa mapenzi ya upofu, huwakebehi na kuwaona ni "waanzishaji vurugu, watishiaji wa amani," na ndio hapo vyombo vya dola vinapopata mwanya wa kuwanyamazisha.

Ni kweli Dada AshaDii, mabadiliko yana gharama zake na gharama hizi lazima zilipwe na idadi kubwa ya wananchi kama sio wote.
Tujikumbushe wimbo huu:
 
Last edited by a moderator:
AshaDii,

I aggree kwamba ni lazima tubadilike kwa vitendo...Only kama mabadilko hayo yatatusadia kubadili viongozi.

Kwasababu kazi kubwa ya viongozi ni kujenga mazingira mazuri ya kuwawezesha wananchi kujiletea maendeleo.

There is no way mabadiliko ya uongozi will be out of question kama tunataka mabadiliko kwenye maisha yetu na maendeleo.


For instance katika inchi yetu hii ya Tanzania... Ni wazi kua CCM wana mashina ya mizizi ilofika to the core of the earth crust.. Wako powerful na the only opponents they are wary of ni from within the party kuliko wa nje... Wapinzani wana support kubwa ya wanachi kwa midomo... Vijiweni... Kwenye magazeti... vyomba vya habari na institutions mbali mbali. Sad thou kua support hio huishia hapo!

Matendo sie yametushinda kabisa! Kila mmoja wetu ajua kuponda, kulalama na kukosoa.... Ingia sasa nawe kama Mtanzania kuonesha uzalendo kwa kutaka change.... Unasepa; And you say kua kutakua na mabadiliko? I wonder... Na the next uchaguzi Jmushi I gurantee.... mshike mshike nguo kuchanika!
 
Hii inanikumbusha maneno ya mwanzo ya JF Kennedy alipoingia madarakani, pale alipowaambia wamarekani:
"Kabla hujadai Serikali/Taifa limekufanyia nini, kwanza jiulize (na uhakikishe) wewe umefanya nini kwa taifa" (au hata kwa wewe mwenyewe binafsi).

Watanzania tuna kawaida ya kulalamika chini kwa chini bila ya kuungana pamoja kupaza sauti zetu na kilio chetu. Inapotokea kikundi cha watu, jumuiya isiyokuwa ya kiserilkali au chama kupaza sauti hizo, badala ya kuungwa mkono na idadi kubwa ya wananchi, wengi wetu ama kwa woga au kwa mapenzi ya upofu, huwakebehi na kuwaona ni "waanzishaji vurugu, watishiaji wa amani," na ndio hapo vyombo vya dola vinapopata mwanya wa kuwanyamazisha.

Ni kweli Dada AshaDii, mabadiliko yana gharama zake na gharama hizi lazima zilipwe na idadi kubwa ya wananchi kama sio wote.
Tujikumbushe wimbo huu:




In Red... Yeah' nakumbuka maneno ya JF Kennedy... Heard the speech before.... Utapenda! Hata Mwalimu alishawahi sema katika hotuba yake the same statement (akiwa amemqoute marehem JF); Na that is the way it is supposed to be. In blue... Nakubaliana na wewe kabisa na that is why nikasema change isiwe kwa viongozi tu!

You have HIT home na Bob.... I Love the guy... Na my fav quote yake inatoka katika my favourite song yake from the album ya "Bob Marley & The Wailers" ya Redemption song..... It goes like;

"Emancipate yourselves from Mental Slavery... Non but ourselves can Free our Minds"
 
Last edited by a moderator:
For instance katika inchi yetu hii ya Tanzania... Ni wazi kua CCM wana mashina ya mizizi ilofika to the core of the earth crust.. Wako powerful na the only opponents they are wary of ni from within the party kuliko wa nje... Wapinzani wana support kubwa ya wanachi kwa midomo... Vijiweni... Kwenye magazeti... vyomba vya habari na institutions mbali mbali. Sad thou kua support hio huishia hapo!

Matendo sie yametushinda kabisa! Kila mmoja wetu ajua kuponda, kulalama na kukosoa.... Ingia sasa nawe kama Mtanzania kuonesha uzalendo kwa kutaka change.... Unasepa; And you say kua kutakua na mabadiliko? I wonder... Na the next uchaguzi Jmushi I gurantee.... mshike mshike nguo kuchanika!
Painfull but definetly the truth!

Ndo watanzania tulivyo, pia nimegunduwa tuna mentality ya kuona kama umasikini ni utamaduni ama jadi zetu, na kwamba kuna watu walizaliwa ili watutawale hata kama wanayofanya ni madudu.

Kuna baadhi ya culture zetu tunaziendekeza, lakini chimbuko lake ni umasikini, na inapotokea tukashindwa kutofautisha kati ya yale ambayo ni culuture vs yale ambayo ni umasikini.

Nimegunduwa kuwa umasikini ni cluture ambayo tumeiendekeza na hivyo kushindwa kujuwa pa kuanzia kujikomboa.

Kwa upande mwingine pia, wananchi walio wengi wanadhani serikali ni ya kutoa amri tu na kuhakikisha usalama wa nchi, hawajui kama kuna connetion kati ya umasikini wao na viongozi wanaowatawala.

Couple that with the fact kwamba kwanza hatuna culture ya accountability, na pia mwalimu himself was poor materialwise ,then hilo kisaikolojia bado halijawatoka watanzania wengi, na hilo bado linaonekana kama ni jambo jema, lakini amabacho hawaji ni kuwa sasahivi viongozi karibia wote ni matajiri na utajiri huo weni waliupata wakiwa viongozi ofisi za umma walizokabidhiwa trust na wananchi ya kuzilinda rasilimali na kuhakikisha zinatuletea maendeleo nk.

Kwa kumalizia, binafsi ninaamini ni system yetu imetufanya tukawa hivyo, utawala ni kama tu wa kikoloni na kilichobadilika tu ni ngozi kwenye uongozi wa juu nk, but matendo almost the same kama yale ya mkaburu dhidi ya wananchi kwenye kuanzia kutumia nuvu za dola pamoja kubeba rasilimali nk, yani ukandamizaji na kuhakikisha watu hawana knowledge ya kutosha, kwafanya wajione hao ni masikini na hawana kitu chochote kama wasipo omba omba, watu wa "ewala bwana" pamoja na unyenyekevu na nidhamu ya woga ili kulinda "Amani"

Na kwamba utulivu wao na uvumilivu ndo njia bora kwa wananchi, ukichanganya na mazoea ya umasikini na kuu confuse na utamaduni, basi inakuwa shida tupu!

Ninaweza kukuwekea tamaduni nyingi sana ambazo tunazienzi lakini bado zina asili ya umasikini na lack of knoweldge!

Ninakuhakikishia AshaDii kuwa despite the fact kwamba ninakubaliana kuwa tatizo pia liko kwa wananchi, bado pia ninaamini kuwa matatizo yetu hayo na jinsi tulivyo vimechangiwa sana na watawala wetu na system.
 
@ Jmushi//// I don't know swala la kusema kua tuna mentality kua kuona umaskini jadi yetu unatoka wapi... Poverty in which terms? At country level or individual Level?

Tukizungumzia inchi yetu ya Tanzania kua umasikini ni jadi na tamaduni yetu.... Naweza kubali tokana na Uendeshaji wake na watawala unavokua wa kimizengwe mpaka inchi yaonekana hivo (as much as it is SO Rich in resources and population – A Great combination Regardless of it's lack of Technology). Kuomba omba, Madeni kibao ya Kimataifa na Matatizo katika kila instituion iwe Elimu, Health, Miundo mbinu na mambo lukuki. That is where I would say we are poor and have always been... Porverty escalating and getting worse by day.

Nikizungumzi wananchi.... I don't agree... At individual Level Wanatanzania weeengi saana wana uezo wa kuendesha maisha at a reasonable sustainable Level! Ila tu sytem ya maisha yetu.... the way we live... the way we budget... the way we use our money at an individual Level ndo kitu chatufanya wananchi tujikanyage kila siku ya Mungu. Ni kweli wapo ambao hali zao ni ngumu but huwezi fananisha na inchi zingine kama Zambia, Kenya and Malawi. We are better well off! Inatakiwa tubadilishe tu sytems of life na better use of our incomes....

Nikirudi kwenye system kutujenga hivo... NAKUBALI kua most of us hapo nyuma tullikua ma mbumbu of what is happenning and what is goin on hasa kuhusiana na our own Nations na yale ambayo yafanyika ya Msingi yakutugusa moja kwa moja.... Jmushi that has changed walau sasa.... Most of the things have been exposed alreaedy, ile cloud ilokua katika bongo na macho yetu has been moved to some extent and in most of us.

Hivo I would say we are both of us to blame.... Watawaliwa na watawala....
 
@ Jmushi//// I don't know swala la kusema kua tuna mentality kua kuona umaskini jadi yetu unatoka wapi... Poverty in which terms? At country level or individual Level?

Tukizungumzia inchi yetu ya Tanzania kua umasikini ni jadi na tamaduni yetu.... Naweza kubali tokana na Uendeshaji wake na watawala unavokua wa kimizengwe mpaka inchi yaonekana hivo (as much as it is SO Rich in resources and population – A Great combination Regardless of it's lack of Technology). Kuomba omba, Madeni kibao ya Kimataifa na Matatizo katika kila instituion iwe Elimu, Health, Miundo mbinu na mambo lukuki. That is where I would say we are poor and have always been... Porverty escalating and getting worse by day.

Nikizungumzi wananchi.... I don't agree... At individual Level Wanatanzania weeengi saana wana uezo wa kuendesha maisha at a reasonable sustainable Level! Ila tu sytem ya maisha yetu.... the way we live... the way we budget... the way we use our money at an individual Level ndo kitu chatufanya wananchi tujikanyage kila siku ya Mungu. Ni kweli wapo ambao hali zao ni ngumu but huwezi fananisha na inchi zingine kama Zambia, Kenya and Malawi. We are better well off! Inatakiwa tubadilishe tu sytems of life na better use of our incomes....

Nikirudi kwenye system kutujenga hivo... NAKUBALI kua most of us hapo nyuma tullikua ma mbumbu of what is happenning and what is goin on hasa kuhusiana na our own Nations na yale ambayo yafanyika ya Msingi yakutugusa moja kwa moja.... Jmushi that has changed walau sasa.... Most of the things have been exposed alreaedy, ile cloud ilokua katika bongo na macho yetu has been moved to some extent and in most of us.

Hivo I would say we are both of us to blame.... Watawaliwa na watawala....
Asilimia kubwa ya watanzania wana uappreciate umasikini kwa namna nyingi sana hadi inaonekeana kama ni part of culuture...Ukienda huko vijijini ndo utashangazwa kwa jinsi umasikini unavtokuwa apprecited kama culture, na watu hao kuwabadili mawazo wanaona kama we msanii tu.

Kwa mfano nyuma bora vs zile za kitamaduni, waganga wa jadi vs hospitals nk.

Kuna namna ambayo maendeleo yanaonekana kama si culture yetu na watu wameridhika na hilo, ndo maana pilau na tshirts vinanunua kura!

Bado watu hawaamini kuwa umasikini unaweza kumalizwa endapo viongozi watakuwa honest na waache ufisadi.

Pia vitu ambavyo ni vya maendeleo sometimes vinaonekana kama ni anasa nk.

Tuko nyuma sana bado!
 
"Emancipate yourselves from Mental Slavery... Non but ourselves can Free our Minds"
Hapa ndipo kiini cha matatizo yetu yanapoanzia. Waswahili husema, "Mwiba uchomeako ndiko utolewako", na huko ndiko tunakolazimika kuanza kujinasua, "kujikomboa na utumwa wa akili ambao hakuna wa kuzikomboa isipokuwa sisi wenyewe".
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom