A confused president and a constitutional crisis!

A confused president and a constitutional crisis!

jmushi1

Platinum Member
Joined
Nov 2, 2007
Posts
26,379
Reaction score
25,476
I don't even know where to begin.

Rais tuliyenaye ni janga haeleweki. Na mambo anayofanya, mengi yanavunja katiba ambayo aliapa kuilinda na kuitetea kwa nguvu zake zote!

Kwanza katiba inakataa ubaguzi wa kila aina.

Kwa mujibu wa katiba yetu, ibara inayoelezea kuhusu haki za binadamu, pia inaelezea kuhusu kupinga ubaguzi.

Tafsiri iliyotolewa kwenye katiba kuhusu ubaguzi...

""Kubagua" kama katiba ilivyoainisha, maana yake ni kutizama utashi, haki au mahitaji mengineyo kwa watu mbalimbali kwa kuzingatia maoni yao ya kisiasa, kabila, dini, hali yao katika jamii nk. Kwa namna ambayo watu wa aina flani, wanafanywa au kuhesabiwa kuwa dhaifu au duni, na kuwekewa vikwazo au masharti ya vipingamizi ambapo watu wa aina nyingine wanatendewa tofauti, au wanapewa fursa, au faida iliyo nje ya masharti au sifa za lazima"

Ni wazi rais anafahamu fika anachofanya kuwa ni ubaguzi. Ameamuwa tu kutokujali. Pengine madaraka makubwa yamemfanya kuwa more arrogant. Obama alisema juzi kati hapa kuwa hata yeye aliona ni kwa jinsi gani madaraka yalivyo hatari. Na kutegemea na akili ya mtu, wengi hulewa madaraka na kufanya wanachotaka na kuwa bullies!

Mambo kadhaa yaliyonifanya nikaamini kuwa rahisi jiwe anafanya makusudi kabisa na kuharibu taifa letu...Mfano aliwahi kutoa ahadi kuwa atapeleka maendeleo bila kujali sehemu hiyo wamechaguwa mtu mwenye mrengo gani wa kisiasa ama chama gani...Lakini pia matendo yake ni tofauti na wateule wake wanamsaidia kufikisha ujumbe wa kibaguzi kuwa wananchi wasipochagua watu wa ccm hawataepelekewa shghuli za kimaendeleo. Imesababisha hata viongozi wengine(mbali na kuhongwa), wakahamia kule kwenye more priveledges. Ni Imani yangu kuwa mwananchi yoyote yule anastahili kulindwa na katiba kwa mujibu wa katiba hiyo!

Ni wazi kabisa kuwa katiba inakataza ubaguzi hata wa kisiasa, lakini tunasikia kuwa wananchi wakiambiwa kuwa hawatapelekewa maendeleo kwasababu ya misimamo yao ya kisiasa. Huo ni ubaguzi. Katiba haiheshimiwi na ndiyo maana hakuna mwenye kupiga kelele. Wote wanamsikiliza jiwe tu. Utawala wa kisheria umewekwa kapuni.

Kama rahisi hayuko confused, kwanini atoe kauli kanganyifu? Pia matendo na meneno yake mengi yanaonyesha ubaguzi wa wazi kabisa.

Mtu mwenye busara akipata urais, hawezi kuongoza nchi kwa style kama hii! Wananchi wamefikia mahali ambapo wanachukiana wenyewe kwa wenyewe, na wakati tunafahamu kiongozi mzuri ni yule anayewaleta wananchi pamoja kufanya kazi kwa lengo moja na na kwa manufaa ya taifa lao!

Hivi majuzi tu, kuna kauli ya kiongozi wa ccm...

"Mbunge wa CCM akikwambia ataleta maendeleo amini hilo maana Serikali iliyopo madarakani ni ya CCM" - Kheri James "

"Watu wa Tandale mkichagua kishabiki, hamumkomoi Mtu bali mnajikomoa wenyewe. Msipoichagua CCM hamuikomoi bali mnajikomoa wenyewe. Maamuzi ya nani anakufaa yabaki kuwa yako usiruhusu kuwapa nafasi Watu kukuchagulia. Ukilala na njaa, ukitembea kwenye barabara mbovu, ukikosa huduma bora za kijamii ni wewe pekee utakayeteseka." - Kheri James "

Ninasema kama katiba haitapewa kipaumbele kuliko hata vyama vya siasa, basi tutambuwe kuwa taifa letu siyo tu kwamba litabaki hapa lilipo bila maendeleo ya maana, bali litadidimia kabisa na haitashangaza kuona kuna mataifa yatakayotamani kututawala!

Misingi yote imewekwa na katiba! Na katiba imekataza ubaguzi wa aina zote pale serikali inapodeal na wananchi wake, iwe kupeleka maendeleo kwa wananchi wake, au hata kuwapa huduma muhimu za kijamii kama maji, barabara, umeme nk. Serikali inataka tuone kama vile ni msaada inatupatia au priveledge! Kumbe ni haki kwa mujibu wa katiba ya nchi. Na ni shughuli zinazotokana na kodi za wananchi wote bila kujali misimamo yao ya kisiasa!

Katiba mpya ni muhimu sana kupita maelezo, wananchi walio wengi bado hawajui umuhimu wake kwasababu maisha yao yote wako chini ya minyororo ya maamuzi na utashi wa watu badala ya sheria na katiba ya nchi! Tutakuja kujutia jinsi ambavyo tulipoteza muda bila ya madai ya katiba mpya kwa nguvu zetu zote!

Ni muhimu tujenge taifa jipya lenye watu wenye kujielewa ili baadaye tupate viongozi bora ambao ni matunda bora ya katiba bora! Na reflection ya wananchi wanaojielewa.

Tunatakiwa tuwapime viongozi wetu kwa mujibu wa katiba na siyo majina mara sijui oooh mimi jiwe! Inasaidia nini? Unaongoza wanyama au ndege? Tunataka nchi yenye kuongozwa na katiba, period!
 
Mfano nchi ya wenzetu marekani, hakuna hata anayejuwa katiba za vyama vyao kama ilivyo kwetu! Ni katiba ya nchi kwanza! PERIOD! Kwetu watnanchi katiba za vyama kwanza, the katiba ya Taifa, halafu tunataka watu wawe wazalendo kwa Taifa badala ya vyma? It doesnt work like that!

The national constitution trumps all other constitutions, be it parties or whatever! Wanaofahamu katiba za either Republicans au Democrats ni wachache sana tena pengine viongozi ndo wengi wao wenye kuzifahamu.

Lakini katiba ya nchi ndo namba moja, na ndiyo inayotolewa reference all the time na wananchi na viongozi popte pale kunapokuwa na mgogoro au kutokuelewana.

Policies ama sera za vyama ziko, utofauti kati ya sera za chama kimoja na kingine kuhusina na mustakabali wa taifa ni kama almost non existence!

Ila katiba mtu yoyote anafahamu hata kama siyo yote, atakuwa anafahamu haki zake(bills of rights), na kamwe hatokubali kunyanyaswa au kupokwa haki zake za kikatiba hata kama ikiwa ni raisi wa nchi anataka kufanya hivyo!

Hatutaweza kuwa taifa la watu waluiostaarabika bila kuwa taifa la katiba.
 
I don't even know where to begin.

Rais tuliyenaye ni janga haeleweki. Na mambo anayofanya, mengi yanavunja katiba ambayo aliapa kuilinda na kuitetea kwa nguvu zake zote!

Kwanza katiba inakataa ubaguzi wa kila aina.

Kwa mujibu wa katiba yetu, ibara inayoelezea kuhusu haki za binadamu, pia inaelezea kuhusu kupinga ubaguzi.

Tafsiri iliyotolewa kwenye katiba kuhusu ubaguzi...

""Kubagua" kama katiba ilivyoainisha, maana yake ni kutizama utashi, haki au mahitaji mengineyo kwa watu mbalimbali kwa kuzingatia maoni yao ya kisiasa, kabila, dini, hali yao katika jamii nk. Kwa namna ambayo watu wa aina flani, wanafanywa au kuhesabiwa kuwa dhaifu au duni, na kuwekewa vikwazo au masharti ya vipingamizi ambapo watu wa aina nyingine wanatendewa tofauti, au wanapewa fursa, au faida iliyo nje ya masharti au sifa za lazima"

Ni wazi rais anafahamu fika anachofanya kuwa ni ubaguzi. Ameamuwa tu kutokujali. Pengine madaraka makubwa yamemfanya kuwa more arrogant. Obama alisema juzi kati hapa kuwa hata yeye aliona ni kwa jinsi gani madaraka yalivyo hatari. Na kutegemea na akili ya mtu, wengi hulewa madaraka na kufanya wanachotaka na kuwa bullies!

Mambo kadhaa yaliyonifanya nikaamini kuwa rahisi jiwe anafanya makusudi kabisa na kuharibu taifa letu. Mfano aliwahi kutoa ahadi kuwa atapeleka maendeleo bila kujali sehemu hiyo wamechaguwa mtu mwenye mrengo gani wa kisiasa ama chama gani...Lakini pia matendo yake ni tofauti na wateule wake wanamsaidia kufikisha ujumbe wa kibaguzi kuwa wananchi wasipochagua watu wa ccm hawataepelekewa shghuli za kimaendeleo. Imesababisha hata viongozi wengine(mbali na kuhongwa), wakahamia kule kwenye more priveledges. Ni Imani yangu kuwa mwananchi yoyote yule anastahili kulindwa na katiba kwa mujibu wa katiba hiyo!

Ni wazi kabisa kuwa katiba inakataza ubaguzi hata wa kisiasa, lakini tunasikia kuwa wananchi wakiambiwa kuwa hawatapelekewa maendeleo kwasababu ya misimamo yao ya kisiasa. Huo ni ubaguzi. Katiba haiheshimiwi na ndiyo maana hakuna mwenye kupiga kelele. Wote wanamsikiliza jiwe tu. Utawala wa kisheria umewekwa kapuni.

Kama rahisi hayuko confused, kwanini atoe kauli kanganyifu? Pia matendo na meneno yake mengi yanaonyesha ubaguzi wa wazi kabisa.

Mtu mwenye busara akipata urais, hawezi kuongoza nchi kwa style kama hii! Wananchi wamefikia mahali ambapo wanachukiana wenyewe kwa wenyewe, na wakati tunafahamu kiongozi mzuri ni yule anayewaleta wananchi pamoja kufanya kazi kwa lengo moja na na kwa manufaa ya taifa lao!

Hivi majuzi tu, kuna kauli ya kiongozi wa ccm...

"Mbunge wa CCM akikwambia ataleta maendeleo amini hilo maana Serikali iliyopo madarakani ni ya CCM" - Kheri James "

"Watu wa Tandale mkichagua kishabiki, hamumkomoi Mtu bali mnajikomoa wenyewe. Msipoichagua CCM hamuikomoi bali mnajikomoa wenyewe. Maamuzi ya nani anakufaa yabaki kuwa yako usiruhusu kuwapa nafasi Watu kukuchagulia. Ukilala na njaa, ukitembea kwenye barabara mbovu, ukikosa huduma bora za kijamii ni wewe pekee utakayeteseka." - Kheri James "

Ninasema kama katiba haitapewa kipaumbele kuliko hata vyama vya siasa, basi tutambuwe kuwa taifa letu siyo tu kwamba litabaki hapa lilipo bila maendeleo ya maana, bali litadidimia kabisa na haitashangaza kuona kuna mataifa yatakayotamani kututawala!

Misingi yote imewekwa na katiba! Na katiba imekataza ubaguzi wa aina zote pale serikali inapodeal na wananchi wake, iwe kupeleka maendeleo kwa wananchi wake, au hata kuwapa huduma muhimu za kijamii kama maji, barabara, umeme nk. Serikali inataka tuone kama vile ni msaada inatupatia au priveledge! Kumbe ni haki kwa mujibu wa katiba ya nchi. Na ni shghuli zinazotokana na kodi za wananchi wote bila kujali misimamo yao ya kisiasa!

Katiba mpya ni muhimu sana kupita maelezo, wananchi walio wengi bado hawajui umuhimu wake kwasababu maisha yao yote wako chini ya minyororo ya maamuzi na utashi wa watu badala ya sheria na katiba ya nchi! Tutakuja kujutia jinsi ambavyo tulipoteza muda bila ya madai ya katiba mpya kwa nguvu zetu zote!

Ni muhimu tujenge taifa jipya lenye watu wenye kujielewa ili baadaye tupate viongozi bora ambao ni matunda bora ya katiba bora! Na reflection ya wananchi wanaojielewa.

Tunatakiwa tuwapime viongozi wetu kwa mujibu wa katba na siyo majina mara sijui oooh mimi jiwe! Inasaidia nini? Unaongoza wanyama au ndege? Tunataka nchi yenye kuongozwa na katiba, period!
Umeandika upuuzi mrefu lakini hakuna hata mahali ulipoonyesha jinsi katiba ilivyovunjwa.
 
Umeandika upuuzi mrefu lakini hakuna hata mahali ulipoonyesha jinsi katiba ilivyovunjwa.
We umeona ni ndefu! pengine hujui kusoma au ni mvivu, typical Tanganyika product. Halafu unajiita Sambeke, I know those guys, hakuna fala na ndezi kama wewe anayeitwa Sambeke.

Soma paragragh ya kwanza kuhusiana na katiba kupinga ubaguzi hata wa kisiasa, siyo tu ubaguzi wa kabila, dini na rangi... Kwani wabongo wengi mnapenda kusoma bsi?
 
Hakuna kipindi ambacho nchi yetu imekuwa na rais mdanganyifu, asiyekumbuka juzi aliongea nini na leo anaongea nini. Rais anayetaja takwimu za uongo siku nyingine akizirudia zinakuwa ni tofauti na alizozitaja mwanzo. Rais mbinafsi anayeamini mawazo yake ndio msingi bora kumbe anaharibu. Rais asiyeona haya kuwagawa na kuwabagua watanzania kwa utashi wake wa kisiasa. Rais anayejitanaibisha ni rais wa wanyonge lakini ni kinyume chake...
Yapo mengi tu ila wacha niishie hapa......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SEHEMU YA TATU HAKI NA WAJIBU MUHIMU Haki ya Usawa Usawa wa binadamu Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 12.-

(1) Binadamu wote huzaliwa huru, na wote ni sawa.

(2) Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake. Usawa mbele ya Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 13.-

(1) Watu wote ni sawa mbele ya sheria, na wanayo haki, bila ya ubaguzi wowote, kulindwa na kupata haki sawa mbele ya sheria. Sheria ya Na.4 ya 1992 ib.8 Sheria ya 2000 Na.3 ib.5

(2) Ni marufuku kwa sheria yoyote iliyotungwa na mamlaka yoyote katika Jamhuri ya Muungano kuweka sharti lolote ambalo ni la ubaguzi ama wa dhahiri au kwa taathira yake.

(3) Haki za raia, wajibu na maslahi ya kila mtu na jumuiya ya watu yatalindwa na kuamuliwa na Mahakama na vyombo vinginevyo vya Mamlaka ya Nchi vilivyowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria.
 
We umeona ni ndefu! pengine hujui kusoma au ni mvivu, typical Tanganyika product. Halafu unajiita Sambeke, I know those guys, hakuna fala na ndezi kama wewe anayeitwa Sambeke.

Soma paragragh ya kwanza kuhusiana na katiba kupinga ubaguzi hata wa kisiasa, siyo tu ubaguzi wa kabila, dini na rangi... Kwani wabongo wengi mnapenda kusoma bsi?

Weka reference ya vifungu vya katiba vilivyovunjwa.
 
(4) Ni marufuku kwa mtu yeyote kubaguliwa na mtu au mamlaka yoyote inayotekeleza madaraka yake chini ya sheria yoyote au katika utekelezaji wa kazi au shughuli yoyote ya Mamlaka ya Nchi. (5) Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya ibara hii neno "kubagua" maana yake ni kutimiza haja, haki au mahitaji mengineyo kwa watu mbalimbali kwa kuzingatia utaifa wao, kabila, pahala walipotokea, maoni yao ya kisiasa, rangi, dini, jinsia au hali yao ya maisha kwa namna ambayo watu wa aina fulani wanafanywa au kuhesabiwa kuwa dhaifu au duni na kuwekewa vikwazo au masharti ya vipingamizi ambapo watu wa aina nyingine wanatendewa tofauti au wanapewa fursa au faida iliyoko nje ya masharti au sifa za lazima, isipokuwa kwamba neno "kubagua" halitafafanuliwa kwa namna ambayo itaizuia Serikali kuchukua hatua za makusudi zenye lengo la kurekebisha matatizo katika jamii.

cc sambeke , gongolamboto ,katiba ndivyo inavyosema kuhusu ubaguzi wa aina yoyote! Ubaguzi ambao umeshahalalishwa eti kwasababu kuna mtu mwenye nguvu kuliko katiba anaitwa jiwe?
 
I don't even know where to begin.

Rais tuliyenaye ni janga haeleweki. Na mambo anayofanya, mengi yanavunja katiba ambayo aliapa kuilinda na kuitetea kwa nguvu zake zote!

Kwanza katiba inakataa ubaguzi wa kila aina.

Kwa mujibu wa katiba yetu, ibara inayoelezea kuhusu haki za binadamu, pia inaelezea kuhusu kupinga ubaguzi.

Tafsiri iliyotolewa kwenye katiba kuhusu ubaguzi...

""Kubagua" kama katiba ilivyoainisha, maana yake ni kutizama utashi, haki au mahitaji mengineyo kwa watu mbalimbali kwa kuzingatia maoni yao ya kisiasa, kabila, dini, hali yao katika jamii nk. Kwa namna ambayo watu wa aina flani, wanafanywa au kuhesabiwa kuwa dhaifu au duni, na kuwekewa vikwazo au masharti ya vipingamizi ambapo watu wa aina nyingine wanatendewa tofauti, au wanapewa fursa, au faida iliyo nje ya masharti au sifa za lazima"

Ni wazi rais anafahamu fika anachofanya kuwa ni ubaguzi. Ameamuwa tu kutokujali. Pengine madaraka makubwa yamemfanya kuwa more arrogant. Obama alisema juzi kati hapa kuwa hata yeye aliona ni kwa jinsi gani madaraka yalivyo hatari. Na kutegemea na akili ya mtu, wengi hulewa madaraka na kufanya wanachotaka na kuwa bullies!

Mambo kadhaa yaliyonifanya nikaamini kuwa rahisi jiwe anafanya makusudi kabisa na kuharibu taifa letu. Mfano aliwahi kutoa ahadi kuwa atapeleka maendeleo bila kujali sehemu hiyo wamechaguwa mtu mwenye mrengo gani wa kisiasa ama chama gani...Lakini pia matendo yake ni tofauti na wateule wake wanamsaidia kufikisha ujumbe wa kibaguzi kuwa wananchi wasipochagua watu wa ccm hawataepelekewa shghuli za kimaendeleo. Imesababisha hata viongozi wengine(mbali na kuhongwa), wakahamia kule kwenye more priveledges. Ni Imani yangu kuwa mwananchi yoyote yule anastahili kulindwa na katiba kwa mujibu wa katiba hiyo!

Ni wazi kabisa kuwa katiba inakataza ubaguzi hata wa kisiasa, lakini tunasikia kuwa wananchi wakiambiwa kuwa hawatapelekewa maendeleo kwasababu ya misimamo yao ya kisiasa. Huo ni ubaguzi. Katiba haiheshimiwi na ndiyo maana hakuna mwenye kupiga kelele. Wote wanamsikiliza jiwe tu. Utawala wa kisheria umewekwa kapuni.

Kama rahisi hayuko confused, kwanini atoe kauli kanganyifu? Pia matendo na meneno yake mengi yanaonyesha ubaguzi wa wazi kabisa.

Mtu mwenye busara akipata urais, hawezi kuongoza nchi kwa style kama hii! Wananchi wamefikia mahali ambapo wanachukiana wenyewe kwa wenyewe, na wakati tunafahamu kiongozi mzuri ni yule anayewaleta wananchi pamoja kufanya kazi kwa lengo moja na na kwa manufaa ya taifa lao!

Hivi majuzi tu, kuna kauli ya kiongozi wa ccm...

"Mbunge wa CCM akikwambia ataleta maendeleo amini hilo maana Serikali iliyopo madarakani ni ya CCM" - Kheri James "

"Watu wa Tandale mkichagua kishabiki, hamumkomoi Mtu bali mnajikomoa wenyewe. Msipoichagua CCM hamuikomoi bali mnajikomoa wenyewe. Maamuzi ya nani anakufaa yabaki kuwa yako usiruhusu kuwapa nafasi Watu kukuchagulia. Ukilala na njaa, ukitembea kwenye barabara mbovu, ukikosa huduma bora za kijamii ni wewe pekee utakayeteseka." - Kheri James "

Ninasema kama katiba haitapewa kipaumbele kuliko hata vyama vya siasa, basi tutambuwe kuwa taifa letu siyo tu kwamba litabaki hapa lilipo bila maendeleo ya maana, bali litadidimia kabisa na haitashangaza kuona kuna mataifa yatakayotamani kututawala!

Misingi yote imewekwa na katiba! Na katiba imekataza ubaguzi wa aina zote pale serikali inapodeal na wananchi wake, iwe kupeleka maendeleo kwa wananchi wake, au hata kuwapa huduma muhimu za kijamii kama maji, barabara, umeme nk. Serikali inataka tuone kama vile ni msaada inatupatia au priveledge! Kumbe ni haki kwa mujibu wa katiba ya nchi. Na ni shghuli zinazotokana na kodi za wananchi wote bila kujali misimamo yao ya kisiasa!

Katiba mpya ni muhimu sana kupita maelezo, wananchi walio wengi bado hawajui umuhimu wake kwasababu maisha yao yote wako chini ya minyororo ya maamuzi na utashi wa watu badala ya sheria na katiba ya nchi! Tutakuja kujutia jinsi ambavyo tulipoteza muda bila ya madai ya katiba mpya kwa nguvu zetu zote!

Ni muhimu tujenge taifa jipya lenye watu wenye kujielewa ili baadaye tupate viongozi bora ambao ni matunda bora ya katiba bora! Na reflection ya wananchi wanaojielewa.

Tunatakiwa tuwapime viongozi wetu kwa mujibu wa katba na siyo majina mara sijui oooh mimi jiwe! Inasaidia nini? Unaongoza wanyama au ndege? Tunataka nchi yenye kuongozwa na katiba, period!
Vp umesahau alichosema jana alipokua anamzungumzia mwenzie yule Waziri wa Uvuvi
 
Back
Top Bottom