A confused president and a constitutional crisis!

A confused president and a constitutional crisis!

I see there is a serious problem somewhere. Nyakati za nyuma, wananchi walijali kidogo kuhusu katiba ya nchi. Enzi za chama kimoja, kulikuwepo na wale kina Njelu Kasaka. Walisimamia katiba and they were proud of it. Kuna namna viongozi wetu wanacheza na akili za watanzania. As if baada ya multiparty system, hakuna tena katiba ya kuongoza nchi. Hili ni tatizo kubwa, hakuna uzalendo. Na uzalendo unajengwa na katiba bora mtu asikudanganye.

Kwasasa nchi ni kama inaongozwa na waswaga ng'ombe na ng'ombe ndo wananchi! Sijawahi kusikia wananchi wakiwa proud kuhusiana na katiba yao ambayo imebeba haki zao zinazovunjwa kila kukicha.

We have to do something..talking is cheap
 
Hivi kwa nini huu ubaguzi unaendelea na sisi kama Taifa tumekaa kimya? Ilianza kupigwa marufuku mbunge wa jimbo moja kuongea na watanzania wa jimbo lingine. Sasa imekuja ya kupiga marufuku kupeleka maendeleo kwenye jimbo la chama tofauti na chama cha kiongozi wetu wote.
Nadhani pia issue ya katiba ni muhimu sana na ninashangazwa na upinzani...

Pia kwa mujibu wa mapendekezo ya tume ya mabadiliko ya katiba, miongoni mwa majukumu ya Mkuu wa nchi ni pamoja na kuwa nembo ya umoja na mshikamano wa wananchi wote. Hivyo basi...

1. Utamaduni wa Rais kuwa pia kiongozi wa chama unaweza kuwa ulifaa katika mfumo wa chama kimoja, ndani ya mfumo wa vyama vingi, utaratibu unaweza ukaathiri nafasi ya Rais kama alama ya umoja na mshikamano wa wananchi wote, hivyo kusababisha mgogoro wa kikatiba, (Constitutional crisis) kama ilivyo sasa.

Mfano, Rais anapotembelea eneo fulani la nchi huku akiwa amevaa nembo za chama chake, ni rahisi kwa wananchi wasio wanachama wa chama chake kujisikia kuwa siyo kiongozi wao, pia kama ilivyo ada kwake kusema kuwa kuwa wananchi wakitaka wapelekewe maendeleo waichague ccm, mkuu wa nchi inaonekana ana struggle na uelewa wa katiba yetu.

2. Kama Mkuu wa nchi Rais anapaswa kuwa alama ya umoja na mshikamano wa kitaifa, na kiongozi wa wananchi wote katika muda wote.
 
I don't even know where to begin.

Rais tuliyenaye ni janga haeleweki. Na mambo anayofanya, mengi yanavunja katiba ambayo aliapa kuilinda na kuitetea kwa nguvu zake zote!

Kwanza katiba inakataa ubaguzi wa kila aina.

Kwa mujibu wa katiba yetu, ibara inayoelezea kuhusu haki za binadamu, pia inaelezea kuhusu kupinga ubaguzi.

Tafsiri iliyotolewa kwenye katiba kuhusu ubaguzi...

""Kubagua" kama katiba ilivyoainisha, maana yake ni kutizama utashi, haki au mahitaji mengineyo kwa watu mbalimbali kwa kuzingatia maoni yao ya kisiasa, kabila, dini, hali yao katika jamii nk. Kwa namna ambayo watu wa aina flani, wanafanywa au kuhesabiwa kuwa dhaifu au duni, na kuwekewa vikwazo au masharti ya vipingamizi ambapo watu wa aina nyingine wanatendewa tofauti, au wanapewa fursa, au faida iliyo nje ya masharti au sifa za lazima"

Ni wazi rais anafahamu fika anachofanya kuwa ni ubaguzi. Ameamuwa tu kutokujali. Pengine madaraka makubwa yamemfanya kuwa more arrogant. Obama alisema juzi kati hapa kuwa hata yeye aliona ni kwa jinsi gani madaraka yalivyo hatari. Na kutegemea na akili ya mtu, wengi hulewa madaraka na kufanya wanachotaka na kuwa bullies!

Mambo kadhaa yaliyonifanya nikaamini kuwa rahisi jiwe anafanya makusudi kabisa na kuharibu taifa letu. Mfano aliwahi kutoa ahadi kuwa atapeleka maendeleo bila kujali sehemu hiyo wamechaguwa mtu mwenye mrengo gani wa kisiasa ama chama gani...Lakini pia matendo yake ni tofauti na wateule wake wanamsaidia kufikisha ujumbe wa kibaguzi kuwa wananchi wasipochagua watu wa ccm hawataepelekewa shghuli za kimaendeleo. Imesababisha hata viongozi wengine(mbali na kuhongwa), wakahamia kule kwenye more priveledges. Ni Imani yangu kuwa mwananchi yoyote yule anastahili kulindwa na katiba kwa mujibu wa katiba hiyo!

Ni wazi kabisa kuwa katiba inakataza ubaguzi hata wa kisiasa, lakini tunasikia kuwa wananchi wakiambiwa kuwa hawatapelekewa maendeleo kwasababu ya misimamo yao ya kisiasa. Huo ni ubaguzi. Katiba haiheshimiwi na ndiyo maana hakuna mwenye kupiga kelele. Wote wanamsikiliza jiwe tu. Utawala wa kisheria umewekwa kapuni.

Kama rahisi hayuko confused, kwanini atoe kauli kanganyifu? Pia matendo na meneno yake mengi yanaonyesha ubaguzi wa wazi kabisa.

Mtu mwenye busara akipata urais, hawezi kuongoza nchi kwa style kama hii! Wananchi wamefikia mahali ambapo wanachukiana wenyewe kwa wenyewe, na wakati tunafahamu kiongozi mzuri ni yule anayewaleta wananchi pamoja kufanya kazi kwa lengo moja na na kwa manufaa ya taifa lao!

Hivi majuzi tu, kuna kauli ya kiongozi wa ccm...

"Mbunge wa CCM akikwambia ataleta maendeleo amini hilo maana Serikali iliyopo madarakani ni ya CCM" - Kheri James "

"Watu wa Tandale mkichagua kishabiki, hamumkomoi Mtu bali mnajikomoa wenyewe. Msipoichagua CCM hamuikomoi bali mnajikomoa wenyewe. Maamuzi ya nani anakufaa yabaki kuwa yako usiruhusu kuwapa nafasi Watu kukuchagulia. Ukilala na njaa, ukitembea kwenye barabara mbovu, ukikosa huduma bora za kijamii ni wewe pekee utakayeteseka." - Kheri James "

Ninasema kama katiba haitapewa kipaumbele kuliko hata vyama vya siasa, basi tutambuwe kuwa taifa letu siyo tu kwamba litabaki hapa lilipo bila maendeleo ya maana, bali litadidimia kabisa na haitashangaza kuona kuna mataifa yatakayotamani kututawala!

Misingi yote imewekwa na katiba! Na katiba imekataza ubaguzi wa aina zote pale serikali inapodeal na wananchi wake, iwe kupeleka maendeleo kwa wananchi wake, au hata kuwapa huduma muhimu za kijamii kama maji, barabara, umeme nk. Serikali inataka tuone kama vile ni msaada inatupatia au priveledge! Kumbe ni haki kwa mujibu wa katiba ya nchi. Na ni shghuli zinazotokana na kodi za wananchi wote bila kujali misimamo yao ya kisiasa!

Katiba mpya ni muhimu sana kupita maelezo, wananchi walio wengi bado hawajui umuhimu wake kwasababu maisha yao yote wako chini ya minyororo ya maamuzi na utashi wa watu badala ya sheria na katiba ya nchi! Tutakuja kujutia jinsi ambavyo tulipoteza muda bila ya madai ya katiba mpya kwa nguvu zetu zote!

Ni muhimu tujenge taifa jipya lenye watu wenye kujielewa ili baadaye tupate viongozi bora ambao ni matunda bora ya katiba bora! Na reflection ya wananchi wanaojielewa.

Tunatakiwa tuwapime viongozi wetu kwa mujibu wa katba na siyo majina mara sijui oooh mimi jiwe! Inasaidia nini? Unaongoza wanyama au ndege? Tunataka nchi yenye kuongozwa na katiba, period!
Kwa katiba ya sasa kuna hatari ya kuongozwa na rais kichaa akawa anatoa matamshi na maamuzi ya ukichaa kichaa
 
I don't even know where to begin.

Rais tuliyenaye ni janga haeleweki. Na mambo anayofanya, mengi yanavunja katiba ambayo aliapa kuilinda na kuitetea kwa nguvu zake zote!

Kwanza katiba inakataa ubaguzi wa kila aina.

Kwa mujibu wa katiba yetu, ibara inayoelezea kuhusu haki za binadamu, pia inaelezea kuhusu kupinga ubaguzi.

Tafsiri iliyotolewa kwenye katiba kuhusu ubaguzi...

""Kubagua" kama katiba ilivyoainisha, maana yake ni kutizama utashi, haki au mahitaji mengineyo kwa watu mbalimbali kwa kuzingatia maoni yao ya kisiasa, kabila, dini, hali yao katika jamii nk. Kwa namna ambayo watu wa aina flani, wanafanywa au kuhesabiwa kuwa dhaifu au duni, na kuwekewa vikwazo au masharti ya vipingamizi ambapo watu wa aina nyingine wanatendewa tofauti, au wanapewa fursa, au faida iliyo nje ya masharti au sifa za lazima"

Ni wazi rais anafahamu fika anachofanya kuwa ni ubaguzi. Ameamuwa tu kutokujali. Pengine madaraka makubwa yamemfanya kuwa more arrogant. Obama alisema juzi kati hapa kuwa hata yeye aliona ni kwa jinsi gani madaraka yalivyo hatari. Na kutegemea na akili ya mtu, wengi hulewa madaraka na kufanya wanachotaka na kuwa bullies!

Mambo kadhaa yaliyonifanya nikaamini kuwa rahisi jiwe anafanya makusudi kabisa na kuharibu taifa letu. Mfano aliwahi kutoa ahadi kuwa atapeleka maendeleo bila kujali sehemu hiyo wamechaguwa mtu mwenye mrengo gani wa kisiasa ama chama gani...Lakini pia matendo yake ni tofauti na wateule wake wanamsaidia kufikisha ujumbe wa kibaguzi kuwa wananchi wasipochagua watu wa ccm hawataepelekewa shghuli za kimaendeleo. Imesababisha hata viongozi wengine(mbali na kuhongwa), wakahamia kule kwenye more priveledges. Ni Imani yangu kuwa mwananchi yoyote yule anastahili kulindwa na katiba kwa mujibu wa katiba hiyo!

Ni wazi kabisa kuwa katiba inakataza ubaguzi hata wa kisiasa, lakini tunasikia kuwa wananchi wakiambiwa kuwa hawatapelekewa maendeleo kwasababu ya misimamo yao ya kisiasa. Huo ni ubaguzi. Katiba haiheshimiwi na ndiyo maana hakuna mwenye kupiga kelele. Wote wanamsikiliza jiwe tu. Utawala wa kisheria umewekwa kapuni.

Kama rahisi hayuko confused, kwanini atoe kauli kanganyifu? Pia matendo na meneno yake mengi yanaonyesha ubaguzi wa wazi kabisa.

Mtu mwenye busara akipata urais, hawezi kuongoza nchi kwa style kama hii! Wananchi wamefikia mahali ambapo wanachukiana wenyewe kwa wenyewe, na wakati tunafahamu kiongozi mzuri ni yule anayewaleta wananchi pamoja kufanya kazi kwa lengo moja na na kwa manufaa ya taifa lao!

Hivi majuzi tu, kuna kauli ya kiongozi wa ccm...

"Mbunge wa CCM akikwambia ataleta maendeleo amini hilo maana Serikali iliyopo madarakani ni ya CCM" - Kheri James "

"Watu wa Tandale mkichagua kishabiki, hamumkomoi Mtu bali mnajikomoa wenyewe. Msipoichagua CCM hamuikomoi bali mnajikomoa wenyewe. Maamuzi ya nani anakufaa yabaki kuwa yako usiruhusu kuwapa nafasi Watu kukuchagulia. Ukilala na njaa, ukitembea kwenye barabara mbovu, ukikosa huduma bora za kijamii ni wewe pekee utakayeteseka." - Kheri James "

Ninasema kama katiba haitapewa kipaumbele kuliko hata vyama vya siasa, basi tutambuwe kuwa taifa letu siyo tu kwamba litabaki hapa lilipo bila maendeleo ya maana, bali litadidimia kabisa na haitashangaza kuona kuna mataifa yatakayotamani kututawala!

Misingi yote imewekwa na katiba! Na katiba imekataza ubaguzi wa aina zote pale serikali inapodeal na wananchi wake, iwe kupeleka maendeleo kwa wananchi wake, au hata kuwapa huduma muhimu za kijamii kama maji, barabara, umeme nk. Serikali inataka tuone kama vile ni msaada inatupatia au priveledge! Kumbe ni haki kwa mujibu wa katiba ya nchi. Na ni shghuli zinazotokana na kodi za wananchi wote bila kujali misimamo yao ya kisiasa!

Katiba mpya ni muhimu sana kupita maelezo, wananchi walio wengi bado hawajui umuhimu wake kwasababu maisha yao yote wako chini ya minyororo ya maamuzi na utashi wa watu badala ya sheria na katiba ya nchi! Tutakuja kujutia jinsi ambavyo tulipoteza muda bila ya madai ya katiba mpya kwa nguvu zetu zote!

Ni muhimu tujenge taifa jipya lenye watu wenye kujielewa ili baadaye tupate viongozi bora ambao ni matunda bora ya katiba bora! Na reflection ya wananchi wanaojielewa.

Tunatakiwa tuwapime viongozi wetu kwa mujibu wa katba na siyo majina mara sijui oooh mimi jiwe! Inasaidia nini? Unaongoza wanyama au ndege? Tunataka nchi yenye kuongozwa na katiba, period!

JK ndo alituletea jiwe watz! Laana yote iende kwake maana mateso na taabu watz wanapata ni kwa sababu yake.
 
I don't even know where to begin.

Rais tuliyenaye ni janga haeleweki. Na mambo anayofanya, mengi yanavunja katiba ambayo aliapa kuilinda na kuitetea kwa nguvu zake zote!

Kwanza katiba inakataa ubaguzi wa kila aina.

Kwa mujibu wa katiba yetu, ibara inayoelezea kuhusu haki za binadamu, pia inaelezea kuhusu kupinga ubaguzi.

Tafsiri iliyotolewa kwenye katiba kuhusu ubaguzi...

""Kubagua" kama katiba ilivyoainisha, maana yake ni kutizama utashi, haki au mahitaji mengineyo kwa watu mbalimbali kwa kuzingatia maoni yao ya kisiasa, kabila, dini, hali yao katika jamii nk. Kwa namna ambayo watu wa aina flani, wanafanywa au kuhesabiwa kuwa dhaifu au duni, na kuwekewa vikwazo au masharti ya vipingamizi ambapo watu wa aina nyingine wanatendewa tofauti, au wanapewa fursa, au faida iliyo nje ya masharti au sifa za lazima"

Ni wazi rais anafahamu fika anachofanya kuwa ni ubaguzi. Ameamuwa tu kutokujali. Pengine madaraka makubwa yamemfanya kuwa more arrogant. Obama alisema juzi kati hapa kuwa hata yeye aliona ni kwa jinsi gani madaraka yalivyo hatari. Na kutegemea na akili ya mtu, wengi hulewa madaraka na kufanya wanachotaka na kuwa bullies!

Mambo kadhaa yaliyonifanya nikaamini kuwa rahisi jiwe anafanya makusudi kabisa na kuharibu taifa letu. Mfano aliwahi kutoa ahadi kuwa atapeleka maendeleo bila kujali sehemu hiyo wamechaguwa mtu mwenye mrengo gani wa kisiasa ama chama gani...Lakini pia matendo yake ni tofauti na wateule wake wanamsaidia kufikisha ujumbe wa kibaguzi kuwa wananchi wasipochagua watu wa ccm hawataepelekewa shghuli za kimaendeleo. Imesababisha hata viongozi wengine(mbali na kuhongwa), wakahamia kule kwenye more priveledges. Ni Imani yangu kuwa mwananchi yoyote yule anastahili kulindwa na katiba kwa mujibu wa katiba hiyo!

Ni wazi kabisa kuwa katiba inakataza ubaguzi hata wa kisiasa, lakini tunasikia kuwa wananchi wakiambiwa kuwa hawatapelekewa maendeleo kwasababu ya misimamo yao ya kisiasa. Huo ni ubaguzi. Katiba haiheshimiwi na ndiyo maana hakuna mwenye kupiga kelele. Wote wanamsikiliza jiwe tu. Utawala wa kisheria umewekwa kapuni.

Kama rahisi hayuko confused, kwanini atoe kauli kanganyifu? Pia matendo na meneno yake mengi yanaonyesha ubaguzi wa wazi kabisa.

Mtu mwenye busara akipata urais, hawezi kuongoza nchi kwa style kama hii! Wananchi wamefikia mahali ambapo wanachukiana wenyewe kwa wenyewe, na wakati tunafahamu kiongozi mzuri ni yule anayewaleta wananchi pamoja kufanya kazi kwa lengo moja na na kwa manufaa ya taifa lao!

Hivi majuzi tu, kuna kauli ya kiongozi wa ccm...

"Mbunge wa CCM akikwambia ataleta maendeleo amini hilo maana Serikali iliyopo madarakani ni ya CCM" - Kheri James "

"Watu wa Tandale mkichagua kishabiki, hamumkomoi Mtu bali mnajikomoa wenyewe. Msipoichagua CCM hamuikomoi bali mnajikomoa wenyewe. Maamuzi ya nani anakufaa yabaki kuwa yako usiruhusu kuwapa nafasi Watu kukuchagulia. Ukilala na njaa, ukitembea kwenye barabara mbovu, ukikosa huduma bora za kijamii ni wewe pekee utakayeteseka." - Kheri James "

Ninasema kama katiba haitapewa kipaumbele kuliko hata vyama vya siasa, basi tutambuwe kuwa taifa letu siyo tu kwamba litabaki hapa lilipo bila maendeleo ya maana, bali litadidimia kabisa na haitashangaza kuona kuna mataifa yatakayotamani kututawala!

Misingi yote imewekwa na katiba! Na katiba imekataza ubaguzi wa aina zote pale serikali inapodeal na wananchi wake, iwe kupeleka maendeleo kwa wananchi wake, au hata kuwapa huduma muhimu za kijamii kama maji, barabara, umeme nk. Serikali inataka tuone kama vile ni msaada inatupatia au priveledge! Kumbe ni haki kwa mujibu wa katiba ya nchi. Na ni shghuli zinazotokana na kodi za wananchi wote bila kujali misimamo yao ya kisiasa!

Katiba mpya ni muhimu sana kupita maelezo, wananchi walio wengi bado hawajui umuhimu wake kwasababu maisha yao yote wako chini ya minyororo ya maamuzi na utashi wa watu badala ya sheria na katiba ya nchi! Tutakuja kujutia jinsi ambavyo tulipoteza muda bila ya madai ya katiba mpya kwa nguvu zetu zote!

Ni muhimu tujenge taifa jipya lenye watu wenye kujielewa ili baadaye tupate viongozi bora ambao ni matunda bora ya katiba bora! Na reflection ya wananchi wanaojielewa.

Tunatakiwa tuwapime viongozi wetu kwa mujibu wa katba na siyo majina mara sijui oooh mimi jiwe! Inasaidia nini? Unaongoza wanyama au ndege? Tunataka nchi yenye kuongozwa na katiba, period!
Yajayo yanasikitisha
 
JK ndo alituletea jiwe watz! Laana yote iende kwake maana mateso na taabu watz wanapata ni kwa sababu yake.
Ni kweli mkuu! Lakini hatuwezi kuwa na katiba inayotegemea mainly utashi wa mtu! Sababu za kuwa na katiba ya aina hiyo kwanza zilishapitwa na wakati! Huyu rais wa sasa ndo ametuamsha Zaidi kufahamu umuhimu wa kuwa na uongozi unaofuata katiba ya nchi.

Kwa mujibu wa mapendekezo ya tume ya katiba mpya, madaraka makubwa kwa mtu mmoja au taasisi moja bila udhibiti mahususi wa jinsi ya kutumia madaraka hayo, nchi inaweza ikajikuta iko kwenye utawala wa mtu mmoja (Personal rule). Mwanahistoria wa zamani wa Uingereza, Lord Acton aliwahi kusema kuwa "Power tends to corrupt, and absolute power corrupts absolutely. Great men are almost always bad men."
 
Utanyooka tu..!
Kunyooka kivipi? Kuwa wapumbavu, wajinga, wasiojuwa haki zao? Ndo taifa mnalojenga? Mnatayarisha wananchi waje kutawaliwa tena na mkoloni au mna nia halisi ya kuikwamuwa nchi inayosota since indepence?
 
Umeandika upuuzi mrefu lakini hakuna hata mahali ulipoonyesha jinsi katiba ilivyovunjwa.
SEHEMU YA TATU HAKI NA WAJIBU MUHIMU Haki ya Usawa Usawa wa binadamu Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 12.-

(1) Binadamu wote huzaliwa huru, na wote ni sawa.

(2) Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake. Usawa mbele ya Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 13.-

(1) Watu wote ni sawa mbele ya sheria, na wanayo haki, bila ya ubaguzi wowote, kulindwa na kupata haki sawa mbele ya sheria. Sheria ya Na.4 ya 1992 ib.8 Sheria ya 2000 Na.3 ib.5

(2) Ni marufuku kwa sheria yoyote iliyotungwa na mamlaka yoyote katika Jamhuri ya Muungano kuweka sharti lolote ambalo ni la ubaguzi ama wa dhahiri au kwa taathira yake.

(3) Haki za raia, wajibu na maslahi ya kila mtu na jumuiya ya watu yatalindwa na kuamuliwa na Mahakama na vyombo vinginevyo vya Mamlaka ya Nchi vilivyowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria.
Bado hujaona katiba ilipovunjwa mwanalumumba?
 
Kwa katiba ya sasa kuna hatari ya kuongozwa na rais kichaa akawa anatoa matamshi na maamuzi ya ukichaa kichaa
Uko sahihi kabisa. Ila hata hii iliyopo(pamoja na kwamba inahitaji kubadilishwa), bunge likiamuwa linaweza kumwajibisha nchi ikarudi kwenye msitari ama utawala unaofuata katiba. Hadi usawa huu, ni wazi kabisa mkuu wa nchi amevunja katiba. Hiloiko wazi, lakini badala yake nchi imekuwa kama ya mang'ombe ynayoswagwa tu.No one is above the law. No one should be.
 
Naitafakari sana katiba ya JMT, 1977.
Ibara ya 37(2)na 39(1)(d)
Mtu akiwa kichaa anakosa sifa ya kuwa Rais wa JMT
Nawasihi mawaziri watekeleze wajibu wao kisheria kupeleka hoja kwa jaji mkuu ili kumwondoa/kumpumzisha mgonjwa.

Tusimbeze Mheshimiwa, huenda alienda kupima mahali akaambiwa tatizo lake.
Who knows?!
 
Mkuu JMushi1, umeandika kwa mantiki iliyotulia vyema. Lakini usihau kuwa huyu Rais ni zao la jamii ya Watanzania. (Jiulize kwanza sisi Watanzania ni watu wa aina gani kutoa Rais wa aina hii?) Dhana ya kutokuwepo mtu aliye juu ya sheria inabakia kuwa dhana tu hapa nchini. Bila shaka unafahamu kuwa tangu uhuru Rais wa Tanzania amekuwa juu ya sheria - awamu zote. Watanzania kwa ujumla wetu tumeruhusu hali hiyo kuwepo huku tukishabikia watu (individual presidents) na kuwalinganisha kama vile tunatarajia miujiza ya kiuongozi toka kwao badala ya kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia miongozo thabiti ya kikatiba.

Muasisi mwenyewe alitahadharisha kuwa katiba “aliyotutengenezea” inamwezesha kuwa dikteta mbaya sana. Au anaweza kutokea dikteta mbaya zaidi kwa katiba hiyo. Ajabu ni kuwa hakuwa na utashi wa kutaka kuirekebisha. Tatizo kubwa zaidi ni mtindo wa uongozi aliouasisi wa raisi asiyehojiwa. Sasa kaingia “kichaa”. Na yeye (huyo kichaa) anautumia mfumo Huo kikamilifu. Tena yeye na chama chake hawana mpango wa kurekebisha urithi maridhawa walioachiwa na muasisi. Kazi kwetu!
 
Mkuu JMushi1, umeandika kwa mantiki iliyotulia vyema. Lakini usihau kuwa huyu Rais ni zao la jamii ya Watanzania. (Jiulize kwanza sisi Watanzania ni watu wa aina gani kutoa Rais wa aina hii?) Dhana ya kutokuwepo mtu aliye juu ya sheria inabakia kuwa dhana tu hapa nchini. Bila shaka unafahamu kuwa tangu uhuru Rais wa Tanzania amekuwa juu ya sheria - awamu zote. Watanzania kwa ujumla wetu tumeruhusu hali hiyo kuwepo huku tukishabikia watu (individual presidents) na kuwalinganisha kama vile tunatarajia miujiza ya kiuongozi toka kwao badala ya kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia miongozo thabiti ya kikatiba.

Muasisi mwenyewe alitahadharisha kuwa katiba “aliyotutengenezea” inamwezesha kuwa dikteta mbaya sana. Au anaweza kutokea dikteta mbaya zaidi kwa katiba hiyo. Ajabu ni kuwa hakuwa na utashi wa kutaka kuirekebisha. Tatizo kubwa zaidi ni mtindo wa uongozi aliouasisi wa raisi asiyehojiwa. Sasa kaingia “kichaa”. Na yeye (huyo kichaa) anautumia mfumo Huo kikamilifu. Tena yeye na chama chake hawana mpango wa kurekebisha urithi maridhawa walioachiwa na muasisi. Kazi kwetu!
Well said mkuu Drifter . Kwanza nashukuru sana kwa nasaa zako. Nakumbuka wewe ni mmojawapo wa members ninaoheshimu nondo zao. Umepotea sana mkuu.

Umesema vyema kabisa mkuu. Mambo kama haya yanakasirisha sana. Kwasababu unaona kabosa viongozi pengne kwasababu ya ubinafsi wao, wako radhi taifa liendelee kudidimia. Na kama ulivyosema, muasisi aliona huo udhaifu, na alisema wazi. Sijuikwanini hakutaka kusimamia hilo? Kwasababu kiukweli katiba hata hii ilikuwa ya kikoloni. Haikuwa kwa manufaa ya Tanganyika na watanganyika, bali Malikia kwa kupitia Gavana ambaye ndo alikuwa na mamlaka kama ambayo rais anayo. Mamlaka yote yaliyokuwa chini ya Gavana na yale ya Waziri Mkuu yaliunganishwa na kuwa chini ya Rais wa Jamhuri.

Na yote haya ccm wanayafurahia kwasababu yanawafanya wao kuwa kama wakoloni sasa na jiwe kama Gavana.

Baada ya uhuru, kulikuwepo na justifications, lakini kwasasa hazina mantiki...Sababu mainly zilikuwa mbili, kwanza, kujenga umoja wa kitaifa, na pili, kuleta maendeleo ili kuboresha hali ya maisha ya wananchi ambayo ilikuwa chini. Hayo yalifanyika kutokana na changamoto za wakati huo.

Kwamfano, katiba ya Marekani inatamka kuwa Rais, Makamu wa Rais, na “Maafisa wote wa umma wa Marekani” wanaweza kuondolewa madarakani na Bunge wakipatikana na hatia kwa makosa ya rushwa, uhaini au uhalifu mwingine mkubwa. Bunge limepewa mamlaka ya kumshtaki na kumuondoa Rais madarakani.

Lakini pia, kwa upande wetu, uwezo wa Bunge kudhibiti madaraka ya Rais na kuleta uwajibikaji unaathiriwa na mambo kadhaa wa kadha ambayo ni lazima yatizamwe kwenye katiba mpya.

mfumo wa kuteua Mawaziri na Manaibu wao kutoka miongoni mwa Wabunge na uwepo wa Wabunge mpaka 10 wanaoteuliwa na Rais kunaongeza ushawishi wa Rais katika utendaji wa Bunge na hivyo kuathiri uwezo wake wa kuisimamia na kuiwajibisha serikali pale inapobidi na kama inavyohitajika ili kuweka balance kati ya mihimili.

Rais pia anaweza kuteua wakuu wa mikoa na wilaya kutoka miongoni mwa wabunge. Bunge linaweza kushindwa kumdhibiti Rais na Serikali yake kwa kuwa Serikali yake ni Wabunge wenzao, tumeshuhudia jinsi lilivyo bunge la kupiga meza tu na rubber stamp. Hata majuzi rais alisema kuwa gesi imechukuliwa na mabepari, na wakati mkataba walisaini wao kwa sharia ya dharura waliyopitisha bila hata ya kuipitia. Waliopinga waliitwa wasaliti wa Taifa.

Pia, Wabunge wanaweza kushindwa kufanya kazi ya kuisimamia Serikali kwa matazamio ya kuteuliwa kuwa Mawaziri. Wabunge ambao ni Mawaziri, ambao wanaweza kuwa wengi kwa kuwa Katiba haijaweka ukomo wa idadi, wanamaslahi kuhakikisha kumlinda Rais na Serikali ambao wao ni sehemu.

Zaidi ya hayo, uteuzi wa Mawaziri miongoni mwa Wabunge unafanya Bunge kuwa sehemu ya Serikali na hivyo kushindwa kufanya kazi ya kuisimamia Serikali ipasavyo.

Kwa wenzetu, Ili kuleta uwajibikaji kati ya Bunge na Rais, mfano katiba ya Marekani inazuia Mawaziri kuwa Wabunge na hivyo kuwa na utofauti kati ya Bunge na Serikali. Hakuna Mbunge yeyote anaruhusiwa kuteuliwa Serikalini ila mpaka ajiuzulu nafasi yake. Rais wa Marekani hana mamlaka ya kulivunja Bunge. Mfumo huu, unasaidia kila upande kuweza kufanya kazi zake kwa madhubuti katika kusimamiana na kuwajibishana.

Pia vilevile Rais ana madaraka ya kupanga na kuamua mishahara na posho za Wabunge, hivyo kuwa na uwezo wa kutumia fursa hiyo kama njia ya kushawishi utendaji wa Bunge.

Rais anaweza kulivunja Bunge kama ilivoainishwa kwenye ibara ya 90(2)(a); (a) Bunge likikataa kupitisha Bajeti iliyopendekezwa na Serikali; (b) Likikataa kupitisha Muswada wa sheria ambao Rais anautaka au Bunge likisisitiza kupitisha muswada ambao Rais hautaki.

Kama ulivyosema mkuu, uko sahihi kabisa kuwa wananchi hawafahamu umuhimu wa katiba, wala hawafahamu inasemaje kuhusu mustakabali wao na ule wa taifa kwa ujumla. Lakini pia ni lazima tudai katiba mpya ambayo haina makandokando kama haya ambapo nchi ibado inaendeshwa kama vile iko chini ya mkoloni! Kitu kilitufanya tukasahau sana ni issue ya uhuru, na kwamba tulikuwa na Imani na kiongozi wa nchi kuwa ana nia njema na taifa! Lakini pia hiyo ni loophole ambayo inaweza kutumiwa na maadui wa taifa. Mfano hii situation tuliyonayo sasa ambapo tumeshaanza kuwa maadui sisi kwa sisi.
 
Naitafakari sana katiba ya JMT, 1977.
Ibara ya 37(2)na 39(1)(d)
Mtu akiwa kichaa anakosa sifa ya kuwa Rais wa JMT
Nawasihi mawaziri watekeleze wajibu wao kisheria kupeleka hoja kwa jaji mkuu ili kumwondoa/kumpumzisha mgonjwa.

Tusimbeze Mheshimiwa, huenda alienda kupima mahali akaambiwa tatizo lake.
Who knows?!
Mkuu, katiba ya nchi imeweka wazi kabisa kuwa mtu mwenye matatizo ya akili anaweza kuondolewa kwenye kiti cha urais. Hizo taratibu zipo.
 
Jamaa he is literary confused nimecheka siku hizi anabatalion ya kumlinda sijui atafivha wapi uso wake watakapomgeuzia kibao
 
Namlaani Magufulihadi kufa kwangu ameshusha hadhi ya nchi kwa kiwango cha we dont have a voice we dont command political lead in the region kweli naanini kichaa haswa
 
Back
Top Bottom