Naam, huu ndo ukweli..ukiwakutanisha ktk majukwaa ya siasa sioni kama kuna anayemzidi mwenzake.
..kuna kipindi ilikuwa unaona ccm wamewazidi wenzao kwa hoja za kisomi na zenye upeo. sasa hivi ile GAP haiko tena.
..kilichobadilika sasa ni CCM kutumia vyombo vya DOLA. Wenzao wakiwa challenge kwa hoja za kisiasa CCM wanatumia vyombo vya dola kuwadhibiti.
..CCM iko juu ya sheria.