kama chadema ni mbaya kwanini waliyowahi kuktumikia chama hicho wanapata uteuzi????
Unashanga Mbowe kushindwa kuongoza chama ila hushangai Magufuli kushindwa kuongoza nchi?....Test how stupid are you.Karibuni kwenye mjadala makamanda. Povu rukhsa.
IqIQ kubwa zipo chademakama chadema ni mbaya kwanini waliyowahi kuktumikia chama hicho wanapata uteuzi????
Hakuna haja ya kumwaga damu, hilo sio shauri zuri, Chadema wawe na viongozi amabao biashara yao kubwa ni ujenzi wa chama na siasa. Hawaogopi TRA wala kutolewa kwenye majumba.
Unashanga Mbowe kushindwa kuongoza chama ila hushangai Magufuli kushindwa kuongoza nchi?....Test how stupid are you.
King Kong III huko umbali na ukweli. Najua sana concern yako ambayo nadhani ina ukweli. Ila mimi ningekuwa Mbowe siyo kujiuzulu tu, ila ningewahamasisha wapinzani wenzangu wote tufute vyama vyetu na tujiuzu siasa. Kwanini? Hatua kama hii haitakuwa na outcome nzuri kwa CCM kama wengi wanavyofikiri.Kila chama na sera zake mkuu ndio maana hata ccm wameweka raisi ndio mwenyekiti by default hakuna mwingine atakayethubutu kuomba uenyekiti,ikifika kipindi muhafaka watagombea wengine ngoja atengeneze makamanda kwanza,si unaona mamluki kibao asije mkabidhi chama puppet akaikuiza na kukiua kwa njaa.
Hivi huyo Mbowe ni mwenyekiti wa maisha huko CHADEMA ?
Kwangu mimi binafsi sioni hata mmoja mwenye hivyo vigezo. Naona wengi ni vijana wajanja waliomsoma na kumjua vizuri sana Magufuli. i.e. wanajua wafanye usanii gani unaomvutia ili awape vyeo.katika wakuu walioteuliwa ni wote wana hivyo vigezo?
Watz waache unafiki? Kabla hujatutusi watz wote unapaswa tambua hatufanani kimawazo, fikra, maamuzi etc.
Sasa baki hapo ukiwaza ulitakalo lifanywe na watu wote.
Akili fupi hizi ndio hunifanya niwachukie sana wapinzani wa bongo.
Soma historia Uhuru w Tanzania ama nchi ambazo hazikumwaga damu , walipataje uhuru, n walifanya harakati vipi.Utajengaje chama katika Mazingira Haya ya sasa ambayo hata mikutano ya ndani imepigwa marufuku?
Uhuru wa kukusanyika na kutoa maoni umezuiwa, vyombo vya Habari vimepigwa marufuku kuripoti Habari za vyama vya upinzani.
Katika Mazingira Kama hayo njia Pekee iliyosalia ni ya kutumia mabavu tu.
kama hujasema ni mbaya kwanini unaiombea ife??????Nani kasema CHADEMA ni mbaya?
kama hujasema ni mbaya kwanini unaiombea ife??????
kani ndo uliyeandika huu uzi au umekopi some where maana ulianza kwa kimombo au nikujibu kwa kimombo ndo utaelewaaWapi nimeiombea ife?