A Call For A Palace Coup: CHADEMA

A Call For A Palace Coup: CHADEMA

Matumbo yanatutesa sana hapa duniani, na tukifa ndio ya kwanza kuoza, Lakini tutafika tu iwe kwa Panga ama kwa shoka.
Tunahitaji sacrifice kuweza kufika. We can not depend on these mere politicos to take us anywhere. We need people who are ready to die for the mass. Until then lets just stay put
 
Last edited:
Ok, nimekuelewa, umetumia lugha hiyo ili kwamba Wanachama tulio wengi tusielewe tukaumia roho?
 
Nyani Ngabu

Bila shaka unafahamu karibu viongozi wote wa juu wa CDM wana kesi inawakabili mahakamani ikihusishwa na mauaji ya binti yulee.

Ukishajua kinachotafutwa hapo mengine huitaji kusimuliwa.
Hii kesi imekaa vibaya sana sana walahi!
 
Ok, nimekuelewa, umetumia lugha hiyo ili kwamba Wanachama tulio wengi tusielewe tukaumia roho?

Hahaaaa yeah!

Poleni makamanda.

But seriously, CHADEMA needs change.
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpatieni tu, CDM bila huyu Mbowe ingekua imekufa toka zamani.

Pamoja na madhaifu yake meengi lakini amegoma kununuliwa na upande wa pili.
I salute him
Nataka nikuambie Mbowe ameifikisha chadema sehemu nzuri tu toka kusikojulikana, lakini alikuwa amezungukwa na watu ambao alishauriana nao vema.

Sasa hao watu wengi wao hasa wale muhimu hawapo. Sasa amezungukwa na watu ambao hawamkosoi wanamsifia tu.
Watu wake wa sasa anaweza kuwaambia chochote wasihoji au kumkosoa.

Kwenye chama chako unahitaji watu kama akina Nape, Bashe, Zitto Kabwe, Hayati Chacha Wangwe, hata Kafulila(japo ahuyu ana mapungufu yake) ambao wanaweza kuhoji maamuzi au muenendo wa viongozi wao.

Mbowe anahitaji watu ambao anawaheshimu sana kiasi cha kusita kufanya uhamuzi flani kwa kuhofia atapingana nao, hawa ni kama akina Dr. Slaa.
 
Tulipo sasa ni matokeo ya watanzania na wala hatupaswi kumlaumu MBOWE wala MREMA.... Inaumiza sana kuona kijana pasi kuangalia madhara ya hiki kinachoendelea akishangalia kwa furaha eti HONGERA CCM au POLENI CHADEMA... Kuna siku mtoto wako atakuuliza baba/mama hivi mlikua mnafanya nn karne ya 21 kuendeshwa hivo hamkujua??? sijui tutajibu nn!!!.... By the way nakupenda Tanzana tusamehe mama etu tanzania mana ni sisi watoto wako tunakuangalia ukimeguka kwa kasi kidemokrasia.
 
..ccm wakitukana wanaachwa.

..cdm wakitukana wanakamatwa.

..vyama hivi viachwe vipambane kwa hoja na polisi na dola wasiingilie humo.

..wewe umeona demokrasia gani iliyostaarabika maandamano ya kiongozi mkuu wa upinzani yakasambaratishwa kwa risasi za moto kama inavyotokea hapa Tz?

..mpaka ifikie kiongozi wa upinzani analazimika kuandamana kwa kudai haki zake serkalini na kwa chama tawala ujue kuna tatizo kubwa sana la kiuelewa na kimtizamo kwa hao anaowalalamikia.

..Wabunge wa upinzani wanafungwa kwa kesi za kisiasa. Hivi kwenye nchi za wenzetu waliostaarabika Peter Lijualikali angefungwa na kutumikishwa kwa kazi ngumu?

..Hoja yangu ni DOLA needs to change kulingana na mazingira mapya ya mfumo wa vyama vingi.

..Tutendeane HAKI. Is that too much to ask?

NB.

..Majaji Wakuu Wastaafu wanasema mbele ya Raisi HAKI ITENDEKE. Unadhani yale ni mambo wanazusha tu? Raisi gani mwingine wa Tz umewahi kusikia anaambiwa atende HAKI?

Cc Richard

Afrika ndivyo tulivyo mkuu hio ndio "style" ya uongozi na siasa za Afrika ambazo mpaka leo zinamchanganya mtu asie mwafrika.

Kama wafahamu, Jumatatu kuna uchaguzi huko Zimbabwe, Emerson Mnangagwa wa ZANU -PF na Nelson Chamisa wa MDC tayari leo wamemaliza kampeni za uchaguzi.

Huu utakuwa uchaguzi wa kwanza wa maana tangia mwaka 2000 na Mnangagwa mwenye umri wa miaka 75 anapambana na Chamisa mwenye umri wa miaka 40.

Mnangagwa anawakilisha wazee wote wenye umri zaidi ya miaka 40, wakti Chamisa anawakilisha vijana wote kuanzia miaka 40 kwenda chini.

Pia Mnangagwa ana anatumia rasilimali za nchi kama vile magari ya kufanyia kampeni, mabango makubwa ambayo yanaonyesha sura yake kila kona nchini humo na hata muda wa kutosha kwenye runinga za nchi hiyo.

We fikiria wabunge wote 300 wa ZANU-PF wamepewa magari wazunguke nayo kufanya kampeni unadhani fedha yote hiyo ingekuwepo kama ZANU -PF wangekuwa ndiyo wapinzani?

Nelson Chamisa yeye anachagua wapi pa kufanyia kampeni na sanasana anazunguka Harare na vitongoji vyake na siyo nchi nzima.

Nimetoa mfano huo wa Zimbabwe kutaka kuonyesha jinsi vyama vya upinzani au chama kikuu cha upinzani kisivyoweza kubuni njia mbadala za kupata nafasi ya kuwa na wabunge wengi bungeni kuwazidi wale wa chama tawala.

Hiyo ndiyo silaha ya upinzani, kufanya kampeni kuhakikisha wanapata wabunge wengi ambao wataweza kuwadhibiti9 wale wabunge wa chama tawala.

Lakini hii si kazi rahisi inahitaji muda, fedha (za kwenu na si za ruzuku) rasilimali watu wenye maoni na mawazo chanya yasiyo na taama ya uongozi na uelevu.

Kushindwa huko kupata aina hii ya upinzani ndiko kunaleta kelele zote hizo za kwamba wapinzani wanaonewa na kadhalika.

Lakini pia kiongozi wa upinzani anapoona mambo si mazuri anakaa pembeni kupisha mawazo mbadala ili kukinusuru chama.

Pengine kiongozi mpya atakuja na mbinu mbadala za kukabiliana na chama tawala.
 
Last edited:
Wote wanaotoa mahubiri ya kwamba yote yanayotendeka kipindi hiki ktk kudhoofisha upinzani eti ni kwa sababu ya uongozi mbaya wa CDM, ninawaomba muachane nao, wapuuzieni maana hao ni mamluki wa hatari wa CCM! Alaaniwe yeyote mwenye nia chafu ya kutuhujumu sisi wananchi tukose amani, uhuru, haki na maendeleo kwa kuudhoofisha UPINZANI ndani ya Nchi Yetu!
 
All is not well within CHADEMA.

There is a crisis. A major one, at that. It's a leadership crisis.

This crisis, in my opinion, has reached critical mass and something/ someone's gotta give before it's way too late.

A fish rots from the head down. Now it's time for CHADEMA to cut the head off in order to salvage whatever is left of it.

So I'm calling on the rank-and-file members of the party, if they care enough about the future of their party, to depose its leadership in a palace coup.

They can go about it nonviolently through methods like civil disobedience and the like.

Mbowe must go. It's been long overdue. Under him, the party has plateaued. Some might even say it's getting weaker and weaker by the day.

The party badly needs some new blood with new ideas and ways of doing things.

But that begins with getting rid of its longtime chairman, one Freeman Mbowe.

Make CHADEMA great again!
Sijaelewa chochote lughau ina nipa taabu ngoja ni kupe like raisi wa wabeba box hujawahi kuniangusha
 
Watu wanatumia ngumu kubwa Sana kumtetea Mbowe. Ni wazi kwamba Mbowe amefikia ukomo wake wa weledi katika uongozi. Mbowe amechokwa, Mbowe amepoteza ushawishi. Binafsi natamani kosa la Mbowe kubwa ni Kondoa voiongozi mahiri wa kujenga hoja kama akina Kafulila,Slaa,Zitto nk. Mbona zake zina ukomo. Watu wanamchoka Mbowe na Kuichoka Chadema kwa Taswira ya Mbowe. CDM haina Taswira ya kuongoza dola. Kwa Mbowe ni Bora Chama kife kuliko kuachia Saccos
 
Acheni kuwadanganya chadema. Mwenye tatizo ni ccm. Hakuna kiongozi yeyote atakayeweza kuongoza upinzani wowote kuliko Mbowe na ccm wanajua ndiyo maana kila siku ni kuiba mbowe mbowe mbowe!
Mbowe akiondoka wataacha kutumia policcmna NEC? Kushinda uchaguzi.
Unadhani Mbowe anapenda kufa? Mateso yote na dhuluma alizofanyiwa bado amesimama wima wakati wenzake wamenunuliwa! Ama kwa kuwa amakuwa Nyerere ambaye hanunuliwi kama propesa?
Leave him alone please!
 
Back
Top Bottom