Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,080
- 136,550
- Thread starter
- #41
Hivi huko wanakokimbilia huwa pako salama ??? Hakuna matatizo ?
Wanajua wao.
Ila ni wazi huko wanakotoka hali si shwari!
Hivi huko wanakokimbilia huwa pako salama ??? Hakuna matatizo ?
You meant ‘prostitution’, maybe?
Hapa mkuu kwa kweli sina haja ya kutoa povu umenena ukweli
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpatieni tu, CDM bila huyu Mbowe ingekua imekufa toka zamani.Pamoja na yote hayo, mabadiliko ya kiuongozi yanahitajika sana tu.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpatieni tu, CDM bila huyu Mbowe ingekua imekufa toka zamani.
Pamoja na madhaifu yake meengi lakini amegoma kununuliwa na upande wa pili.
I salute him
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpatieni tu, CDM bila huyu Mbowe ingekua imekufa toka zamani.
Pamoja na madhaifu yake meengi lakini amegoma kununuliwa na upande wa pili.
I salute him
Lugha uliyotumia ni lugha gani , mbona nàona nyota nyingi tuKaribuni kwenye mjadala makamanda. Povu rukhsa.
Nakubaliana sana na maneno yako mkuu, lakini pia kumbuka kwa kuendelea kubaki kuwa mpinzani kwake ina maslahi zaidi. Ni kweli amekitoa chama mvali lakini pia angalia upande wa pili.
Nyerere mwenyewe aling'atuka licha ya kuitoa nchi mbali, nafikiri wakati pia mwenyekiti kujitafakari kulinda heshima iliyobaki.
Shukran
Childish.There's bigger monster known to you who must first be killed.Soon will be dead.All is not well within CHADEMA.
There is a crisis. A major one, at that. It's a leadership crisis.
This crisis, in my opinion, has reached critical mass and something/ someone's gotta give before it's way too late.
A fish rots from the head down. Now it's time for CHADEMA to cut the head off in order to salvage whatever is left of it.
So I'm calling on the rank-and-file members of the party, if they care enough about the future of their party, to depose its leadership in a palace coup.
They can go about it nonviolently through methods like civil disobedience and the like.
Mbowe must go. It's been long overdue. Under him, the party has plateaued. Some might even say it's getting weaker and weaker by the day.
The party badly needs some new blood with new ideas and ways of doing things.
But that begins with getting rid of the longtime chairman, one Freeman Mbowe.
...acheni huu UjingaIn fact, the party is facing a lot of challenges ahead of 2020 elections. It is high time to change the leadership before things become too worse
Childish.There's bigger monster known to you who must first be killed.Soon will be dead.
Doing the same thing over and over and expecting different results....
CHADEMA badly needs some new blood at top.
When was he elected?
CHADEMA needs to have term limits for its leadership positions.
NN hakuna Crisis yeyote zaidi ya CCM kuwarubuni wabunge/madiwani kwa vipande vya fedha na vyeo.Karibuni kwenye mjadala makamanda. Povu rukhsa.
NN hakuna Crisis yeyote zaidi ya CCM kuwarubuni wabunge/madiwani kwa vipande vya fedha na vyeo.
Mbowe ndie tatizo Chadema ,kawa kama Mugabe,inabidi aambiwe kaka sasa basi na Chadema sio SACCOS ya ukoo wa akina Mbowe na MteiUnakubali hoja ya kubadilisha uongozi eeh?
Safi sana.
Ushahidi ambao upo dhahiri ni kwamba wote wanaohamia ccm baada ya mda wanapewa vyeo au wanarudishwa kwa nafasi zilezile walizokuwa upinzani(udiwani,ubunge etc).Ushahidi kuwa CCM wanawanunua hao watu Uko wapi?