Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,530
- 81,257
Haha.. Pure IronyThey are building the Nation Chief......... Ironically.
Haha.. Pure IronyThey are building the Nation Chief......... Ironically.
Kuna ushahidi gani viongozi wa sasa wanauwawa na washindani wao nje ya chama chao?..hebu tueleze viongozi au wanaharakati wangapi wa Tanu waliuawa?
..au viongozi wangapi wa Tanu walishtakiwa mahakamani tulinganishe idadi na kesi za viongozi wa chadema mahakamani.
Anahitaji kuwa na sifa za uongozi:Ili mtu awe mkuu wa wilaya anahitaji kuwa na vigezo gani?
Definitely, he won't.The man has opted to die with his properties, he won't write any will and he is consuming all by himself
Iwavyo vyovyote. Lakini chama kinatakiwa kifanyiwe major overhaul. Kwa mfano mwenyekiti ameshaongoza muda wa kutosha. Haijalishi alifanya/anafanya vizuri sana au vibaya lakini ni busara akapisha mawazo mapya.NN hakuna Crisis yeyote zaidi ya CCM kuwarubuni wabunge/madiwani kwa vipande vya fedha na vyeo.
Hebu jielekeze kwenye hoja ambayo inamtaka mbowe ajiuzulu kupisha damu mpya
Hivi vilio sijui dola ni kuficha tu hoja za kubadili uongozi
Ni mwaka gani ambao kulikua hakuna vyombo vya dola
Matumbo yanatutesa sana hapa duniani, na tukifa ndio ya kwanza kuoza, Lakini tutafika tu iwe kwa Panga ama kwa shoka.Haha.. Pure Irony
..ccm wakitukana wanaachwa.
..cdm wakitukana wanakamatwa.
..vyama hivi viachwe vipambane kwa hoja na polisi na dola wasiingilie humo.
..wewe umeona demokrasia gani iliyostaarabika maandamano ya kiongozi mkuu wa upinzani yakasambaratishwa kwa risasi za moto kama inavyotokea hapa Tz?
..mpaka ifikie kiongozi wa upinzani analazimika kuandamana kwa kudai haki zake serekalini na kwa chama tawala ujue kuna tatizo kubwa sana la kiuelewa na kimtizamo kwa hao anaowalalamikia.
..Wabunge wa upinzani wanafungwa kwa kesi za kisiasa. Hivi kwenye nchi za wenzetu waliostaarabika Peter Lijualikali angefungwa na kutumikishwa kwa kazi ngumu?
..Hoja yangu ni DOLA needs to change kulingana na mazingira mapya ya mfumo wa vyama vingi.
..Tutendeane HAKI. Is that too much to ask?
NB.
..Majaji Wakuu Wastaafu wanasema mbele ya Raisi HAKI ITENDEKE. Unadhani yale ni mambo wanazusha tu? Raisi gani mwingine wa Tz umewahi kusikia anaambiwa atende HAKI?
Cc Richard
Lame excuses!Nyani Ngabu
Bila shaka unafahamu karibu viongozi wote wa juu wa CDM wana kesi inawakabili mahakamani ikihusishwa na mauaji ya binti yulee.
Ukishajua kinachotafutwa hapo mengine huitaji kusimuliwa.
Kila chama na sera zake mkuu ndio maana hata ccm wameweka raisi ndio mwenyekiti by default hakuna mwingine atakayethubutu kuomba uenyekiti,ikifika kipindi muhafaka watagombea wengine ngoja atengeneze makamanda kwanza,si unaona mamluki kibao asije mkabidhi chama puppet akaikuiza na kukiua kwa njaa.Iwavyo vyovyote. Lakini chama kinatakiwa kifanyiwe major overhaul. Kwa mfano mwenyekiti ameshaongoza muda wa kutosha. Haijalishi alifanya/anafanya vizuri sana au vibaya lakini ni busara akapisha mawazo mapya.
Kuna ushahidi gani viongozi wa sasa wanauwawa na washindani wao nje ya chama chao?
Weka ushahidi sio hisia na fununu za mitaani.
If I have to die,let it be.Am not omnipotent and everlasting as some of you pretend to be.Dead? Just make sure it’s not you.
Bado tungalipo na kumbukumbu mbaya ya picha za wana CHADEMA wakiririka damu baada ya kupigwa kipigo na vyombo vya dola kule Arusha..wewe umeona demokrasia gani iliyostaarabika maandamano ya kiongozi mkuu wa upinzani yakasambaratishwa kwa risasi za moto kama inavyotokea hapa Tz?
If I have to die,let it be.Am not omnipotent and everlasting as some of you pretend to be.