Japokuwa mie sio mwanachama ama mshabiki wa Chadema, lakini ni mtanzania ninae amini TZ haitaendelea kama haina upinzani imara na bora.
Naunga mkono uzi huu, kwa sababu naipenda Tanzanian zaidi ya chama ama kiongozi yoyote. Chadema ni lazima kihamishiwe Taifa ma kiondolewe mkoani .
Chadema kina vijana wengi makini na wenye uwezo wa kukijenga chama bila Jazba, na tafadhali wanaCHADEMA JIEPUSHENI na mapenzi ya mtu mmoja kwa sababu ya jazba au ujasiri usio tumia akili.
Tena mumpate Kiongozi asiye na Biashara yake binafsi, kwani huyo atakuwa anaangalia maslahi yake kama mbowe
Naunga mkono uzi huu, kwa sababu naipenda Tanzanian zaidi ya chama ama kiongozi yoyote. Chadema ni lazima kihamishiwe Taifa ma kiondolewe mkoani .
Chadema kina vijana wengi makini na wenye uwezo wa kukijenga chama bila Jazba, na tafadhali wanaCHADEMA JIEPUSHENI na mapenzi ya mtu mmoja kwa sababu ya jazba au ujasiri usio tumia akili.
Tena mumpate Kiongozi asiye na Biashara yake binafsi, kwani huyo atakuwa anaangalia maslahi yake kama mbowe