A Call For A Palace Coup: CHADEMA

A Call For A Palace Coup: CHADEMA

Japokuwa mie sio mwanachama ama mshabiki wa Chadema, lakini ni mtanzania ninae amini TZ haitaendelea kama haina upinzani imara na bora.

Naunga mkono uzi huu, kwa sababu naipenda Tanzanian zaidi ya chama ama kiongozi yoyote. Chadema ni lazima kihamishiwe Taifa ma kiondolewe mkoani .

Chadema kina vijana wengi makini na wenye uwezo wa kukijenga chama bila Jazba, na tafadhali wanaCHADEMA JIEPUSHENI na mapenzi ya mtu mmoja kwa sababu ya jazba au ujasiri usio tumia akili.

Tena mumpate Kiongozi asiye na Biashara yake binafsi, kwani huyo atakuwa anaangalia maslahi yake kama mbowe
 
Acheni kuwadanganya chadema. Mwenye tatizo ni ccm. Hakuna kiongozi yeyote atakayeweza kuongoza upinzani wowote kuliko Mbowe na ccm wanajua ndiyo maana kila siku ni kuiba mbowe mbowe mbowe!
Mbowe akiondoka wataacha kutumia policcmna NEC? Kushinda uchaguzi.
Unadhani Mbowe anapenda kufa? Mateso yote na dhuluma alizofanyiwa bado amesimama wima wakati wenzake wamenunuliwa! Ama kwa kuwa amakuwa Nyerere ambaye hanunuliwi kama propesa?
Leave him alone please!

Hahaaaaa!

Are you him?
 
Hawa wanaoandika hapa wa kutaka Mbowe aondoke ni ccm.
Badala kuongelea kunajisuwa kwa demicrasia nyie mnajifanya chadema eti akipatikana mwingine chadema itakuwa na nguvu! Nani kasema? Ni mtanzania gani kuliko Lissu ambaye ana nguvu zaidi kuliko Lissu ambaye alipigwa risasi 38! Huyo mnayedhani kuwa ana uwezo wa kupambana na jiwe ambaye hafuati sheria?
Please talk about rule of law and leave Chadema and Mbowe alone!!!!!
 
Bado tungalipo na kumbukumbu mbaya ya picha za wana CHADEMA wakiririka damu baada ya kupigwa kipigo na vyombo vya dola kule Arusha.
Bado taswira ya mke wa Dr. Slaa aitirika damu usoni ipo.
Lakini CHADEMA ilizidi kupata nguvu na kuojiongezea wafuasi na sio kukimbiwa na wabunge na madiwani wake.
Ipo wapi ile hali ya mshikamano na umoja kiasi cha diwani kadhaa wa Arusha kukubali kususia vikao na mengineyo kwa jaili ya chama pale ilipotokea uhuni wa uchaguzi wa meya?
Unafikiri ile nguvu imepoteaje na ilipatikanaje?

Something wrong some where inside the party.

..sasa hivi hali imekuwa mbaya zaidi.

..viongozi na makada wena utitiri wa kesi mahakamani.

..wabunge wawili Lijualikali na Sugu walishafungwa jela.

..Lema alikaa mahabusu miezi 4++. Na ilikuja kuamuliwa na mahakama ya rufaa kuwa alikaa huko kimakosa.

..waliomdhulumu haki zake hawajachukuliwa hatua.

..mikutano ya hadhara imepigwa marufuku kinyume na sheria.

..mazingira haya siyo rafiki kufanya siasa. Hao mnaotaka wakipiganie chama wana familia and they want to live peacefully kama wengine.

..hoja yangu ni kwa chama tawala kijitathmini kama haya wanayowatendea wapinzani, wangependa na wao watendewe?

..kwanini siasa zetu ni za hila namna hii? Lini tutastaarabika?
 
..I think Mbowe should announce that he will no seek re election as party chairman.

..The party needs ppl who are more inspiring and dynamic at the top positions than who are currently there.
Poleni, keep your devilish advice to your party. Mbowe is here to stay. If there is anyone to quit is your Jiwe who overelies on dirty tricks in poliițics.
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpatieni tu, CDM bila huyu Mbowe ingekua imekufa toka zamani.

Pamoja na madhaifu yake meengi lakini amegoma kununuliwa na upande wa pili.
I salute him
Mbowe chama kimemshinda....akae pembeni, hakuna kitu kinachodumu milele...hata Nyerere alipoona mambo magumu alikaa pembeni
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpatieni tu, CDM bila huyu Mbowe ingekua imekufa toka zamani.

Pamoja na madhaifu yake meengi lakini amegoma kununuliwa na upande wa pili.
I salute him
Mbowe chama kimemshinda....akae pembeni, hakuna kitu kinachodumu milele...hata Nyerere alipoona mambo magumu alikaa pembeni
 
Japokuwa mie sio mwanachama ama mshabiki wa Chadema, lakini ni mtanzania ninae amini TZ haitaendelea kama haina upinzani imara na bora.

Naunga mkono uzi huu, kwa sababu naipenda Tanzanian zaidi ya chama ama kiongozi yoyote. Chadema ni lazima kihamishiwe Taifa ma kiondolewe mkoani .

Chadema kina vijana wengi makini na wenye uwezo wa kukijenga chama bila Jazba, na tafadhali wanaCHADEMA JIEPUSHENI na mapenzi ya mtu mmoja kwa sababu ya jazba au ujasiri usio tumia akili.

Tena mumpate Kiongozi asiye na Biashara yake binafsi, kwani huyo atakuwa anaangalia maslahi yake kama mbowe
Para ya mwisho yafanya uwe kichekesho zaidi.
 
Kama kwel tatzo ni MBOWE Kwann msiiache chadema ijifie Tu yenyewe???? M nahis kuna kitu kinatengenezwa dhidi ya MBOWE nahisi MBOWE ni kikwazo kikubwa Sana kwao Hadi wanashindwa kufanikisha kuivuruga CHADEMA.....

HUU NI MUDA SAHIHI WA MBOWE KUENDELEA KUONGOZA KULIKO WAKATI MWINGINE WOWOTE ULE AISEE......
sasa Mbowe anaongoza nini wakati kila sku wanachadema wanaondoka /
 
All is not well within CHADEMA.

There is a crisis. A major one, at that. It's a leadership crisis.

This crisis, in my opinion, has reached critical mass and something/ someone's gotta give before it's way too late.

A fish rots from the head down. Now it's time for CHADEMA to cut the head off in order to salvage whatever is left of it.

So I'm calling on the rank-and-file members of the party, if they care enough about the future of their party, to depose its leadership in a palace coup.

They can go about it nonviolently through methods like civil disobedience and the like.

Mbowe must go. It's been long overdue. Under him, the party has plateaued. Some might even say it's getting weaker and weaker by the day.

The party badly needs some new blood with new ideas and ways of doing things.

But that begins with getting rid of its longtime chairman, one Freeman Mbowe.

Make CHADEMA great again!
Nyani Nyani, pole, hicho chama kilishauzwa na kikafa. Pole sana Nyani.
 
Wagawe uwatawale akili mu kichwa. Ni jana tu niliuliza Upinzani unasimamia nini, walengwa wake wanafahamu?
 
Most of our leaders are unloyal/non patriotic gold diggers. Those who have genuine intent to serve the mass and drive economic prosperity forward and promote the social and economic status of the majority are always seen as betrayers.

I do not see Tanzania going anywhere with these kind of hypocrite leaders, both the ruling and the opposition. All they care about is their fatty malnutritioned bellies, mofos.

word
 
Kuna ushahidi gani viongozi wa sasa wanauwawa na washindani wao nje ya chama chao?
Weka ushahidi sio hisia na fununu za mitaani.

Vyombo vinavyopaswa kuweka ushahidi wa hayo ndio washirika wa hao washukiwa. Hata kama vyombo vinavyopaswa kuweka ushihidi wazi hawafanyi hivyo, hilo haliepushi ukweli kuwa ni wa kina nani wako nyuma ya huo uhayawani.
 
Hua nikijaribu ku 'imagine' eti Mbowe ndio rais wa nchi, usiku huo hua lazima niote ndoto za kutisha sijui kwanini.
 
..ukiwakutanisha ktk majukwaa ya siasa sioni kama kuna anayemzidi mwenzake.

..kuna kipindi ilikuwa unaona ccm wamewazidi wenzao kwa hoja za kisomi na zenye upeo. sasa hivi ile GAP haiko tena.

..kilichobadilika sasa ni CCM kutumia vyombo vya DOLA. Wenzao wakiwa challenge kwa hoja za kisiasa CCM wanatumia vyombo vya dola kuwadhibiti.

..CCM iko juu ya sheria.
Hili kubwa sn sn
 
Back
Top Bottom