Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Kabla ya kupanda kilimani kwa ajili ya sala,yesu aliwaambia mitume wake wabebe jiwe moja moja kisha wapande nalo mpaka juu kilimani.Mitume walibeba mawe ya ukubwa mbali mbali isipokuwa Yuda.Yuda alibeba jiwe dogo ukubwa wa punje ya harage.Baada ya maombi,Yesu akayabadili yale mawe kuwa mikate na kila mtume akala mkate unaoendana na ukubwa wa jiwe alilobeba.