Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,468
- 2,144
Unaweza kuwa na soft copy ya hiki kitabu?Yeah hii mission ilikuwa ya ukweli sana. Hivi wamarekani washawahi kutekewa ndege wakaenda okoa hostages nchi yoyote? Au waishia kutengeneza movies tu za missions kama hizi?
Sina ila ngoja noikutafutie, nikipata nitakushtua mkuu.Unaweza kuwa na soft copy ya hiki kitabu?
Mkuu idadavue hiiKatika missions za hawa jamaa nilizovutiwa nazo kuna hii moja inaitwa "spring of youth" hii ilifanyika in a response to the munich olympic massacre, ilihuisisha makomando 40 kutoka vikosi vya Sayeret Matkal, Sayeret T'zanahim, S-13 (the Israeli equivalent of the U.S. Navy SEALs), and Unit 707, hii kwangu ni moja kati ya operation bora kabisa za Israel..mmoja wa makomando wa Israel aliyekuwepo ni Ehud Barak, waziri Mkuu wa zamani na waziri wa ulinzi Israel..
Wayahudi ni Habari nyingine kabisa,hawa watu ni wabishi mno huwa hawakubali kushindwaDonluchesse kuna watu unawaumiza sana kwa kuwaonyesha uwezo wa Taifa la Kiyahudi wao wanataka uwasifie Al Shabbab, Osama, Hamas, nk. Ila ukweli utabaki hivyo kua The State of Israel will keep knocking their unrealistic wishes to ashes.