90 Minutes in raid on Entebbe: Tukio la ukombozi wa mateka wa Israel Nchini Uganda - THUNDERBOLT

Katika missions za hawa jamaa nilizovutiwa nazo kuna hii moja inaitwa "spring of youth" hii ilifanyika in a response to the munich olympic massacre, ilihuisisha makomando 40 kutoka vikosi vya Sayeret Matkal, Sayeret T'zanahim, S-13 (the Israeli equivalent of the U.S. Navy SEALs), and Unit 707, hii kwangu ni moja kati ya operation bora kabisa za Israel..mmoja wa makomando wa Israel aliyekuwepo ni Ehud Barak, waziri Mkuu wa zamani na waziri wa ulinzi Israel..
Mkuu idadavue hii

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Donluchesse kuna watu unawaumiza sana kwa kuwaonyesha uwezo wa Taifa la Kiyahudi wao wanataka uwasifie Al Shabbab, Osama, Hamas, nk. Ila ukweli utabaki hivyo kua The State of Israel will keep knocking their unrealistic wishes to ashes.
Wayahudi ni Habari nyingine kabisa,hawa watu ni wabishi mno huwa hawakubali kushindwa
 
Back
Top Bottom