mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 954
90 minutes to entebeNasikia kuna movie inaitwa Operation Entebbe natamani niione...looks like ilikua mishe ya hatari sn
90 minutes to entebeNasikia kuna movie inaitwa Operation Entebbe natamani niione...looks like ilikua mishe ya hatari sn
Mkuu katika hivyo vita vya 6 days war Israeli iliishambulia Misri, Yordan na Syria na kuzishinda ndani ya siku sita. Mwazo vilikuwa ni vita kati ya Misri na Israeli baada ya mmisri kutwangwa na bila Yordan kujua kwamba Mmisri ametwangwa wakaingia kumsaidia Misri nao wakatwangwa. Siria nae akaingia kumsaidia Mmisri nae akatwangwa. Baada ya Israeli kuwashinda ndipo aliposhikilia na kukalia maeneo ya Sinai na Gaza strip kutoka misri na West bank kutoka Yordan na Golon heights kutoka Syria. Baadae ukisoma historia Israeli ilisaini mkataba wa amani na Misri na Israeli ikawarudishia Eneo la Sinai pia miaka ya karibuni Israeli ilisaini mkataba wa amani na Yordan wakaweka mipaka vizuri kati yao na kukubaluana kushirikiana katika baadhi ya mambo ikiwemo kufungua mipaka baina yao lakini bado west bank haikurudi Yordan. Mkuu hivyo vita nafikiri ndiyo ilikuwa chanzo cha kimoja wapo cha mgogoro kati ya wapalsstina na Israeli mpaka leo wapalestina wakitaka israeli iondoke katika maeneo yao waliokalia.offcourse kuna sababu zingine nyingi mojawapo ikiwa ni religious perspective ambapo Israeli wanaamini kwamba walipo ni katika ardhi takatifu walioahidiwa na Mungu kupitia Ibrahim na Isaka wakati waraabu nao wanaamini ni eneo lao walilopewa kupitia Kwa Ibrahimu na Ishmaeli. Mkuu nimekumegea tuu ....mengine utafute mwenyewe.90 minutes to entebe
Ukiipata nijulisheMuvie yake ni nzur sana. Ila sijafanikiwa kupata tena jaman
Sawa mkuu. Na wewe ukiipata njuzeUkiipata nijulishe
Poa mkuuSawa mkuu. Na wewe ukiipata njuze
Mbona ipo YouTube?Sawa mkuu. Na wewe ukiipata njuze
Kuna kitabu kinaitwa [HASHTAG]#ninety[/HASHTAG] minutes at Entebe ni vizuri ukakitafuta na kukisoma kama wewe nimsomaji mzuri wa vitabuWakuu kwema?
Samahani nimekua nikisikia tu story za kuwa israel waliwah kufanya operation kubwa kwenye uwanja wa ndege wa entebe,naomba kupewa fully details za nini kilichotokea na ulimwengu ulilichukuliaje hili tukio?
....90 Minutes AT Entebbe...90 minutes to entebe