Rev.Kishoka,
Nina hakika umefuatilia sana hoja zangu za nyuma na utakubali kuwa mimi huwa sina ushabiki wa mtu wala siwezi kuweka dhamana yangu kwa mtu yeyote. Yes, hapa hapendwi mtu awe kabila, rangi ama dini yeyote maadam yuko je ya maslahi ya Tanzania.
Hayo yote uliyoyazungumza hapo juu ni maswala yanayotuhusu sisi na watawala wetu kina JK Karamagi, Kasungura na kadhalika na hayawezi kuhusishwa moja kwa moja na Sullivan hata kidogo.
Katika mikutano yote ya kiuchumi hawa watu huwepo, huwezi kumwondoa Karamagi ubavuni mwa JK ktk misafara inayohusu maslahi ya nchi. Kuwepo kwake ktk picha ni dhahiri ulitaka nani awepo maanake ndio viongozi wetu hawa. badala ya sisi kutazama timu nzima ya viongozi wetu na kuitoa makosa tunaangalia Sullivan ambao wanaingia tu baada ya sisi kujitwika mizigo kisha tunalumu wao walikuwa wapi?.. could they hve stopped Mkataba wa Buzwagi, IPTL or any other bila kuhusishwa? Na wala sii kweli kuwa Sullivan ina mahusino na Barricks kibiashara kwani barricks ni public company ambayo hata wewe unaweza wekesha fedha zako isipokuwa tunatazama ni akina wwekeshji wkubwa wa kampuni hii mbo ni Ex Presidaa Mzee Bush, Prime minister wa Canada Brain Moroney na Kashogi wengine wote akina sisi ni fisi tunaosubiri mifupa.
Sasa, kama tungetaka mabadiliko ya aina yeyote basi kwanza tungeanza kuwatazama viongozi wetu kwa maana hakuna mkutano ama mkusanyiko wowote wa kitaifa unaoweza kuwepo bila mafisadi hawa kutuwekea kifua na ukitazama ziara zote za Jk zimekuwa na hawa watu hata msafara wa Rome JK aliongozana na baadhi mafisadi.Je, tunaweza ku uestion ziara hiyo kwa sababu kulikuwepo na watu ambao sisi tunafahamu hawana uzalendo wala imani na nchi yetu?..
Binafsi ninaamini kabisa kuwa kama tutaweza kushirikiana na hawa jamaa pamoja na kwamba hawana fedha ila vichwa vyao tunaweza piga hatua sana.
India wasingepata Uhuru wao bila mchango wa Indira Ghandhi ambaye alikuwa akiishi South Africa...na ktk mafundushoi yke wahindi wamepata kuwa kitu kimoja kila kona ya dunia na mafia wanaoogopeka. Wachina vilevile, Maleysia, Thailand -U name it wote leo hii wamegundua kuwa jumuiya zao bila kujali tofauti ndogo ndogo kati yao ni muhimu ktk dunia hii ya Utandawazi. Sisi ndio kwanza tunavuana nguo kutazama nani katiwa jando utafikiri suala la ushirikino linahusina na ngono.
Na siku zote Sullivan wameshindwa kujenga kitu kwa sbabu siku zote wameonekana ni politians na wababaishaji waliokosa nafasi US sasa wamekimbilia Afrika baada ya kuona mali tulizokuwa nazo...Yew, hao wazungu na wahindi hakuna anayewatazam kwa jicho hilo hilo kwa sababu tu wameingi na fedha. Yaani mikataba yetu hutolewa kama posa za kiswahili, mwenye mfuko mkubwa ndiye huchukua mke hata kama hakuna mapenzi!
Mimi napinga mtazamo huu kutokana na kile nilichojifunza toka kwa wenzetu. Tazama wachina wamesikia tu kuwa Bongo kuna biashara safi wamekuja kama ssungusungu unafikiri waliyajua vipi haya kama sio kupitia mtandao wao?...
Leo hii wahindi wanarudi Tanzania kama vile hkuna kewsho kutokana na taarifa zinazosambazwa na jumuiya zao. majuzi Agha Khan alikuja warudisha wahindi wa dhehebu la Islmailia kibao huko Bongo wewe muulize mtu yeyote hapo Bongo atakwambia kuwa mwezi June kuna wahindi kibao walishuka Bongo... Hii imetokana na mshikamano wao toka enzi. Kumbuka hata wakati wa Idd Amin alipowafukuza wahindi haikuwa adha kubwa kama wangekuwa watu weusi kwa sababu hawa jamaa hujiandaa kwa vitu kama hivi na wamekubali kuwa wao ni WAHINDI na they need each other!
leo hii sisi ndio kwanza mtu mweusi ni adui yako wa kwanza na atyi hapendwi mtu wakati sisi wenyewe hatuna sura wala mfuko. hata huyo malaya wa mtaani hutegemea hata sura ama mguu wa kumvuta mteja!.. We are POOR brother lazima tulikubali hilo na kinachofanyika sasa hivi ni sisi kujipanga upya. Tukubali nafasi yetu kama weusi ktk dunia hii ya Utandawazi kisha tujenge nia na malengo ambayo hata yakifikishwa Marekani kesho kuna watu watakao simama kututetea.
Umeuliza kuhusu Tanzania itafaidika nini na hawa Sullivan!... Je, tumewahi faidika kwa uhusiano mwingine wowote na mzungu ama mwarabu? na kwa nini tuweke question leo hata kitu hakija launch ama kwa sababu hawa jamaa hawana mfuko?... ule ule mtazamo wa pos y kiswahili mke kama angekuwa Bill Gates sidhani kama kuna mtu angeuliza malengo na faida ya mkutano huo...simply because anazo fedha za kumwaga.
rev. binafsi ningeomba tuwape nafasi hawa jamaa kwani toka mwaka 1970 nchi za kiafrika zimekuwa zikiwatenga na kuwaona wao kama ni tishio kubwa tawala zetu. Nina hakika kabisa kuwa kina Karamagi wanaweza kuwa na woga zaidi wa Sullivan kuliko sisi kwani hawa viongozi wetu ni wezi wakubwa na kuna hatari kubwa ya ufisadi wao kupata upinzani mkubwa toka nje ama kuwekwa wazi.
Turudi ktk maneno ya mwl. Nyerere kuwa maendeleo hata siku moja hayaletwi na fedha!..tusiwatenge ama kuwawekea dhana kwa sababu tu hawana fedha.
Bill Gates hakuanza na mtaji mkubwa, mzee wetu Mengi alikuwa na fedha kuliko Bill lakini leo ni billionea mkubwa duniani!
PS:- PC yangu ina matatizo ktk baadhi ya herufi zinagoma, naomba samahani pale maneno yanapokuwa hayaeleweki.
Nina hakika umefuatilia sana hoja zangu za nyuma na utakubali kuwa mimi huwa sina ushabiki wa mtu wala siwezi kuweka dhamana yangu kwa mtu yeyote. Yes, hapa hapendwi mtu awe kabila, rangi ama dini yeyote maadam yuko je ya maslahi ya Tanzania.
Hayo yote uliyoyazungumza hapo juu ni maswala yanayotuhusu sisi na watawala wetu kina JK Karamagi, Kasungura na kadhalika na hayawezi kuhusishwa moja kwa moja na Sullivan hata kidogo.
Katika mikutano yote ya kiuchumi hawa watu huwepo, huwezi kumwondoa Karamagi ubavuni mwa JK ktk misafara inayohusu maslahi ya nchi. Kuwepo kwake ktk picha ni dhahiri ulitaka nani awepo maanake ndio viongozi wetu hawa. badala ya sisi kutazama timu nzima ya viongozi wetu na kuitoa makosa tunaangalia Sullivan ambao wanaingia tu baada ya sisi kujitwika mizigo kisha tunalumu wao walikuwa wapi?.. could they hve stopped Mkataba wa Buzwagi, IPTL or any other bila kuhusishwa? Na wala sii kweli kuwa Sullivan ina mahusino na Barricks kibiashara kwani barricks ni public company ambayo hata wewe unaweza wekesha fedha zako isipokuwa tunatazama ni akina wwekeshji wkubwa wa kampuni hii mbo ni Ex Presidaa Mzee Bush, Prime minister wa Canada Brain Moroney na Kashogi wengine wote akina sisi ni fisi tunaosubiri mifupa.
Sasa, kama tungetaka mabadiliko ya aina yeyote basi kwanza tungeanza kuwatazama viongozi wetu kwa maana hakuna mkutano ama mkusanyiko wowote wa kitaifa unaoweza kuwepo bila mafisadi hawa kutuwekea kifua na ukitazama ziara zote za Jk zimekuwa na hawa watu hata msafara wa Rome JK aliongozana na baadhi mafisadi.Je, tunaweza ku uestion ziara hiyo kwa sababu kulikuwepo na watu ambao sisi tunafahamu hawana uzalendo wala imani na nchi yetu?..
Binafsi ninaamini kabisa kuwa kama tutaweza kushirikiana na hawa jamaa pamoja na kwamba hawana fedha ila vichwa vyao tunaweza piga hatua sana.
India wasingepata Uhuru wao bila mchango wa Indira Ghandhi ambaye alikuwa akiishi South Africa...na ktk mafundushoi yke wahindi wamepata kuwa kitu kimoja kila kona ya dunia na mafia wanaoogopeka. Wachina vilevile, Maleysia, Thailand -U name it wote leo hii wamegundua kuwa jumuiya zao bila kujali tofauti ndogo ndogo kati yao ni muhimu ktk dunia hii ya Utandawazi. Sisi ndio kwanza tunavuana nguo kutazama nani katiwa jando utafikiri suala la ushirikino linahusina na ngono.
Na siku zote Sullivan wameshindwa kujenga kitu kwa sbabu siku zote wameonekana ni politians na wababaishaji waliokosa nafasi US sasa wamekimbilia Afrika baada ya kuona mali tulizokuwa nazo...Yew, hao wazungu na wahindi hakuna anayewatazam kwa jicho hilo hilo kwa sababu tu wameingi na fedha. Yaani mikataba yetu hutolewa kama posa za kiswahili, mwenye mfuko mkubwa ndiye huchukua mke hata kama hakuna mapenzi!
Mimi napinga mtazamo huu kutokana na kile nilichojifunza toka kwa wenzetu. Tazama wachina wamesikia tu kuwa Bongo kuna biashara safi wamekuja kama ssungusungu unafikiri waliyajua vipi haya kama sio kupitia mtandao wao?...
Leo hii wahindi wanarudi Tanzania kama vile hkuna kewsho kutokana na taarifa zinazosambazwa na jumuiya zao. majuzi Agha Khan alikuja warudisha wahindi wa dhehebu la Islmailia kibao huko Bongo wewe muulize mtu yeyote hapo Bongo atakwambia kuwa mwezi June kuna wahindi kibao walishuka Bongo... Hii imetokana na mshikamano wao toka enzi. Kumbuka hata wakati wa Idd Amin alipowafukuza wahindi haikuwa adha kubwa kama wangekuwa watu weusi kwa sababu hawa jamaa hujiandaa kwa vitu kama hivi na wamekubali kuwa wao ni WAHINDI na they need each other!
leo hii sisi ndio kwanza mtu mweusi ni adui yako wa kwanza na atyi hapendwi mtu wakati sisi wenyewe hatuna sura wala mfuko. hata huyo malaya wa mtaani hutegemea hata sura ama mguu wa kumvuta mteja!.. We are POOR brother lazima tulikubali hilo na kinachofanyika sasa hivi ni sisi kujipanga upya. Tukubali nafasi yetu kama weusi ktk dunia hii ya Utandawazi kisha tujenge nia na malengo ambayo hata yakifikishwa Marekani kesho kuna watu watakao simama kututetea.
Umeuliza kuhusu Tanzania itafaidika nini na hawa Sullivan!... Je, tumewahi faidika kwa uhusiano mwingine wowote na mzungu ama mwarabu? na kwa nini tuweke question leo hata kitu hakija launch ama kwa sababu hawa jamaa hawana mfuko?... ule ule mtazamo wa pos y kiswahili mke kama angekuwa Bill Gates sidhani kama kuna mtu angeuliza malengo na faida ya mkutano huo...simply because anazo fedha za kumwaga.
rev. binafsi ningeomba tuwape nafasi hawa jamaa kwani toka mwaka 1970 nchi za kiafrika zimekuwa zikiwatenga na kuwaona wao kama ni tishio kubwa tawala zetu. Nina hakika kabisa kuwa kina Karamagi wanaweza kuwa na woga zaidi wa Sullivan kuliko sisi kwani hawa viongozi wetu ni wezi wakubwa na kuna hatari kubwa ya ufisadi wao kupata upinzani mkubwa toka nje ama kuwekwa wazi.
Turudi ktk maneno ya mwl. Nyerere kuwa maendeleo hata siku moja hayaletwi na fedha!..tusiwatenge ama kuwawekea dhana kwa sababu tu hawana fedha.
Bill Gates hakuanza na mtaji mkubwa, mzee wetu Mengi alikuwa na fedha kuliko Bill lakini leo ni billionea mkubwa duniani!
PS:- PC yangu ina matatizo ktk baadhi ya herufi zinagoma, naomba samahani pale maneno yanapokuwa hayaeleweki.