77 hotel Arusha

duh mkuu umenikumbusha bakurutu la pale ilikuwa safi sana .

wacha kaka ilikuwa bakurutu la maana sana
na ulikuwa ukumbi ulikuwa poa sana hakuna kuingia na kinywaji kwenye ground la kuchezea music
 
wanajamii ni muda sasa karibu miaka 5 hotel hii imebinafsishwa lakini hakuna ujenzi unaendelea ni kitu gani kinazuia ujenzi kuendelea ? Kama mwekezaji ameshindwa kuiendeleza si anyang'anywe apewe mwekezaji mwinine , hii hotel ni muhimu sana kwa uchumi wa mkoa wa arusha . Kama kuna mtu anajua kinachoendelea atujuze.

hakiyanani kweli nchi ya mafisadi hivi ile hotel bodo haijajengwa?! Miaka ya nyuma niliwahi kwenda arusha wakati inafanya kazi kwa kweli palikuwa pazuri!
 
Wanajamii ni muda sasa karibu miaka 5 hotel hii imebinafsishwa lakini hakuna ujenzi unaendelea ni kitu gani kinazuia ujenzi kuendelea ? Kama mwekezaji ameshindwa kuiendeleza si anyang'anywe apewe mwekezaji mwinine , hii hotel ni muhimu sana kwa uchumi wa mkoa wa Arusha . Kama kuna mtu anajua kinachoendelea atujuze.

Mshaurini Mh. Raisi abadili matumizi ya hilo eneo pajengwe chuo kikuu badala ya hotel, ni mtazamo wangu.
 
Haya yote ya hotel kudorora na hatimaye kubaki magofu ni mafisadi wa sisiem wamesababishaga haya yote!

Nakumbuka kabisa ile hotel ilikuwa na wafanyakazi zaidi ya 200 na ushee na na ilikuwa ni SHIRIKA LA UMMA lakini leo imekuwa shirika la kuhifadhi vibaka karibia wote wa Phillips na hata Sekei.

sisiem ni ya kulaaniwa mpaka hatima yake itoweke madarakani!
 
Wanajamii ni muda sasa karibu miaka 5 hotel hii imebinafsishwa lakini hakuna ujenzi unaendelea ni kitu gani kinazuia ujenzi kuendelea ? Kama mwekezaji ameshindwa kuiendeleza si anyang'anywe apewe mwekezaji mwinine , hii hotel ni muhimu sana kwa uchumi wa mkoa wa Arusha . Kama kuna mtu anajua kinachoendelea atujuze.

Wakati ilipokuwa mali ya umma mkaiua (kama mlivyoua kila kitu cha umma) hamkujuwa kama ni muhimu kwa uchumi wa mkoa wa Arusha?
 
Hii ina kesi mahakamani kati ya EMMANUEL MANTHEAKIS na AGIP TANZANIA LTD

rove%2B729.JPG
 
Mshaurini Mh. Raisi abadili matumizi ya hilo eneo pajengwe chuo kikuu badala ya hotel, ni mtazamo wangu.


mkuu pale panafaa sana kwa hoteli . Tuliambiwa kempisky wangejenga hotel yenye vyumba 2000 sasa sijui tumedanganywa au ? Ila kwa eneo la eka 25 linafaa kabisa kujenga hoteli kubwa kama hiyo na watu wakapata ajira na uchumi wa mkoa ukapanda.
 
Yaani kwa arusha 77 ilikuwa ni moja wapo ya nembo ya mkoa . Yaani acha tu .
 
Ahhh mkuu sijui kwa nini umefunua kitu hiki kutukumbusha bakurutu letu lililopotea aise
mpaka leo arusha hakuna ukumbi wa maana wa music kumbi nyingi ni vibaka oriented ukiingia mle wakati wa kutoka ujiandae kama huna usafiri
 
Ahhh mkuu sijui kwa nini umefunua kitu hiki kutukumbusha bakurutu letu lililopotea aise
mpaka leo arusha hakuna ukumbi wa maana wa music kumbi nyingi ni vibaka oriented ukiingia mle wakati wa kutoka ujiandae kama huna usafiri

wacha tu .
 
nakumbuka tuu disco la pale
Walitunyima sana raha kuutumia ule ukumbi kwa disco aise
Kulikuwa na disco moja la kistaarabu sana na amani na watu walikuwa wanaemda pale hata kama sio wanywaji wala wacheza music ila kupumzika na kuangalia mambo yanaendaje na sehem ya kukutania pia
Ila ndio tanzania yetu kila mtu anafanya analoliona linamfaa
Wangeacha hata tuendelee na ule ukumbi kama hawakuwa na mpango wa kuubomoa kwa kipindi hicho

Ni kweli ule ukumbi sisi wengine tulikua tuanutautumia kuukemea uzee! parking ilikuwa ya kutosha ulinzi saafi yaani unastarehe bila karaha sasa huyo mwekezaji kaacha tu paoze!
 
mkuu pale panafaa sana kwa hoteli . Tuliambiwa kempisky wangejenga hotel yenye vyumba 2000 sasa sijui tumedanganywa au ? Ila kwa eneo la eka 25 linafaa kabisa kujenga hoteli kubwa kama hiyo na watu wakapata ajira na uchumi wa mkoa ukapanda.

Maeneo ya USA au KISONGO hayafai kujenga hotel? Chuo kikuu kikiwa katikati ya mjini ni rahisi kutumiwa na watu wote; Embu fikiri chuo kama Nelson Mandela kina faida gani kwa wananchi wengine wa kozi za chini?

Mimi sikusoma Chuo cha Ushirika ila nimetumia maktaba yao kufikia malengo yangu ya kitaaluma. Hotel 777 panafaa sana kujengwa chuo kikuu bado ni mtazamo wangu.
 
Bucho umeamkaje?, utaenda kumpigia kura Sarakikya pale arumeru?!. Hii mada yako ni tata. Kwanza umesema imepata muwekezaji kama miaka 5 imepita( tueleze basi, ni nani, wawapi?) kisha unamalizia kusema anayejua kinachoendelea atujuze, inamaana huna uhakika na ulichopost. Unatupa jiwe kichakani?!
...Gama kwani kura za maoni zimekwisharudiwa? Yap i believe this time Sarakikya will make the difference...
 
Kwa kweli sasa hivi ukienda arusha hakuna sehemu mtu mzima kama mimi anaweza akaenda na ku-enjoy bakulutu kama ilivyokuwa hapo awali. Kwa kweli nimeimiss 77
 
Back
Top Bottom