Wakuu
Nilikuwa naangalia vifurushi vya voda na airtel, nikakuta
5gb voda wanauza 20,000/- (1 month period)
5gb Airtel wanauza 45,000/- (1 month period)
Kwa nn bei zimetofautiana sana?
Naomba ujuzi wenu waungwana
Wakuu
Nilikuwa naangalia vifurushi vya voda na airtel, nikakuta
5gb voda wanauza 20,000/- (1 month period)
5gb Airtel wanauza 45,000/- (1 month period)
Kwa nn bei zimetofautiana sana?
Naomba ujuzi wenu waungwana
dah... umenikomboa na ukiritimba man.... nilkikuwa nahangaika za siku 990 nikawa nasahau hizi....Acha kuangaika sasa hivi aiteli kwa 5999/= unapata 2GB +Dakika 200 + sms 5000 kwa wiki. ukizidisha mara nne unapata 8GB + Dakika 800 na sms za kutosha.
Ngoja nikurekebishie bei mpya mkuu...Wakuu
Nilikuwa naangalia vifurushi vya voda na airtel, nikakuta
5gb voda wanauza 20,000/- (1 month period)
5gb Airtel wanauza 45,000/- (1 month period)
Kwa nn bei zimetofautiana sana?
Naomba ujuzi wenu waungwana
3G vs 3.75G
3G vs 3.75G
airtel wana coverage kubwa tanzania kuliko voda ni monopoly kwenye maeneo ya wilayani wao peke yao ndo wana 3g so hela yoyote wanayopanga haisumbui kwao bundle zinanunuliwa
Airtel wanadai wanaspidi kali sasa lakini hata kama ni kweli yawaje hawana bei shindani? Kwenye masuala ya kimtandao offers za Airtel hazitii matumaini hata chembe.
sasa hivi voda ndo wana 3g maeneo mengi kuliko Airtel.airtel wana coverage kubwa tanzania kuliko voda ni monopoly kwenye maeneo ya wilayani wao peke yao ndo wana 3g so hela yoyote wanayopanga haisumbui kwao bundle zinanunuliwa
sasa hivi voda ndo wana 3g maeneo mengi kuliko Airtel.