Mimi nakushauri uwe unatumia AIRTEL TOSHA ya wiki ya 5999=6000 na unapata 2GB, 5000 SMS, 200 Dakika, ukifanya hivyo kwa wiki nne=mwezi utakuta umepata 8GB, 20000 SMS, Dakika 800 kwa 24000/= kwa mwezi. Ushauri tu, Halafu mimi kautafiti kadogo nilikofanya nimegundua BANDLE za VODA ni za uongo, kama haumini siku jaribu 1GB ya Voda na ya AIRTEL then uone ipi inaisha upesi, Utakuta VODA kwisha mapema kabisa for the same WORK.Wakuu
Nilikuwa naangalia vifurushi vya voda na airtel, nikakuta
5gb voda wanauza 20,000/- (1 month period)
5gb Airtel wanauza 45,000/- (1 month period)
Kwa nn bei zimetofautiana sana?
Naomba ujuzi wenu waungwana