5 benefits of dating a rich guy

5 benefits of dating a rich guy

Hata mimi nimeshangaa sana, eti leo wanajifanya wako tofauti ilihali kila siku ni kelele humu kuhusu pesa.

Juzi tu hapa kulikuwa na mada ambao ilihusu kitu ambacho wanawake wangependa mwanaume awe nacho, wengi walipendekeza magari ikiwemo Mzigua90, wengine nyumba, vitu ambavyo lazima uwe na pesa ndio uweze kuvimiliki.

Lakini leo wanakuja na mawazo tofauti, hawaaminiki hawa wanawake
My dear wanawake wengi huwa tunatamani tupate wanaume wenye hela tuwapende ikatokea nimempenda ambae hana hivyo vitu wala simkatai wakati nimeshampenda.
Kuhusu kupenda mwanaume mwenye kitu hapa yenyewe natamani mwanaume nitakaempenda awe na ndege kabisa nini gari. Ila sio kwamba akija mwenye baiskel na nikampenda nitamuacha niumie kwa sababu nilikua nataka mwanaume mwenye ndege.
Ingekua hivyo jamani tungekubali kila mwanaume mwenye kitu anaetufuata.
Mimi naamini kabisa ni rahisi kutafuta pesa ila sio kupata mtu mnaependana. Sasa kwanini niukoseshe moyo amani kuhangaika na mwanaume mwenye pesa wakati simpendi na yupo ambae hana tunapendana?
 
Pia hapo unauza your right.. Ndo maana girl wanashindwa hata kumwambia tumia hata condom... That's shame sana.... En believe me men's ain't care about kutoa pesa they want to put p in v
 
Back
Top Bottom