Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,765
- 126,676
Hata mimi nimeshangaa sana, eti leo wanajifanya wako tofauti ilihali kila siku ni kelele humu kuhusu pesa.Mkuu leo nashindwa kushangaa ninachokisoma kwa hawa akina dada
Juzi tu hapa kulikuwa na mada ambao ilihusu kitu ambacho wanawake wangependa mwanaume awe nacho, wengi walipendekeza magari ikiwemo Mzigua90, wengine nyumba, vitu ambavyo lazima uwe na pesa ndio uweze kuvimiliki.
Lakini leo wanakuja na mawazo tofauti, hawaaminiki hawa wanawake