5 benefits of dating a rich guy

5 benefits of dating a rich guy

Siwezi Mwifwa. Mi nikiomba hela huwa nakua nimebanwa kweli. Kwanza sinaga matumizi yasiyo ya lazima na hela za mwanaume wangu. Kwa sababu hiyo hela tunayoitumbua si bora tusave tu.
Bf alihamia Mwanza baada ya kumaliza chuo. Sasa akaniita Mwanza. Akaniambia nikakate ticket ya ndege. Nikawaza kulipoa ticket go and return, bado nikifika nitakaa hotel, bado atanitembeza kidogo. Nikaona gharama tu zisizo na maana wakati ile hela anaweza kuisave. Nilimwambia nitapanda bus (ilikua first time kwenda Mwanza). Sasa na yeye pale ndo aliamini kumbe huyu wala hana makuu kwenye hela kama anavyoonekana. Lakini ingekua ni limtu tu chief angenikatia ticket ya flight kama hawezi basi.
Bf yupi x ama?
 
Ninyi vigezo vyenu kumpenda mwanaume havitabiriki hata kidogo, leo mtasema pesa, kesho mtasema kile kesho kutwa kingine.

Ivi kigezo cha tabia njema huwa mnakisema kweli maana hapa ndio mzizi wa upendo uliopo ila kutokana na kutaka mambo yawe mazuri pindi ukijiingiza kwenye mahusiano unajikuta pesa ndio imekuwa kipaumbele.
Hamna kigezo kwenye kumpenda mtu. Ukiona kigezo hamna mapenzi hapo.
 
Kupata mwanake wa fast na ambaye mwenye upendo wa dhati bila kuweka pesa kuwa kipaumbele ni changamoto kwa sasa.

Ila ukitaka kupata mwanamke fast lazima uwe na pesa utwapata wengi sana
Mkuu hawa watakuchosha. Wanabishana na NATURE! Tangu enzi za stone age mwanamke anatafuta SECURITY.
Enzi za stone age security ilikuwa mwanaume strong anaeweza kumlinda na kutafuta msosi kwa watoto wake,stone age ilikuwa only the fittest survive.
Mahitaji hayajabadilika, hadi leo mwanamke anaangalia security na era hii security ni PESA, sio misuli au ubabe.
Sasa leo hii mtu mzima akwambie eti anapenda tu bila sababu inashangaza. Hio wanafanya watoto lwani wanaendeshwa na hisia na hormones mtu mzima anatumia akili na ndio maana haingii sehemu bila kuhakikisha kuna security or at least potential.
 
Mkuu hawa watakuchosha. Wanabishana na NATURE! Tangu enzi za stone age mwanamke anatafuta SECURITY.
Enzi za stone age security ilikuwa mwanaume strong anaeweza kumlinda na kutafuta msosi kwa watoto wake,stone age ilikuwa only the fittest survive.
Mahitaji hayajabadilika, hadi leo mwanamke anaangalia security na era hii security ni PESA, sio misuli au ubabe.
Sasa leo hii mtu mzima akwambie eti anapenda tu bila sababu inashangaza. Hio wanafanya watoto lwani wanaendeshwa na hisia na hormones mtu mzima anatumia akili na ndio maana haingii sehemu bila kuhakikisha kuna security or at least potential.
Uko sahihi kabisa mkuu, hawa dawa yao ni kudeal nao kiakili sana
 
Back
Top Bottom