kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,633
- 7,021
Sishangai hata kidogo!kwa vitabu alivyotolea mfano Mh.Mbatia ambavyo ndivyo nadhani kavisoma huyu kisura,unatarajia asemeje?Tena kajitahidi sana kwani jawabu linakaribiana na ukweli yaani tofauti ya 2 tu siyo issue!Je angesema 4X4=44?Tuwashangae wale waliotoa ithibati ya vitabu alivyovitolea mf Mh.Mbatia kwani wanawapoteza watoto wetu.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums