4X4=18, Taarifa ya habari ITv

4X4=18, Taarifa ya habari ITv

Je haya ndiyo matokeo ya elimu aliyosema Mbatia.
Usiku huu kwenye taarifa ha habari ITV kuna dada mmoja alikuwa anaongelea kuhusu gazeti la the gurdian na Nipashe kuzindua huduma ya yaarifa kwa njia ya sms kupitia tigo kasema mteja atakuwa anapokea msg nne kwa mpigo mara nne akakazia kwamba nne mara nne ni kumi na nane.

me siamini kama wewe hujui kuandika neno 'taarifa' bali imetokea tu umekosea, na wewe mchukulie mwenzako kama amekosea tu na sio kwamba hajui hesabu, wanadamu wengi hushika kosa/baya 1 kati ya mema 100000.
 
Wapi HKL ahaa mm nitakuwa mwandishi ohoo afisa habari hesabu za nini? Kumbe hesabu ni kama maji usipo yaoga utayanywa ama kupikia.
 
Anaitwa lulu saa hii tena kwa marudio.Inachekesha SANA!!!!!!!!!!!!
 
Haya nyie wenye first class zenu mara law, mara cpa yule msichana na sura yake ya 4*4=18 amekula kitengo sasa nyie kaeni na first class zenu mtasota hii ndio bongo
 
Je haya ndiyo matokeo ya elimu aliyosema Mbatia.
Usiku huu kwenye taarifa ha habari ITV kuna dada mmoja alikuwa anaongelea kuhusu gazeti la the gurdian na Nipashe kuzindua huduma ya yaarifa kwa njia ya sms kupitia tigo kasema mteja atakuwa anapokea msg nne kwa mpigo mara nne akakazia kwamba nne mara nne ni kumi na nane.
ata mimi nimeshangaa sana huyu mdada ni aibu tupu; sijui hizi nafasi za ajira wanazipataje bwana; haya makampuni yanafikiri kuweka madada kama hawa wanao uza sura kuliko wanaotumia akili ndipo yatapata faida kumbe ni upuuzi mtupu.
 
Tension ya kamera ndo ipi?kwa hiyo akijipiga picha na kamera ya simu yake anakuwa na tension pia
 
Markethng officer wa nipashe/guardian?dah katoa kihoja. Yan nimehisi natafuna mchanga,kasema mtu atapokea nne kwa mpigo,akaongezea...nne mara nne nadhani ni 18. Dah kwa kwel airtime kahiaribu bure. Alaf ukiingia jukwaa la kazi unakutana na wale wa ...nina llb first class,natafta kazi...wale wa ...nina cpa natafta kazi...aah aah aah mtakaa sana,wenzenu wa 4x4 washakula vitengo. Wengne wanasema Tanzania is union btwn tanganyika and zimbabwe...in one ninteen sixty four(11964)... Tanzania Tanzania
 
Alikuwa anaongea kwa mapozi sana..kwenye hesabu hakuna mapozi..ni facts and figures tu..Analeta usistadu kwenye hesabu lazima uumbuke.. I felt bad for her..

mkuu umesema sahihi wote walikuwa wanaongea kwa pozi na vile viswahili vya mujini kiswahili kama kingereza maneno yanabanwa utafikiri anaongea lugha ya kigeni.
wasituharibie lugha yetu tamu ya kiswahili. mi nilikereka sana na jinsi walivyokuwa wanaongea kiswahili.
 
Je haya ndiyo matokeo ya elimu aliyosema Mbatia.
Usiku huu kwenye taarifa ha habari ITV kuna dada mmoja alikuwa anaongelea kuhusu gazeti la the gurdian na Nipashe kuzindua huduma ya yaarifa kwa njia ya sms kupitia tigo kasema mteja atakuwa anapokea msg nne kwa mpigo mara nne akakazia kwamba nne mara nne ni kumi na nane.

Hakiya nani nilidhani nimeshangaa peke yangu yule mrembo amejumlisha 4 na 4 halafu akajua huwa inakuwa kumi na ushee akafanya short cut eti 4 x4 = 18. New genius girl

Mulugo upooooooo!!!!
 
Je haya ndiyo matokeo ya elimu aliyosema Mbatia.
Usiku huu kwenye taarifa ha habari ITV kuna dada mmoja alikuwa anaongelea kuhusu gazeti la the gurdian na Nipashe kuzindua huduma ya yaarifa kwa njia ya sms kupitia tigo kasema mteja atakuwa anapokea msg nne kwa mpigo mara nne akakazia kwamba nne mara nne ni kumi na nane.

Mm nilivyomuona na kumsikia akiongea kwa kubabaika 4 x 4 = 18 nilisikitika sana. Wasomi wa kibongo hao.
 
kwani jibu lake ni ngapi? sijaona aliyetaja jibu..mwenye kujua jibu zawadi nono itatolewa
 
View attachment 98822
Meneja Mipango Msaidizi wa kampuni ya Premier Mobile Solutions Bi. Lulu Ramole (kulia) 4*4=18 akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesema huduma hiyo ya ujumbe wa habari kwa maandishi imetengenezwa kuwawezesha wateja kupata habari mara moja ambapo watumiaji wa mtandao wa Tigo watachajiwa mara moja kwa siku na kuweza kupata vichwa vya habari mara nne
 
Lakini tukimpa nafasi approve kama alisoma hesabu vizuri anaweza. Siunajua mambo ya 1+1= 1 hence proved? Kwi kwi kwi
 
Kweli kila m2 ana 18 zake....Jinsi wale wanaojua Lugha za wageni wanavyojishebedua na kubinua midomo, ndivyo nasi wajua Hesabu tunavyojipiga vifua na kutazama mbali. Ndio maana wale watoa kasoro walisema Mwanamke hata kama kanyimwa vyooote vya urembo basi apewe hata Caring au Sauti ya kumtoa nyoka pangoni======Kwa Mwanamme msaada tafadhali kwa mjuzi
 
huyo binti hana makosa kabisa,ikiwa waziri tu,alichanganya Zanzibar na Zimbabwe,na bado yupo kibaruani,mpotezeeni dada wa watu.
 
huyo binti hana makosa kabisa,ikiwa waziri tu,alichanganya Zanzibar na Zimbabwe,na bado yupo kibaruani,mpotezeeni dada wa watu.

Makosa mawili hayahalalishi moja kuwa sahihi.
 
Back
Top Bottom