40% ya wateja wa Shirika la Ndege ( ATCL) ni wakazi wa Jiji la Mwanza

Sawa..... Lakini hiyo statement yako ya mwanza airport inaiminya songwe airport kisa taa za usiku haina mantiki....Abiria wenye mahitaji ya usafir watasafir mchana tu...
Amka Kamanda. Watu wa biashara wanafanya mambo yao mchana. Usiku wanasafiri. Ndiyo advantage ya Mwanza. Bei ya mchana ni ndogo kuliko usiku. Fuatilia hilo.
 
Amka Kamanda. Watu wa biashara wanafanya mambo yao mchana. Usiku wanasafiri. Ndiyo advantage ya Mwanza. Bei ya mchana ni ndogo kuliko usiku. Fuatilia hilo.
Mkuu wakiweka taa airport ya songwe....hivi songwe itaiovercome Mwanza airport kweli...? Mi nadhani ni mambo ya kiuchumi na ubize wa mji....to be honest hata tukiweka factors nyingine kando, Mwanza-Dar route ndo yafaa iwe na watu wengi zaidi...
 
Mkuu wakiweka taa airport ya songwe....hivi songwe itaiovercome Mwanza airport kweli...? Mi nadhani ni mambo ya kiuchumi na ubize wa mji....to be honest hata tukiweka factors nyingine kando, Mwanza-Dar route ndo yafaa iwe na watu wengi zaidi...
Sidhani na sijasema Songwe itaipita Mwanza. Nipo realistic najua ukweli huo.

Lakini uwanja wa Songwe ukiwa na taa, idadi ya abiria itaongezeka sana japo isifikie ya Mwanza. Baada ya Dar, Mwanza inafuatia.
 
Sidhani na sijasema Songwe itaipita Mwanza. Nipo realistic najua ukweli huo.

Lakini uwanja wa Songwe ukiwa na taa, idadi ya abiria itaongezeka sana japo isifikie ya Mwanza. Baada ya Dar, Mwanza inafuatia.
I've got your point... Shukrani
 
Hakusema hiyo ingia youtube usikilize mwenyewe!
Mimi najadili kichwa cha thread alichoandika mwanzisha mada ndugu yangu. i.e.
''40% ya wateja wa Shirika la Ndege ( ATCL) ni wakazi wa Jiji la Mwanza''
Kama amekoleza chumvi au kuposha kilichosemwa basi ni vizuri imejulikana.
 
We mkabila sana inaelekea wachaga wanakuumiza sana kichwa na yote ni kwa sababu ya wivu wa maendeleo yao, wakati wewe hapo umeshindwa kufanya lolote unabakia kulialia tu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Matindi akuonee wivu mrangi?!

Hahahaaaaa........ Wakati unawauzia mitumba akina Kasesela mwenzio alikuwa darasani!
 
Mimi najadili kichwa cha thread alichoandika mwanzisha mada ndugu yangu. i.e.
''40% ya wateja wa Shirika la Ndege ( ATCL) ni wakazi wa Jiji la Mwanza''
Kama amekoleza chumvi au kuposha kilichosemwa basi ni vizuri imejulikana.
Muhimu ni hiyo takwimu ie 40%
 
Haiwezekani ndugu takwimu hizo kuwa kweli. Hii ilisemwa tu kumfurahisha mkuu. Huwezi kusema 40% ya abiria ni Mwanza je unataka kusema Dar ina abiria wachache kuliko mwanza? Dar peke yake ni zaidi ya 60%. Kilimanjaro haipungi 20%, Dodoma, Mbeya, Zanzibar, Bukoba, etc zipo wapi?
tuwe makini na wanaofanya kila kitu kumfurahisha rais.
Huyo rais mwenyewe anapenda kusifiwa na kupewa taarifa za kusifia sifia yale anayoyapenda.

Sasa wahuni nao wanajiongeza hapo hapo
 
Hii taarifa inaonyesha jinsi jiji la Mwanza lilivyo na mchango mkubwa sana katika uchumi wa taifa.

Ni wakati sasa wa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa zaidi katika jiji la Mwanza kwa faida kubwa ya taifa letu.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
So what? Mbona wateja wengi wa Air Lufthansa ni wakazi wa Nordrhein West Fallia ambao Airport yao kubwa ni Düsseldorf. Is it an issue?

Elewa kuwa Mwanza na vitongoji vyake vina more than 20% ya population ya nchi. Na hivyo ndivyo ilivyo kwa Nordrhein West Fallia. Unategemea nini sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So what? Mbona wateja wengi wa Air Lufthansa ni wakazi wa Nordrhein West Fallia ambao Airport yao kubwa ni Düsseldorf. Is it an issue?

Elewa kuwa Mwanza na vitongoji vyake vina more than 20% ya population ya nchi. Na hivyo ndivyo ilivyo kwa Nordrhein West Fallia. Unategemea nini sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya....wasalimie wafaransa!
 
Mkuu wakiweka taa airport ya songwe....hivi songwe itaiovercome Mwanza airport kweli...? Mi nadhani ni mambo ya kiuchumi na ubize wa mji....to be honest hata tukiweka factors nyingine kando, Mwanza-Dar route ndo yafaa iwe na watu wengi zaidi...
Na hii iko hata kwenye usafiri Wa mabasi na train. Route ya Dar-Mwanza-Dar ina Magari mengi
 
Ninachoona kila nikienda airport wanaopanda hzo ndege 80%ni mawazir, makatibu wakuu, wabunge na familia zao, viongozi waandamizi wa govt na mashirika ya UN ,18% Wafanya biashara na 2% wabongo wanaotaka kusafisha nyota

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom