40% ya wateja wa Shirika la Ndege ( ATCL) ni wakazi wa Jiji la Mwanza

Haiwezekani ndugu takwimu hizo kuwa kweli. Hii ilisemwa tu kumfurahisha mkuu. Huwezi kusema 40% ya abiria ni Mwanza je unataka kusema Dar ina abiria wachache kuliko mwanza? Dar peke yake ni zaidi ya 60%. Kilimanjaro haipungi 20%, Dodoma, Mbeya, Zanzibar, Bukoba, etc zipo wapi?
tuwe makini na wanaofanya kila kitu kumfurahisha rais.
Naam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii taarifa inaonyesha jinsi jiji la Mwanza lilivyo na mchango mkubwa sana katika uchumi wa taifa.

Ni wakati sasa wa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa zaidi katika jiji la Mwanza kwa faida kubwa ya taifa letu.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
Endeleeni na danadana zenu mimi nsahukuru MKULIMA KALIPWA HELA maana dawa ya deni kulipa sio KUDHULUMU.
 
Kuna Kanda Fulani haifurahishwi na hii taarifa. Siku zote wanaamini wao ndo wanasafiri zaidi kuliko Kanda zingine.
Hahaaaaaa...na ndiyo wanopiga kelele. Mazuri yote wanataka yawe kwao au yatoke kwao
 
Kuna Kanda Fulani haifurahishwi na hii taarifa. Siku zote wanaamini wao ndo wanasafiri zaidi kuliko Kanda zingine.
cc Ibambasi 40% ya kampuni za mabasi zinamilikiwa na watu wa kaskazini (include mabasi yaendayo mwanza)
Mfano
Ibra line
Machame safari
Lim safari
BM COACH
Kidia one
Princes muro
happy nation
hai express
Mghamba
Kapricon
Kilimanjaro exp
Marangu coach
Tilisho exp
Ester exp
Kandahar
Arusha exp
Hii Ni mifano tu
TANZANIA nzima Hakuna mkoa utakosa basi lá mtu wa kaskazini upo? Kajipange upya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii taarifa inaonyesha jinsi jiji la Mwanza lilivyo na mchango mkubwa sana katika uchumi wa taifa.

Ni wakati sasa wa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa zaidi katika jiji la Mwanza kwa faida kubwa ya taifa letu.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
ukipongeza mwanza, pongeza kahama, geita na musoma (ambako kuna migodi na watu wenye pesa). watu wakazi wa mwanza pale ni wachache sana wanasafiri kwa ndege, hao unaowaona wanasafiri kwa ndege kwa kutumia uwanja wa mwanza ni wafanyakazi migodini kahama geita na mara, pamoja na kwamba wapo wafanyabiashara wachache. ukweli ndio huo hivyo pongeza migodi na acha ukanda na ukabila. pusi we.
 
cc Ibambasi 40% ya kampuni za mabasi zinamilikiwa na watu wa kaskazini (include mabasi yaendayo mwanza)
Mfano
Ibra line
Machame safari
Lim safari
BM COACH
Kidia one
Princes muro
happy nation
hai express
Mghamba
Kapricon
Kilimanjaro exp
Marangu coach
Tilisho exp
Ester exp
Kandahar
Arusha exp
Hii Ni mifano tu
TANZANIA nzima Hakuna mkoa utakosa basi lá mtu wa kaskazini upo? Kajipange upya

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshawahi kuona tajiri anamiliki bus?

Mabasi ni biashara ya kusaidia mkoni uende kinywani fullstop!
 
Umeshawahi kuona tajiri anamiliki bus?

Mabasi ni biashara ya kusaidia mkoni uende kinywani fullstop!
Unachekesha mkuu,unajua bei ya basi?
Hahaha kwahyo wenye mabasi Ni maskini wenzio?
Anyway mmiliki wa précision air unamfahamu? Ni ndugu shirima,ni mtanzania gani anaemiliki kampuni ya ndege zaidi yake? Ukweli utabaki ukweli kaskazn Ina vichwa mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba nikurekebishe mkuu, hii takwimu nahisi iko sahihi kwa 95%.
Ansposema abiria wa Mwanza maana yake wanaotua kutoka Dar.
Ni ukweli usiopingikwa kuwa abiria kutoka Dar to Mwanza ni wengi ikifuatiwa na abiria Dar to Klm.
Kwa nyakati hii mambo yako wazi sana, unaweza kutumia app ya radar24 uone route za Mwanza zilivyo ulinganishe na mikoa mingine.
Dar haihesabiki kwani safari zote huanzia Dar to mikoani au mikoani tu Dar...hili ndilo jiji mama lao.
Haiwezekani ndugu takwimu hizo kuwa kweli. Hii ilisemwa tu kumfurahisha mkuu. Huwezi kusema 40% ya abiria ni Mwanza je unataka kusema Dar ina abiria wachache kuliko mwanza? Dar peke yake ni zaidi ya 60%. Kilimanjaro haipungi 20%, Dodoma, Mbeya, Zanzibar, Bukoba, etc zipo wapi?
tuwe makini na wanaofanya kila kitu kumfurahisha rais.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachekesha mkuu,unajua bei ya basi?
Hahaha kwahyo wenye mabasi Ni maskini wenzio?
Anyway mmiliki wa précision air unamfahamu? Ni ndugu shirima,ni mtanzania gani anaemiliki kampuni ya ndege zaidi yake? Ukweli utabaki ukweli kaskazn Ina vichwa mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mabasi ya kichina yanauzwa pale mikocheni karibu na IPP moja sh milioni 300!

Basi moja inazidiwa bei na gari ya mbunge wa Kigoma kusini mh Husna anayotumia kuendea saluni.

Sasa bwashee wewe hata kwa kukopa huwezi kupata hiyo 300m ukanunua Yutong?!
 
Hii taarifa inaonyesha jinsi jiji la Mwanza lilivyo na mchango mkubwa sana katika uchumi wa taifa.

Ni wakati sasa wa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa zaidi katika jiji la Mwanza kwa faida kubwa ya taifa letu.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
Hamisheni mji mkuu kutoka Dodoma kwenda Mwanza kabisa tujue moja.

Lekagi mamihayo sagala babehi.

Ite chiza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba nikurekebishe mkuu, hii takwimu nahisi iko sahihi kwa 95%.
Ansposema abiria wa Mwanza maana yake wanaotua kutoka Dar.
Ni ukweli usiopingikwa kuwa abiria kutoka Dar to Mwanza ni wengi ikifuatiwa na abiria Dar to Klm.
Kwa nyakati hii mambo yako wazi sana, unaweza kutumia app ya radar24 uone route za Mwanza zilivyo ulinganishe na mikoa mingine.
Dar haihesabiki kwani safari zote huanzia Dar to mikoani au mikoani tu Dar...hili ndilo jiji mama lao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asipoelewa na hapa nitajua huyu jamaa ni mpare!
 
Haya mabasi ya kichina yanauzwa pale mikocheni karibu na IPP moja sh milioni 300!

Basi moja inazidiwa bei na gari ya mbunge wa Kigoma kusini mh Husna anayotumia kuendea saluni.

Sasa bwashee wewe hata kwa kukopa huwezi kupata hiyo 300m ukanunua Yutong?!
Kwani kampuni Ina basi moja? Mfano kampuni ya mangi wa BM coach Ina mabasi zaidi ya 50 Ni bilions ngapi hapo?
Vipi ndege za precision ni ma bilion mangapi? Hahaha ukitaka kupambana na kina bwashee ujipange vizur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kampuni Ina basi moja? Mfano kampuni ya mangi wa BM coach Ina mabasi zaidi ya 50 Ni bilions ngapi hapo?
Vipi ndege za precision ni ma bilion mangapi? Hahaha ukitaka kupambana na kina bwashee ujipange vizur

Sent using Jamii Forums mobile app
Zile za Precision unaziita ndege?!

Zile za kuendea mbugani zilizoshindwa kubeba msiba wa Mengi kwa mara moja ikabidi zitoke zote na waombolezaji hawakuwa zaidi ya 100?

Bora hata ile ndege ya Masha kuliko huto twa Shirima bwashee!
 
Mbongo shida kweli
Kwani kampuni Ina basi moja? Mfano kampuni ya mangi wa BM coach Ina mabasi zaidi ya 50 Ni bilions ngapi hapo?
Vipi ndege za precision ni ma bilion mangapi? Hahaha ukitaka kupambana na kina bwashee ujipange vizur

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuta kwenu hakuna hata ka-vitz!
Shingo imekukakamaa na povu jingi kama mgonjwa wa kifafa

Sema kabisa mimi Monchen Mmsaai wa kaskazini mashariki nina miliki mabasi ya Isamilo Express ijulikane sio kuvimba bichwa kwa mali za watu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom