360 ya Clouds hii ni ukiukaji maadili ya uandishi

mwakweya70

JF-Expert Member
Feb 13, 2015
414
106
360 Leo nimeona asubuhi mkishadidia na kuchambua uvaaji suti na kuonyesha picha za Seif Maalim,mkikosoa muonekano, hili halina afya sana, kitaaluma, ni kuingilia uhuru binafsi.... Sijui wengine mliotazama msaidieni kunipa picha halisi ya jambo hili kwa misingi ya uandishi wa habari.
 
_20170927_093727.JPG
 
360 Leo nimeona asubuhi mkishadidia na kuchambua uvaaji suti na kuonyesha picha za Seif Maalim,mkikosoa muonekano, hili halina afya sana, kitaaluma, ni kuingilia uhuru binafsi.... Sijui wengine mliotazama msaidieni kunipa picha halisi ya jambo hili kwa misingi ya uandishi wa habari.
Hawa jamaa jpli huwa wanaubiri but kwa kutoa kasoro wenzio ht bible inasema ondoa kwanza boriti la jicho lako
 
360 Leo nimeona asubuhi mkishadidia na kuchambua uvaaji suti na kuonyesha picha za Seif Maalim,mkikosoa muonekano, hili halina afya sana, kitaaluma, ni kuingilia uhuru binafsi.... Sijui wengine mliotazama msaidieni kunipa picha halisi ya jambo hili kwa misingi ya uandishi wa habari.
Sijawasikia wakiwasema wenzao wanaovaa kata k, vimini , sex nyonyo na wanaume wavaa hereni! Au kwao hao wanakua wemeenda na wakati sijui!!!
 
Ni ile aliyoonekana akiwa Nairobi eh!?
...hivi re profesee ameshamtakia hata heri ya kupona mjumbe mwenzie wa bunge la katiba!?
 
360 Leo nimeona asubuhi mkishadidia na kuchambua uvaaji suti na kuonyesha picha za Seif Maalim,mkikosoa muonekano, hili halina afya sana, kitaaluma, ni kuingilia uhuru binafsi.... Sijui wengine mliotazama msaidieni kunipa picha halisi ya jambo hili kwa misingi ya uandishi wa habari.
Zaidi ya Ujinga ni Upuuzi, Wako wapi Mafundi wa nguo zaoooo------ Pumbavu kabisa
 
Nikamsikia Ngoma akiwa Mbeya eti kwakwe yeye ni kama Dera......Hawa watu wanavuka mipaka wacha na sisis tuanze kuvuka mipaka yao
 
Waandishi wengi wa habari uwezo wao wa kufikiri na kutafakari mambo ni mdogo sana.

Wengi wana shule za kuunga unga, wengi wamesoma vyuo vya kariakoo, walianza na certificate, kisha diploma. Ukiwahesabu waluofika chuo kikuu ni wachache sana.

Uandishi wa habari ni taaluma kama sheria au uhasibu au uhandisi, ila kwa tanzania uandiahi wa habari ni kipaji, sijawahi kuona mahala popote Duniani, hii iko Tanzania tu.

Nashukuru serikali imeanza kuchukua hatua kwenye hii taaluma ambayo makanjanja wengi wamejifichia humo..

Waandishi wengi wa kitanzania na watangazaji wana uwezo mdogo sana kichwani, hawajui kujenga hoja, hawajui kuuliza maswali, yani they know nothing.

Sio kosa lao hao, tatizo ni shule yao ndogo tu.
 
360 Leo nimeona asubuhi mkishadidia na kuchambua uvaaji suti na kuonyesha picha za Seif Maalim,mkikosoa muonekano, hili halina afya sana, kitaaluma, ni kuingilia uhuru binafsi.... Sijui wengine mliotazama msaidieni kunipa picha halisi ya jambo hili kwa misingi ya uandishi wa habari.
Waziri husika, Dk. Mwakyembe mwezi Juni huko Bungeni alisema kuwa asilimia 90 ya watangazaji wa redio na Tv hawana taaluma ya uandishi wa habari (Makanjanja). Hao makanjanja wamejaa ktk redio na Tv binafsi maana ajira ya huko taaluma ni sifa ya nyongeza na ukanjanja ndio sifa ya msingi.

Vv
 
Wale wavaaa kata k,vimini ,hereni kwa wanaume
Mbona sijaona mjadala wao naona wanapoteza weredi wao
 
Mimi mwenyewe Leo sijawaelewa Yule Kabaye na Sasali nafikiri siyo busara kabisa walichofanya Leo ...kuna wale watangazaji wenzao wanafaa uchi nafikiri wangeanza na wale kwanza
 
radio na tv nyingi za burudani wanachoangalia ni lafudhi nzuri tu ya kutangaza basi. shule kwao sio muhimu.
 
Back
Top Bottom