Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Kama kuna ufisadi ambao unaonekana kama biashara ya mtu basi ipo pale Zanzibar airport ,inajulikana dunia nzima kuwa airport fee inakusanywa kutokana na mauzo ya tiketi ,unapokata tiketi tayari mapato ya airport zote utakazopita huwa unayalipia kwa maana unalipia at the initial stage.
Lakini kinachoonekana Zanzibar airport unapoondoka kuelekea nchi za nje itakubidi ulipie 30 US dollars ,ukihoji unaambiwa kama huna kazitafute lakini haondoki mtu bila ya kutuwachia hiyo hela.
Kama WaZanzibai mupo na mnafahamu mrija huu ni kwa ajili ya kitu gani mtueleze ,wabunge na wawakilishi hili wamelifumbia macho na sidhani kama hawalielewi lakini inaonekana wanaogopa kuhoji ,kwa njia hii anaweza mtu akaweka meza na kiti na kudai kila anaesafiri alipe.
Huu ni wizi mkubwa unaofanyika katika airport ya Zanzibar ,kwa ufupi inaoinyesha ni aina ya unyanyasi ,ni unyanyasaji tu hakuna kingine.
Lakini kinachoonekana Zanzibar airport unapoondoka kuelekea nchi za nje itakubidi ulipie 30 US dollars ,ukihoji unaambiwa kama huna kazitafute lakini haondoki mtu bila ya kutuwachia hiyo hela.
Kama WaZanzibai mupo na mnafahamu mrija huu ni kwa ajili ya kitu gani mtueleze ,wabunge na wawakilishi hili wamelifumbia macho na sidhani kama hawalielewi lakini inaonekana wanaogopa kuhoji ,kwa njia hii anaweza mtu akaweka meza na kiti na kudai kila anaesafiri alipe.
Huu ni wizi mkubwa unaofanyika katika airport ya Zanzibar ,kwa ufupi inaoinyesha ni aina ya unyanyasi ,ni unyanyasaji tu hakuna kingine.