3 Bedroom House, toa changamoto!

Ondoa ukuta wote ndani ya living room, ondoa ukuta unaogawa living room na kitchen badala yake weka wooden frame tuili iwe open dinning and kitchen its more fashionable and less expensive .ondoa mlango kwenye kolido its not needed.
Oops, ukuta wote wa living room? I thought open kitchen ni sawa, yaani dining na kitchen iwe one big hall kuwe na design fulani hivi ya makabati...
 
My wife wako ni designer?
Hapana Ndugu nilimtuma pesa akasimamie ujenzi akaja na kitu kama hicho. Na kimesimama kweli kweli. Yaani ilivyoelezwa hapo kama vile unaiona nyumba yangu.
 
Hapana Ndugu nilimtuma pesa akasimamie ujenzi akaja na kitu kama hicho. Na kimesimama kweli kweli. Yaani ilivyoelezwa hapo kama vile unaiona nyumba yangu.
Safi sana mkuu, nyumba ikijengwa vizuri kwa standard zake unaipenda. Bahati mbaya wengi wanayaona makosa baada ya kuzama ndani.
 
Safi sana mkuu, nyumba ikijengwa vizuri kwa standard zake unaipenda. Bahati mbaya wengi wanayaona makosa baada ya kuzama ndani.
Nilikuwa makini sana. Na namwamini alifanya ninavyotaka.
 
SAHII kabisa,
mambo ya kunyer nje yamepitwa na wakati.
Choo master inakua na privacy zaidi[emoji4][emoji106]
 
Kuna mwamba alitisha zaidi kajenga nyumba ya vyumba vitatu vyote master ila haina corridor ila milango yote ya vumba iko sebuleni.
Hahaha, zile setup za zamani. Milango yote inaanzia sitting room. Amezingua sana!
 
Superb, sema kona ndani ya nyumba hua zinatengeneza dead spaces, yaan huwezi kuweka hata ndoo ya maji
 
Tumezoea kuona nyumba zikiwa na milango miwili tu wa sebuleni na jikoni.

Hii ya stoo kuwa na mlango kwenye "veranda" ni mpya.
 
Tumezoea kuona nyumba zikiwa na milango miwili tu wa sebuleni na jikoni.

Hii ya stoo kuwa na mlango kwenye "veranda" ni mpya.
Ndio maana ya design mkuu, wapo ambao hadi master bedroom inakuwa na exit door yake. Yani ni vile wewe na taste yako tu.
 
Darasa tosha for designer, Pongezi sana kwa wote mliotoa maoni yenu makini zaidi👏👏 Binafsi nimejifunza kitu, Ama JF ni kisima cha maarifa..
 
You are a good teacher
 
Darasa tosha for designer, Pongezi sana kwa wote mliotoa maoni yenu makini zaidi👏👏 Binafsi nimejifunza kitu, Ama JF ni kisima cha maarifa..
Nzuri sana kama you're planning to start building your own house. Muhimu sana kuzingatia mambo ya msingi kabla hujaanza kuweka tofali.
 

Hapo matofali kiasi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…