Haha me nina dedication for all ladies waskilize i'd rather be yo nigga
Mzee nice track,nice track!!!!
Cjaona track mbaya ya pac asee
Californiaaaa love ktk all eyes on me
wazungu wanamuita Eminem 'Rap God', ni kweli Eminem kapita uwezo wa kina Jayz,Nas,Pac?
They call hivo sababu ya statistics za kimauzo hakuna aliyeuza zaidi ya eminem
Haha me nina dedication for all ladies waskilize i'd rather be yo nigga
wazungu wanamuita Eminem 'Rap God', ni kweli Eminem kapita uwezo wa kina Jayz,Nas,Pac?
hii ngoma alifanya na rafikie aitwae rich rich, kazi zake ziliibua vipaji vingi sana watu kama big sykes(all eyes on me), kadaf na kundi zima la OUTLAWS, wallen g (God bless the dead) nk baadhi yao wapo mpaka leo lakini toka huyu mchizi kasepa uwepo wao kwenye game umekuwa ...............!!
Yaani mpaka na boss wake mario suge knight
........ Akaifuta Death raw akaja kwa mbwembwe nyingi na Tha raw mpaka leo wapi.
Ah ah jamaa amekufa na urithi wake
mtu akifariki watu wanaanza kumfuatilia,but pac hawezi kuwa zaidi ya snoop dogg
.Mwache anataka kiki huyo.pac na snoop?wapi na wapi.ni sawa na kumfananisha mwigulu na sokoinekaa kimya dogo,, kaa kimya.
nilianza kumsikiliza mnyamwezi enzi niko la saba na nilipoingia sekondari ndio nikadata zaidi na mnyamwezi.
Nakumbuka nilishaomba mkwanja wa kupigia pepa tuition wakati nilikuwa naenda kununua casette "all eyez on me vol 2" wakati huo Shs. 700 au 800 kama sikosei, 1997 hiyo!
Una uhuru wa kutoa maoni lakini hujui muziki.
Peter Tosh hawezi kuwa zaidi ya Bob Marley hata iweje na Snoop Doggy hawezi kuwa zaidi ya 2pac hata iweje.
2pac ndio muhasisi wa double cd kwenye all eyes on me na ndio mwanamuziki aliyekuwa anatoa zaidi ya nyimbo 16 kwa cd moja. Ongea mengine 2pac ni shughuri nyingine, amekufa mwakaw1996 lakini mpaka leo nyimbo zake zipo juu na zile alizoandika bado zipo nyingi maktaba.