Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
The death of 2PAF
Kwanza kabisa MS-13 (most salvadorians) nj tofauti kabisa na Florencia-13 ni gang mbili tofauti (siyo gang moja)..
Na unaposema kuwa gang zipi ethinical based, inawezekana kwa hizi white gangs..but MS-13 wana sets central America ambazo zina blacks, hispanic and Asians pamoja na whites..LA kuna rivaly kubwa sana kati ya MS-13 na crips pamoja na Bloods ndo maana huwez kukuta a Nigga katika MS-13..and abive all kati ya sets zaid ya 600 za Crips nationwide kuna mchanganyiko wa latinos, asians, whites etc na wapo mpaka L.A (hiyo haina kificho kwa crips)..kuna mchanganyiko wa races lakin African-America ndo wamechukua part kubwa!!!
Kaka me kuhusu kifo cha PAC nilifatilia sana na ishu ya kuhusishwa kwa baby lane kwenye kifo cha PAC ilinifanya nifatilie sana hiz Gangs..
Crips japokuwa imeanzishwa kwenye 1960's lakin ilikuja kuimarika na kuwa popular zaid 1990's mostly 1999 ambapo sets ziliongezeka, members waliongezeka na Associates waliongezeka...na imegenerate members zaid ya 32k kuanzia 1999-present..lakin kipind PAC anauwawa *crips* haikuwa na mtandao na associates na sets wengi kama ilivyogain power kubwa nationwide kuanzia 1999...
PAC was just a THUG aliyekuwa anawakilisha niggaz wa kwenye projects hakuwepo Crips wala bloods..japokuwa kuna wapenda nadharia kama wewe wanadai PAC alikuwa bloods..na PAC alimpiga baby lane kwasababu ya kile alichoambiwa na associate wake ambaye alikuwa victim na ishu za kina baby lane...lakin *crips* HAWAKUHUSIKA na kifo cha PAC (me siishi kwa nadharia)..
Hapo kwa Baby lane kwenda MGM kuangalia pambano la TYSON umenichekesha sana! A nigga who lives for selling drugs, robbery, trafiking etc ashindwe kwenda kuingia MGM kuangalia pambano??? (kwa ticket price range ambayo inaanzia $324, $216, $111, $59???)...kwan ni lazma akate tiket ya $300+?? Wakat kuna tiket za $50+ mpaka $100+?? (tena without taxes and extra fees??)..
Acheni kuongopea watu kihivyo jaman!!!
Ukiachana na theory ya Russel poole kwamba SUGE na associates wa deathtrow walihusika na kifo cha PAC na kushirikiana na LAPD kuficha siri ya mauaji....mwaka 2006 Snoop Dogg alimtuhumu SUGE kuhusika na mauaji ya PAC, upande mwingine tunaambiwa BIG na BadBoys (akina P.DIDY) walihusika na kifo cha PAC..etc na LEO kuna watu humu mnasema PAC aliuliwa na CRIPS..
So tumwamini nani?? kina Russel poole (watu kama hawa ndo wapo wengi sana)..tumwamini SNOOP DOGG (mwanae PAC)..tuwaamini waliosema PAC was killed by BAD-BOYS??? AU tuwaamini watu wa JF humu wenye uhakika kuwa PAC was killed by CRIPS????
HITIMISHO hapa ni kwamba hizo zote ni theories tu..tunahitaj official statement!!
Nimejaribu kupekuapekua comments mbalimbali kwenye forums mbalimbali watu wakijibu who is the greatest rapper of all time, watu wengi wanampa NAS namba 1
Beefinjector na MosDef pac hakuuliwa na crips as a mission, Pac aliuliwa na member wa crips kama solo project,baby lane aliwahi kusikika akijisifu kuwa "he put down makaveli" lile tukio lilitokea haraka sana na ndio msingi wa watu wote kukataa kuwa baby lane hakuhusika ukiangalia nadharia zote ya baby lane naipa 99.99% he was Pac killer,ndio maana mama yake 2pac alimfungulia kesi....
Police walimkamata Baby Lane,na wakamuhoji, lakini kukakosekana ushahidi wowotesasa kwanini police hawakumtia nguvuni
Hii ni kwa wale wote mashabiki na wapenzi wa legendary Tupac shakur
katika uwepo wake wa muda mfupi sana (miaka 5) ameweza kufanya mambo makubwa sana si kwenye music tu bali hata kwenye filam na mambo mengine ya kiharakati na kuwazidi hata wale aliokuwa nao na bado wanaendelea kufanya mziki kuacha wale upcomers artist.
Takriban ni miaka 19, je ni kipi toka kwake hutokisahau, ni filam gani unaikumbuka toka kwake (above the rim, gridlock)
ni nyimbo gani unaipenda toka kwake na uwezi sahau kwenye playlist yako hip hop
FUNGUKA
He still a live tupac not dead
shukrani bro. Binafsi wakati Pac anakufa nilikuwa simjui kabisa, sijui muziki wala chochote. Nilivyokua ndio nilimsoma jamaa na game yote kiundani.
Filamu ya Pac nayoikumbuka sana ni 'Poetic Justice', kwa sababu moja, ali-enjoy sana ye mwenyewe kwanza, kufanya kazi na Janet pamoja na mizengwe yote. Mbili, baada ya kufanya 'Juice' kulikuwa na watu wanam-paint Pac kama Bishop, character aliyemcheza. So John Singleton alimpa nafasi ya kuonyesha upande ambao maadui zake kamwe hawataki ujulikane.
Upande wa ngoma, hizi kwa sasa ndio 5 nazozikubali zaidi.
Ambitionz az a rydah:attitude and energy nyuma ya hii ngoma ni noma sana. Hii nadhani ndo ilikuwa ya kwanza baada ya kutoka jela.
'so many battlefield scars, while driven in plush cars/ this life as a rapstar, is nothing without heart/'.
Thugz Mansion: Humu Pac alielezea maana halisi ya Thug Life yake, na Thug ni mtu wa aina gani. Hii ngoma ina hekima za kutosha, pia anaelezea ni jinsi gani alikuwa anapitia majaribu mengi ikiwemo kutaka kujiua na mambo kama hayo. Cha muhimu zaidi, jamaa alikuwa anaamini.
'dear Mama don't cry, your baby boy is doing good/ tell the hommies i'm in heaven, and they ain't got hoods/'
Ghetto Gospel: Hekima za kutosha kwenye hii ngoma arif, sihitaji hata kuielezea zaidi.
Changes: The prophecy kwenye hii ngoma ni noma. 'cops give a damn about a negro, pull the trigger, kill a nigga, he's the hero'. Angalia yaliyotokea kwenye issue ya Zimmerman na yaliyotokea Ferguson.
Untouchable (Swizz' rmx) - Swizz alimtendea haki na hiyo beat, Krayzie Bone akaitendea haki verse yake. 'blast me, but never ask me to live a lie/ am i wrong, coz i wanna get it on til i die?/'.
mtu akifariki watu wanaanza kumfuatilia,but pac hawezi kuwa zaidi ya snoop dogg
heshimu mawazo ya wengine,idiotHujui kitu kaa kimya