2Pac Shakur - Hip hop giant legacy thread

pamoja sana mkuu Tupacified kwa ufafanuzi na maelezo ya kina, binafsi nimepata kitu toka kwako
japo ni mtoto wa jana (jokes)
Wadau hapo juu wametoa michango yao kuhusiana na kifo cha 2pac na nani ali-mastermind mchezo mzima na kwa maslai ya nani? au jamaa binafsi alikuwa troublemaker hivyo alijitengenezea kifo chake yeye mwenyewe?

Maisha yake ya ku-hustle ni taswira halisi ya nyimbo zake unadhani hilo pekee inaweza kuwa ndio siri ya mafanikio yake kimuziki?

Funguka mkuu uwanja wako huu
Nimeona man. Niliamua kupotezea coz kuelewa kifo cha Pac inabidi kwanza kuelewa 'the conspiracy world', halafu kumuelewa yeye mwenyewe pia.

Kwa ufupi tu, Pac alikufa kwa sababu ya mdomo wake na ushawishi wake kwa waliomskiliza. Aliwahi kukiri mwenyewe kwamba he had a 'big mouth', and that was the cause of all his troubles. Atakayeelewa hili kwanza ndio naweza kuendelea nae.

Kuhusu muziki na mafanikio yake. Pac hakuwa mtunzi, alikuwa anaelezea tu chochote anachokutana nacho katika maisha yake, chochote. Ndio maana ngoma zake nyingi ukiskiliza unaona hisia alizokuwa nazo, iwe hasira, woga, upweke, furaha, you name it. Hii ndio ilisababisha akawa na special connection na mashabiki wake na kufanya awe tushio sana kwa waliomuua. + the fact jamaa alikuwa na mizizi na damu ya harakati, na jina lake pia linamaanisha 'kiongozi' ama kitu kama hicho. So kifupi Pac alizaliwa kuongoza watu, na nguvu yake kubwa ilikuwa kwenye mdomo, kichwa chake, moyo wake. Jamaa walifanya kila namna kumzuia ila ndio kama walimchochea, mwisho wa siku he had to die.
 
Nimeona man. Niliamua kupotezea coz kuelewa kifo cha Pac inabidi kwanza kuelewa 'the conspiracy world', halafu kumuelewa yeye mwenyewe pia.

Kwa ufupi tu, Pac alikufa kwa sababu ya mdomo wake na ushawishi wake kwa waliomskiliza. Aliwahi kukiri mwenyewe kwamba he had a 'big mouth', and that was the cause of all his troubles. Atakayeelewa hili kwanza ndio naweza kuendelea nae.

Kuhusu muziki na mafanikio yake. Pac hakuwa mtunzi, alikuwa anaelezea tu chochote anachokutana nacho katika maisha yake, chochote. Ndio maana ngoma zake nyingi ukiskiliza unaona hisia alizokuwa nazo, iwe hasira, woga, upweke, furaha, you name it. Hii ndio ilisababisha akawa na special connection na mashabiki wake na kufanya awe tushio sana kwa waliomuua. + the fact jamaa alikuwa na mizizi na damu ya harakati, na jina lake pia linamaanisha 'kiongozi' ama kitu kama hicho. So kifupi Pac alizaliwa kuongoza watu, na nguvu yake kubwa ilikuwa kwenye mdomo, kichwa chake, moyo wake. Jamaa walifanya kila namna kumzuia ila ndio kama walimchochea, mwisho wa siku he had to die.

poa mkuu umesomeka
 
moja kati ya quotes zake
im not saying im gonna change the world but I guarantee that I will spark the brain that will change the world.
 
Ila gradually alikua ana run out of the relevant materials...

He was runnin out of energy,beefs zilikua zinammaliza nguvu,asingeweza kubattle the whole world...u can never run ur mouth against the whole world,hiyo energy haipo,

Michael jackson aliishiwa materials pia,sembuse Pac?
"Michael jackson aliishiwa materials pia, sembuse Pac? Unataka kumfananisha 2pac na MJ!?
 
*so kama unapenda hip hope utampenda Tupac kama unampenda snoop sio lazima uipende hip hop*

Kwa hisani ya @kufimboplayer
 
Ukila maaragwe ukasema maharagwe haya ni matamu kama nyama.......hapo utaeleweka,ila huwezi kula nyama kisha ukasema ati nyama hii ni tamu kama maaragwe.......HAPO UNAKOSEA.........

Hivo basi......mpk sasa hakuna msanii wa tasnia ya HIPHOP duniani anafika kwa Lesane Parish Crooks AKA Tupac Amaru Shakur..........mafanikio aliyoyapata kiujumla ukilinganisha na umri aliokuwa nao pallarel hata huyo Sean Carter AKA Jay Z hakuwa nazo na hatofika kwasababu umri haurudi nyuma.......nawezasema 2Pac angekuwa hai angekuwa juu zaidi yao hadi sasa.

Kingine nikwamba haiwezekani sote tukawa na kipaji cha kiwa wachambuzi wa mambo......hivyo basi,nashahuri wengine wabaki ushabiki,ushangiliaji na ufatiliaji.
 
changes

see no changes, wake up in the morning and I ask myself
Is life worth living, should I blast myself?
I'm tired of bein' poor and even worse I'm black
My stomach hurts, so I'm lookin' for a purse to snatch

Cops give a damn about a negro
Pull the trigger, kill a nigga, he's a hero
Give the crack to the kids who the hell cares
One less hungry mouth on the welfare

First ship 'em dope and let 'em deal the brothers
Give 'em guns, step back, watch 'em kill each other
It's time to fight back that's what Huey said
Two shots in the dark, now Huey's dead

I got love for my brother but we can never go nowhere
Unless we share with each other
We gotta start makin' changes
Learn to see me as a brother instead of two distant strangers

And that's how it's supposed to be
How can the devil take a brother, if he's close to me?
I'd love to go back to when we played as kids
But things changed, that's the way it is

Come on, come on, that's just the way it is
Things will never be the same, that's just the way it is
Aww, yeah

Come on, come on, that's just the way it is
Things will never be the same, that's just the way it is
Aww, yeah

I see no changes, all I see is racist faces
Misplaced hate makes disgrace to races
We under, I wonder what it takes to make this
One better place, let's erase the wasted

Take the evil out the people they'll be acting right
'Cause mo' black and white is smokin' crack tonight
And only time we chill is when we kill each other
It takes skill to be real, time to heal each other

And although it seems heaven sent
We ain't ready, to see a black President
It ain't a secret don't conceal the fact
The penitentiary's packed, and it's filled with blacks

But some things will never change
Try to show another way but you stayin' in the dope game
Now tell me, what's a mother to do?
Bein' real don't appeal to the brother in you

You gotta operate the easy way
I made a G today, but you made it in a sleazy way
Sellin' crack to the kid, I gotta get paid
Well hey, well, that's the way it is

Come on, come on, that's just the way it is
Things will never be the same, that's just the way it is
Aww, yeah

Come on, come on, that's just the way it is
Things will never be the same, that's just the way it is
Aww, yeah

We gotta make a change
It's time for us as a people to start makin' some changes
Let's change the way we eat, let's change the way we live
And let's change the way we treat each other
You see, the old way wasn't working so it's on us to do
What we gotta do, to survivem

And still I see no changes, can't a brother get a little peace?
There's war in the streets and war in the Middle East
Instead of war on poverty, they got a war on drugs
So the police can bother me

And I ain't never did a crime, I ain't have to do
But now, I'm back with the facts givin' 'em back to you
Don't let 'em jack you up, back you up
Crack you up and pimps smack you up

You gotta learn to hold ya own
They get jealous when they see ya, with ya mobile phone
But tell the cops, they can't touch this
I don't trust this, when they try to rush I bust this

That's the sound of my tool, you say it ain't cool?
My mama didn't raise no fool
And as long as I stay black, I gotta stay strapped
And I never get to lay back

'Cause I always got to worry 'bout the pay backs
Some buck that I roughed up way back
Comin' back after all these years
Rat-a-tat, tat, tat, tat, that's the way it is

That's just the way it is
Things will never be the same, that's just the way it is
Aww, yeah

That's just the way it is
Things will never be the same, that's just the way it is
Aww, yeah

Some things will never change

Sidhani kama kuna siku nimewai kuplay playlist yangu bila kuusikiliza huu wimbo.....irs my favorite of all time
 
Huu kwangu Ni mstari bora kabisa ''I ain't a killer but don't push me ''iyo Ni ndani ya god bless the dead
Hapana mkuu hiyo ipo katika makaveli(hail mary) verse ya kwanza kabisa ndio anaanza na maneno hayo.
 
me tooo...
Halafu watu wengi hawajui kuwa 2pac alikuwa
so extreme....na politics zake za black panther
nahisi angekuwepo angemtukana obama kuwa puppet
wa wazungu...
Unakumbuka alivyokataa kushikana mkono na
michael jackson???
2pac angekuwa hai,angekuwa amepitwa na wakati.
Alikuwa na ubaguzi dhidi ya wazungu.
na kwanini ujipendekeze kwao hilihali hao wapuzi weupe nao ni wabaguzi..??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom