2Pac Shakur - Hip hop giant legacy thread

2Pac Shakur - Hip hop giant legacy thread

Nilikuwa nazipenda sana movie zake poetic justice na above the rim nyimbo zake dear mama, changes, california love karibia zote kwa kweli!
Nakumbuka na ile style yake ya kuvaa kitambaa kichwani ikawa ndo swagger kwa mabrothermen mjini

ulale unono mama yake na p na kitu cha mamas just a litle bit by pac
 
Last edited by a moderator:
Jamaa alikuwa shida sana, halafu sijui kwanini nyimbo zake huwa hazichoshi, toka nakua nazisikiliza hadi leo hii mtu mzima. Nyimbo zake nnazozipenda ni nyingi ila hizi ndo sanaaa 1. Do For Love 2. Califonia with Dre 3. Baby Don't Cry
 
sio kweli, labda ungesema Jayz kidoogo ningekuelewa

Dre pamoja jay z japo walitofautiana na pac, wao kwa vinywa vyao walikiri pac ni namba nyingine kabisa kwenye industly ya hip hope

*so kama unapenda hip hope utampenda Tupac kama unampenda snoop sio lazima uipende hip hope*
 
Daah wimbo wa "changes" ni my best song of all time
 
Dre pamoja jay z japo walitofautiana na pac, wao kwa vinywa vyao walikiri pac ni namba nyingine kabisa kwenye industly ya hip hope

*so kama unapenda hip hope utampenda Tupac kama unampenda snoop sio lazima uipende hip hope*

yap, anayesema Snoop ni zaid ya Pac wenda hajasikiliza nyimbo zote za Pac. Jamaa ananyimbo nyingi kali japo mda wa career yake ni fupi, nimemtaja Jayz coz ndio kidogo naona anaenda uzan mmoja na Pac, pengine jamaa angekuwa hai tungekuwa tunawapambanisha
 
mtu akifariki watu wanaanza kumfuatilia,but pac hawezi kuwa zaidi ya snoop dogg

Una uhuru wa kutoa maoni lakini hujui muziki.

Peter Tosh hawezi kuwa zaidi ya Bob Marley hata iweje na Snoop Doggy hawezi kuwa zaidi ya 2pac hata iweje.

2pac ndio muhasisi wa double cd kwenye all eyes on me na ndio mwanamuziki aliyekuwa anatoa zaidi ya nyimbo 16 kwa cd moja. Ongea mengine 2pac ni shughuri nyingine, amekufa mwakaw1996 lakini mpaka leo nyimbo zake zipo juu na zile alizoandika bado zipo nyingi maktaba.
 
Vp hizi,.
Hail mary
Changes
Hit 'em up.

Hasa hiyo ya pili 'CHANGES' ,nikiiskia nalia.
Huo wimbo hapo kwenye Red jamaa alimuimba Big na kumtukania ukoo wake wote nahisi ndio kilimpelekea 2Pac maumivu yakwenda kaburini!
 
Una uhuru wa kutoa maoni lakini hujui muziki.

Peter Tosh hawezi kuwa zaidi ya Bob Marley hata iweje na Snoop Doggy hawezi kuwa zaidi ya 2pac hata iweje.

2pac ndio muhasisi wa double cd kwenye all eyes on me na ndio mwanamuziki aliyekuwa anatoa zaidi ya nyimbo 16 kwa cd moja. Ongea mengine 2pac ni shughuri nyingine, amekufa mwakaw1996 lakini mpaka leo nyimbo zake zipo juu na zile alizoandika bado zipo nyingi maktaba.

upo sahihi.,, kuna mapengo ni vigumu kuyaziba.
 
Huo wimbo hapo kwenye Red jamaa alimuimba Big na kumtukania ukoo wake wote nahisi ndio kilimpelekea 2Pac maumivu yakwenda kaburini!

Big hakuhusika na kifo cha 2pac, CCTV camera zilionesha 2pac akimpiga mashuti unknown person muda mchache kabla ya Mike Tyson kupanda ulingoni MGM Grand.

For sure gang ya yule aliyekuwa anapigwa ndio walimuuwa 2pac na walijuwa destination baada ya pambano la Tyson ni kwenye club ya Suge Knigh ambako kulikuwa na show usiku ule.
 
Huo wimbo hapo kwenye Red jamaa alimuimba Big na kumtukania ukoo wake wote nahisi ndio kilimpelekea 2Pac maumivu yakwenda kaburini!

Very true..,,
Alizidisha kwakweli... But we miss him.
 
Big hakuhusika na kifo cha 2pac, CCTV camera zilionesha 2pac akimpiga mashuti unknown person muda mchache kabla ya Mike Tyson kupanda ulingoni MGM Grand.

For sure gang ya yule aliyekuwa anapigwa ndio walimuuwa 2pac na walijuwa destination baada ya pambano la Tyson ni kwenye club ya Suge Knigh ambako kulikuwa na show usiku ule.

hoja ya kwamba PAC aliuliwa na kina Orlando Anderson *baby lane* akishirikiana na crew yao ya *crips*..huwa naiona ni hoja dhaifu sana katika nadharia zote ambazo zinajaribu kuelezea kifo cha PAC!
 
alikuwa ana matatizo yake na alikuwa na mazuri yake kama binadamu wote tulivyo, alikuwa na huruma na hasira pia khaswa watu weupe.
Lakini kumfananisha pac na snoop au jayz aah jamaa alikuwa juu sana ukisikiliza nyimbo kama aint mad anasema mabadiliko ni kitu cha kawaida na kuna jamaa zake walibadilika nae hakuwachukia ila aliwatakia kila la kheri, au brenda got a baby zina maneno ya kufundisha.
sasa ukija penye kupart hapo ndio California na to live and die in LA, panachafuka kwenye hit em up anasema with my 44 i will make sure all ur kids they don't grow hapo ndio penye shida but kwangu pac hip hop na hip hop pac.
 
hoja ya kwamba PAC aliuliwa na kina Orlando Anderson *baby lane* akishirikiana na crew yao ya *crips*..huwa naiona ni hoja dhaifu sana katika nadharia zote ambazo zinajaribu kuelezea kifo cha PAC!

Wewe unaamini kuwa aliuawa na nani?
 
Songs: Tradin' War Stories, Black Jesus.

Movies: Juice, Gang Related.
 
alikuwa ana matatizo yake na alikuwa na mazuri yake kama binadamu wote tulivyo, alikuwa na huruma na hasira pia khaswa watu weupe.
Lakini kumfananisha pac na snoop au jayz aah jamaa alikuwa juu sana ukisikiliza nyimbo kama aint mad anasema mabadiliko ni kitu cha kawaida na kuna jamaa zake walibadilika nae hakuwachukia ila aliwatakia kila la kheri, au brenda got a baby zina maneno ya kufundisha.
sasa ukija penye kupart hapo ndio California na to live and die in LA, panachafuka kwenye hit em up anasema with my 44 i will make sure all ur kids they don't grow hapo ndio penye shida but kwangu pac hip hop na hip hop pac.

Mkuu in every 10 yrz mziki lazima uchange....na Tupac today angekua ni has been tu...

Sasa hapo ndio wangeelewa ugenius wa Jay-Z....

Hiphop ni business,Jay-Z ameiweza 100% ....ingekua ngumu sana kwa Pac....ndio maana Nas ameshindwa...

2pac angefeli vibaya mno,heri hata Biggie alikua anajua kwenda na trend...

Jay-Z is the ultimate hiphop has never seen
 
hoja ya kwamba PAC aliuliwa na kina Orlando Anderson *baby lane* akishirikiana na crew yao ya *crips*..huwa naiona ni hoja dhaifu sana katika nadharia zote ambazo zinajaribu kuelezea kifo cha PAC!

Hoja yako wewe ni ipi?
 
Kwa power ya kurap na uharakati wa 2pac longevity kwenye hiphop ingeisha mwaka 2000...

Jay-Z alisubiri mpaka Pac na biggie walipoanza kutoka kwenye peak zao 1996 ikatoka Reasonable Doubt

Jay-Z alijua hawezi kushindana na akina Pac na biggie hata kidogo,akajua timing ya kutoka and the rest is history
 
Back
Top Bottom