Naona mjadala umehamia kwenye gangs. Hakuna mtu anayebisha kuwa 18th street gang (aka Calle 18 or Barrio 18), Florencia 13 (aka Mara Salvatrucha or MS 13) na Borrio Azteca ( aka Los Azteca) ni gangs kubwa lakini kusema Crips (with 35,000 members) ni gang ndogo is just ridiculous. Latin na Hispanic gangs zimepata umaarufu kwa kuwa ni more violent. Pia kusema kuwa Crips are broke ass niggas ni potofu kwani wana criminal enterprises kama gangs nyingine (Drug dealing, robbery etc). Orlando Anderson alikwenda Las Vegas kuangalia pambano la Mike Tyson kwenye ukumbi wa MGM Grand, do you know how much it costs to do that? And you called him broke ass nigga, maybe you don't know the meaning of broke ass.
Halafu unatakiwa uelewe kuwa gangs huwa zinakuwa ethnically based. Hizo ulizozitaja ni za Latino na Hispanic huwezi kumkuta mandingo humo hata kwa dawa. Kama vile huwezi kumkuta mtu mweusi au latino kwenye gang za watu weupe kama Aryan Nation na kamwe huwezi kumkuta mweupe au latino kwenye gangs za weusi kama Crips na Bloods.
Sasa nakuuliza swali; Ni gang gani ya watu weusi California ambayo ni kubwa kuliko Crips na Bloods?
Back to the point, sentensi yako ya mwisho ulitakuwa kuandika; Baby Lane hakuwa charged with Pac's murder kwa sababu hakukuwa na ushahidi wa kumshtaki lakini Polisi wa LVPD hawakuwahi kumsafisha Orlando kuwa hakumuua Pac.
Kwanza kabisa MS-13 (most salvadorians) nj tofauti kabisa na Florencia-13 ni gang mbili tofauti (siyo gang moja)..
Na unaposema kuwa gang zipi ethinical based, inawezekana kwa hizi white gangs..but MS-13 wana sets central America ambazo zina blacks, hispanic and Asians pamoja na whites..LA kuna rivaly kubwa sana kati ya MS-13 na crips pamoja na Bloods ndo maana huwez kukuta a Nigga katika MS-13..and abive all kati ya sets zaid ya 600 za Crips nationwide kuna mchanganyiko wa latinos, asians, whites etc na wapo mpaka L.A (hiyo haina kificho kwa crips)..kuna mchanganyiko wa races lakin African-America ndo wamechukua part kubwa!!!
Kaka me kuhusu kifo cha PAC nilifatilia sana na ishu ya kuhusishwa kwa baby lane kwenye kifo cha PAC ilinifanya nifatilie sana hiz Gangs..
Crips japokuwa imeanzishwa kwenye 1960's lakin ilikuja kuimarika na kuwa popular zaid 1990's mostly 1999 ambapo sets ziliongezeka, members waliongezeka na Associates waliongezeka...na imegenerate members zaid ya 32k kuanzia 1999-present..lakin kipind PAC anauwawa *crips* haikuwa na mtandao na associates na sets wengi kama ilivyogain power kubwa nationwide kuanzia 1999...
PAC was just a THUG aliyekuwa anawakilisha niggaz wa kwenye projects hakuwepo Crips wala bloods..japokuwa kuna wapenda nadharia kama wewe wanadai PAC alikuwa bloods..na PAC alimpiga baby lane kwasababu ya kile alichoambiwa na associate wake ambaye alikuwa victim na ishu za kina baby lane...lakin *crips* HAWAKUHUSIKA na kifo cha PAC (me siishi kwa nadharia)..
Hapo kwa Baby lane kwenda MGM kuangalia pambano la TYSON umenichekesha sana! A nigga who lives for selling drugs, robbery, trafiking etc ashindwe kwenda kuingia MGM kuangalia pambano??? (kwa ticket price range ambayo inaanzia $324, $216, $111, $59???)...kwan ni lazma akate tiket ya $300+?? Wakat kuna tiket za $50+ mpaka $100+?? (tena without taxes and extra fees??)..
Acheni kuongopea watu kihivyo jaman!!!
Ukiachana na theory ya Russel poole kwamba SUGE na associates wa deathtrow walihusika na kifo cha PAC na kushirikiana na LAPD kuficha siri ya mauaji....mwaka 2006 Snoop Dogg alimtuhumu SUGE kuhusika na mauaji ya PAC, upande mwingine tunaambiwa BIG na BadBoys (akina P.DIDY) walihusika na kifo cha PAC..etc na LEO kuna watu humu mnasema PAC aliuliwa na CRIPS..
So tumwamini nani?? kina Russel poole (watu kama hawa ndo wapo wengi sana)..tumwamini SNOOP DOGG (mwanae PAC)..tuwaamini waliosema PAC was killed by BAD-BOYS??? AU tuwaamini watu wa JF humu wenye uhakika kuwa PAC was killed by CRIPS????
HITIMISHO hapa ni kwamba hizo zote ni theories tu..tunahitaj official statement!!